Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

  1. wapenda majivuno inawahusu hii drama (Han Seo-Jin)
  2. wapenda kusoma kwa kuhofia bila ya kuwa na elimu kubwa basi mafanikio yako yatakuwa madogo inawahusu hii drama (Kang Ye-Suh + cha min hyuk + han seo jin)
  3. wale wazazi wanaolazimisha watoto wao wasome fani wanazopendelea wao inawahusu hii drama (han seo jin + Cha Min-Hyuk)
  4. wale wazazi wasiopendelea kuona wenza wao wakiwa na kauli kubwa za kimaamuzi ndani ya familia inawahusu hii drama.(Seung-Hye)
  5. wale ambao hupendelea kupanda juu kimafanikio kwa kutegemea mgongo wa wenzao inawahusu hii drama (kang joon sang )
  6. wale wasiofungamana na upande wowote inawahusu hii drama (wazee wa sometime yes and sometime no) kama namuona ahjumma wangu (jin jin hee)
  7. ongeza na zako talnam ili wenye wivu na SKY CASTLE wazidi kupasuka kama mabofu.
huyu ahjumma atakuwa wa kwanza kwenye list yangu napenda sana tabia zake, leo rafiki kesho adui.
🙂🙂🙂
jin jin babyyyyyy
View attachment 997562
Hahaha kwakweli wenye wivu watuachee

8. Wazazi wasotaka kukubali uhalisia wa matatizo ya watoto wao (coach Kim)

9. Watoto wenye uthubutu wa kumsema mzazi mpaka akajiona sio timamu lol ( se ri yeh bin, seo Joon)

10. Wapenda kutumikishwa bill hata kujali kuwa utu wao unapotezwa (Dr. Woo, Driver joo).
Naipenda Sana hi drama wacha rate ziendelee kupanda inastahili mwanzo sikuelewa kabisa, nlikua naona watu wengi lol

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu inaonekana umeangalia drama 5 ndio maana ukaweka top 3 zako city hunter, faith na six flying dragon
natania tu natumai hutachukia.

faith drama nakumbuka lee min ho aliigiza uhusika wa general choi young, miongoni mwa watu wagumu kuwahi kutokezea kwenye tawala ya GORYEO. Urafiki wake na general yi seong gye ulifutika ghafla kwa sababu ya madaraka, kweli siasa haina rafiki wala adui wa kudumu.

ukiangalia jung do jeon drama ndio wameelezea kiundani sababu zilizopelekea wawili hao kutwangana majambia wenyewe kwa wnenyewe.
unajua kilitokezea kitu gani?​
mwaka 1388 yi seong gye aliamrishwa akapambane na jeshi la MING china ambalo lilikuwa linaupigania mji wa liaodong ambao GORYEO walikuwa wanadai ya kwamba ni mji wao kwa sababu liaodong ulikuwa ni mji wa GOGURYEO nyakati hizo za mwendawazimu GWANGGAETO.
Lakini cha ajabu general Yi Seong-gye akakataa amri ya mfalme ya kuelekea kaskazini na jeshi lake na alitoa sababu 4 za msingi zilizomfanya akatae kueleke kaskazini kwa dhumuni la kupambana na MING China.
Sambong aliandika barua kwa mfalme kwa mujibu wa drama yenye sababu zifuatazo
  1. GORYEO ni taifa dogo hivyo basi halina uwezo wa kupambana na taifa kubwa la MING
  2. Ni ujinga kuanzisha kampeni ya kijeshi wakati ambao wananchi walipaswa wawekeze kwenye kilimo.
  3. kama tutawapeleka vijana wetu kupambana maeneo ya kaskazini basi tutawapa upenyo wajapani watushambulie maeneo ya kusini
  4. mvua kubwa zitakazonyesha zitasababisha maandalizi ya kivita yawe hafifu.
kilichotokezea choi young akaamua kuweka ngumu si anajua ana sauti mbele ya mfalme, kudadadeki general yi seonggye akamsikiliza sambong na kuamua kurudi mji mkuu bila kuelekea vitani.
acha wachapane wenyewe kwa wenyewe mpaka choi young akanyanyua mikono juu.
mwisho wa siku general choi young alinyongwa hadharani, kifo chake ndio kilizidi kudidimiza matumaini ya taifa la goryeo kuendelea kuwepo.
bwana huyu kabla ya kunyongwa alitabiri ya kwamba kaburi lake halitaota hata jani moja, cha jabu utabiri wake ulitimia kwa muda mrefu sana na kaburi lake liliota majani mnamo mwaka 1976 wakati alifariki 1388.
baada ya miaka 588 ndio kaburi lake liliota majani, hmmmmmmmmm fixed costing
huyu jamaa alikuwa mtabiri wa ukweli.
🙂🙂🙂
hivi kwenye six flying dragons stori yake mbona niliiona ya kawaida lakini watu wengi wanaisifu
View attachment 997581
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] hapana mkuu sijachukia ila mi ni expert wa muvi nimeangalia season more than 130 ila city hunter ndio nilitoa bikra ya k drama 2012 na faith ikafatia miaka hio hio ndio maana mpaka leo nazipenda na nna ziheshimu afu six yenyewe napenda action yake na uwepo wa lee bang ji na cheuk sa gwang mkuuu ila izo n top three ila nnaseries ambazo nna zipenda kama

1.queen seondok
2.the legend
3.legend of blue sea
4.k2
5.moon lover
6.healer
7.remember war of the son
8.doctor stranger
9.blood
10.mr sunshine
11.iris
12.athena
13.warrior dong soo

Izo nazo nnazikubali kinyama pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
baba mkwe kwa sababu ya SONG MANSE?
hivi utamsubiri hadi lini yule mpendwa na wengi?
kazi unayo kwa brother man yule, njia pekee ya kuwa wakwako peke yako ni kumfunga kamba kama mwendawazimu aliyetolewa kwao ili familia iwe tajiri.
😛😛😛

wa kwangu mimi uyo mwenye tabia za baba yake aliye upande wa kulia kwangu, Song Miguk hafai kuanzisha udugu kwa sababu ana akili nyingi kuliko za mdogo wangu wa kike.
View attachment 997568
Namtaka huyohuyo sukari ya warembo, akichepuka na mimi si nachepuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jang Hyuk in talks to appear in new JTBC's historical drama 'My Country',​
kama atakubali kushiriki drama hii ataigiza uhusika wa yi bang won ambaye baadae anakuwa mfalme wa tatu wa joseon. Lee bang won alimsaidia baba yake kwa kiasi kikubwa sana kuiangusha tawala ya Goryeo akishirikiana na jung do jeon (sambong).
mpaka sasa yang se jong na woo do hwan ndio wamethibitisha ushiriki wao ndani ya drama hii.

huyu ahjussi msamiati wa likizo kwenye ubongo wake hautambulikani kabisa, hongera Khantwe kwa kupata ahjussi wa ukweli.
mwanamme lazima apambane bila ya kuchoka kwa ajili ya kumpa ahueni mwenza wake, sisi wengine tukipata 30000 kwa siku tunapumzika huku tukijipa majina ya ovyo kama DON wakati Jang hyuk anamiliki mjengo wa kibiashara eneo nyeti kabisa lakini bado anafanya kazi kama kichaa.
🙂🙂🙂😱😱
Habari hii iwafikie wapinzani wote wa khantwe, ngoja niwakumbuke kama bado wapo na huyu ahjussi.
scalethat + talnam

  1. Yang Se Jong Confirmed To Appear In Upcoming Historical Drama
  2. Woo Do Hwan Confirmed To Join Yang Se Jong In New Drama
  3. AOA’s Seolhyun In Talks For New Drama With Yang Se Jong And Woo Do Hwan
Afu anafanya cameo kwenye crowned crown au kingdom moja kati ya hizo
 
Afu anafanya cameo kwenye crowned crown au kingdom moja kati ya hizo
yes amefanya kwenye the crowned clown drama episode 1 kwa sababu ya uhusiano wake na director kim hee won. Wawili hao walifanya kazi kwa pamoja kwenye drama ya MONEY FLOWER.
ameigiza uhusika wa mfalme seonjo ambaye ndiye baba wa mfalme gwanghae
1547898937361.png
 
Wazee,
Ni drama zipi za kiinteligence kama IRIS, City hunter, Athena zilizotoka?

Sent using Jamii Forums mobile app
  1. secret forest /stranger
  2. criminal mind
  3. pied piper
  4. 3 days
  5. tunnel
  6. life on mars
  7. k2
  8. hidden identity
  9. less than evil
  10. terius behind me
  11. lawless lawyer
  12. signal
  13. the player
  14. mad dog
  15. bad guys
  16. the ghost detective
  17. partners for justice
  18. heartless city
  19. gap dong
  20. queen of mystery
  21. mrs cop 2
  22. sign
  23. incarnation of money
  24. voice season 1, 2
  25. defendant
  26. black
  27. come and hug me
  28. children of a lesser god
  29. phantom
unywaji pombe kupita kiasi ni faida kwa mzalishaji.​
 
Hahaha kwakweli wenye wivu watuachee

8. Wazazi wasotaka kukubali uhalisia wa matatizo ya watoto wao (coach Kim)

9. Watoto wenye uthubutu wa kumsema mzazi mpaka akajiona sio timamu lol ( se ri yeh bin, seo Joon)

10. Wapenda kutumikishwa bill hata kujali kuwa utu wao unapotezwa (Dr. Woo, Driver joo).
Naipenda Sana hi drama wacha rate ziendelee kupanda inastahili mwanzo sikuelewa kabisa, nlikua naona watu wengi lol

Sent using Jamii Forums mobile app
daebak, umemaliza kila kitu.
kama ungelikuwepo uwezekano tungelianzisha special thread kwa ajili ya SKY CASTLE, ila nimehofia tutakuwa tunafanya ubaguzi kwa wale wenzetu wanaoangalia makjang (막장 ) drama kwa sababu ili uingie kwenye thread yetu lazima usajiliwe.
hahahaaaaaaaaa watapata tabu sana team encounter, gwanggaeto, yi san, the crowned clown n.k​

nimeshaihifadhi episode 17 muda huu lakini naiweka kiporo mpaka itoke episode 18 usiku wa leo inshaallah, si unajua raha ya kizuri ukile kwa wakati mmoja na si kwa mapande kama ujenzi wa barabara za nchi za kiafrika.

sasa basi mwenzangu kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa leo na taasisi ya Nielsen Korea ni kwamba episode ya 17 imefikia 19.9% kwa kuangaliwa nchi nzima, na mji wa Seoul imegonga 21.9 % ukilinganisha na episode 16 hivyo basi kwa hesabu za kutumia vijiti na mzigo wa mawe kama watoto wa nursery, rate imeongezeka kwa 0.7%.
kwa cable tv goblin drama ndio inashikilia rekodi ya kufikia 20.5% nchi nzima kwa episode, zimebaki episode tatu na kama itatokezea na leo rate ikaongezeka kwa 0.7% basi sky castle ndio itakuwa ni drama iliyoangaliwa zaidi na wakorea kwa cable tv drama per episode.

kuna watu humu ndani na wale wanaopita bila ya kuchangia chochote unaweza kushangaa wanatamani account yangu niisahau nywila ili stori za sky castle niwapunguzie.
teh teh teh teh povu naruhusu............
1547905526337.png
 
Ndio kwanza nipo ep ya 21, yupo kwenye harakati za kumuozesha mwanae kwa Prince Dammang...

Yi San nzuri ila huku nishazoea mikikimikiki basi nikiiangalia hiyo naona imepoozaaaaa ila ni nzuri sana na visa vyake ni vizuri na vya kuhuzunisha.

Sometimes nahisi ni vile tu nimezoea KissAsian ila kuna kipindi inanisumbua nakuwa kwenye moto wa kuangalia drama halafu inakataa kuplay mf ep 11 & 18 sikuangalia. Jana usiku nimemaliza ya 19 ya 20 ikakataa inaniambia error gani sijui!
Nikaachana nayo nikaangalia Yi San leo nairudia nikajaribu ep 20 ikakubali!

Sina namna maana kuna drama nyingi hazipo KissAsian hivyo lazima nipambane nayo tu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Yi San(Wind of the Palace) nimefika Ep. ya 50. kwa sasa nafikiri historical drama mpya. Miye natumia Drama cool wala sipati tabu, Ingawa ilikuwa ina-play na kugoma wakati nilipokuwa natumia Google Chrome lakini sasa mambo ni hot sababu natumia UC Browser.
 
wale walevi wenzangu tunaokunywa korean ost pamoja na sauti za waimbaji tukutane kwenye TEST 1 yenye marks 15 😛😛😛,.
kuna bwege anaitwa damushin humu JF akisikiliza wimbo kidogo basi ameshamfahamu muimbaji kwa wale anaowafahamu lakini test ya leo kapigwa 0/15.
hii video kwa wale wenye mb 20 za bure waiangalie halafu kwa ukweli na uwazi pasina kuwepo chembe chembe za cheating atwambie kama amepata au kinyume chake.
  1. je kati ya hao watatu ni yupi LYN mwenyewe?
  2. je kati ya hao watatu ni yupi mwanamme?
ukisikia copy and paste ndio hii si kama ya bwana yule mchekeshaji.............
sitaki kusema jawabu linaanzia dakika ya ngapi japokuwa kama naliona.
hivi huyu ni mwanamme au mwanamke aliyevaa nguo za kiume?
hapana hapana anapaswa afanyiwe uhakiki wa kijinsia, isijekuwa mambo ya sungkyunkwan scandal drama.

kama namuona mzee mo palmo akiwa na tabasamu usoni, mzee wa mizuka.
bonyeza cc button kwa tafsiri ya kiingereza.
variety show za korea ndio zinanifanya nirambwe hela kwa ajili ya internet kila siku, hivi TBC, ITV, star tv, channel 10 na nyenginezo bado zipo?


ngoja niwakumbuke walevi wenzangu ila sifahamu kama bado wanaendelea na unywaji wa kilevi cha ost.
Prishaz noona.
Khantwe mpenda wengi.
Nifah mpenda il kook.
aminas simba mbovu.
 
wale walevi wenzangu tunaokunywa korean ost pamoja na sauti za waimbaji tukutane kwenye TEST 1 yenye marks 15 😛😛😛,.
kuna bwege anaitwa damushin humu JF akisikiliza wimbo kidogo basi ameshamfahamu muimbaji kwa wale anaowafahamu lakini test ya leo kapigwa 0/15.
hii video kwa wale wenye mb 20 za bure waiangalie halafu kwa ukweli na uwazi pasina kuwepo chembe chembe za cheating atwambie kama amepata au kinyume chake.
  1. je kati ya hao watatu ni yupi LYN mwenyewe?
  2. je kati ya hao watatu ni yupi mwanamme?
ukisikia copy and paste ndio hii si kama ya bwana yule mchekeshaji.............
sitaki kusema jawabu linaanzia dakika ya ngapi japokuwa kama naliona.
hivi huyu ni mwanamme au mwanamke aliyevaa nguo za kiume?
hapana hapana anapaswa afanyiwe uhakiki wa kijinsia, isijekuwa mambo ya sungkyunkwan scandal drama.

kama namuona mzee mo palmo akiwa na tabasamu usoni, mzee wa mizuka.
bonyeza cc button kwa tafsiri ya kiingereza.
variety show za korea ndio zinanifanya nirambwe hela kwa ajili ya internet kila siku, hivi TBC, ITV, star tv, channel 10 na nyenginezo bado zipo?


ngoja niwakumbuke walevi wenzangu ila sifahamu kama bado wanaendelea na unywaji wa kilevi cha ost.
Prishaz noona.
Khantwe mpenda wengi.
Nifah mpenda il kook.
aminas simba mbovu.
Hehehe japo simjui Lyn Wala nyimbo zake, ila no. 3 nlidhani ndo mwenyew maana hiyo sauti ni motooo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
daebak, umemaliza kila kitu.
kama ungelikuwepo uwezekano tungelianzisha special thread kwa ajili ya SKY CASTLE, ila nimehofia tutakuwa tunafanya ubaguzi kwa wale wenzetu wanaoangalia makjang (막장 ) drama kwa sababu ili uingie kwenye thread yetu lazima usajiliwe.
hahahaaaaaaaaa watapata tabu sana team encounter, gwanggaeto, yi san, the crowned clown n.k​

nimeshaihifadhi episode 17 muda huu lakini naiweka kiporo mpaka itoke episode 18 usiku wa leo inshaallah, si unajua raha ya kizuri ukile kwa wakati mmoja na si kwa mapande kama ujenzi wa barabara za nchi za kiafrika.

sasa basi mwenzangu kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa leo na taasisi ya Nielsen Korea ni kwamba episode ya 17 imefikia 19.9% kwa kuangaliwa nchi nzima, na mji wa Seoul imegonga 21.9 % ukilinganisha na episode 16 hivyo basi kwa hesabu za kutumia vijiti na mzigo wa mawe kama watoto wa nursery, rate imeongezeka kwa 0.7%.
kwa cable tv goblin drama ndio inashikilia rekodi ya kufikia 20.5% nchi nzima kwa episode, zimebaki episode tatu na kama itatokezea na leo rate ikaongezeka kwa 0.7% basi sky castle ndio itakuwa ni drama iliyoangaliwa zaidi na wakorea kwa cable tv drama per episode.

kuna watu humu ndani na wale wanaopita bila ya kuchangia chochote unaweza kushangaa wanatamani account yangu niisahau nywila ili stori za sky castle niwapunguzie.
teh teh teh teh povu naruhusu............
View attachment 999069
Nami usiku najishushia zangu Nani anataka stress ya kujua kilichojili ya kuwaza niumwe kichwa nikufe hahaha. Sky castle all the way

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  1. secret forest /stranger
  2. criminal mind
  3. pied piper
  4. 3 days
  5. tunnel
  6. life on mars
  7. k2
  8. hidden identity
  9. less than evil
  10. terius behind me
  11. lawless lawyer
  12. signal
  13. the player
  14. mad dog
  15. bad guys
  16. the ghost detective
  17. partners for justice
  18. heartless city
  19. gap dong
  20. queen of mystery
  21. mrs cop 2
  22. sign
  23. incarnation of money
  24. voice season 1, 2
  25. defendant
  26. black
  27. come and hug me
  28. children of a lesser god
  29. phantom
unywaji pombe kupita kiasi ni faida kwa mzalishaji.​
Kweli huu unywaji pombe kupita kiasi khaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wale walevi wenzangu tunaokunywa korean ost pamoja na sauti za waimbaji tukutane kwenye TEST 1 yenye marks 15 😛😛😛,.
kuna bwege anaitwa damushin humu JF akisikiliza wimbo kidogo basi ameshamfahamu muimbaji kwa wale anaowafahamu lakini test ya leo kapigwa 0/15.
hii video kwa wale wenye mb 20 za bure waiangalie halafu kwa ukweli na uwazi pasina kuwepo chembe chembe za cheating atwambie kama amepata au kinyume chake.
  1. je kati ya hao watatu ni yupi LYN mwenyewe?
  2. je kati ya hao watatu ni yupi mwanamme?
ukisikia copy and paste ndio hii si kama ya bwana yule mchekeshaji.............
sitaki kusema jawabu linaanzia dakika ya ngapi japokuwa kama naliona.
hivi huyu ni mwanamme au mwanamke aliyevaa nguo za kiume?
hapana hapana anapaswa afanyiwe uhakiki wa kijinsia, isijekuwa mambo ya sungkyunkwan scandal drama.

kama namuona mzee mo palmo akiwa na tabasamu usoni, mzee wa mizuka.
bonyeza cc button kwa tafsiri ya kiingereza.
variety show za korea ndio zinanifanya nirambwe hela kwa ajili ya internet kila siku, hivi TBC, ITV, star tv, channel 10 na nyenginezo bado zipo?


ngoja niwakumbuke walevi wenzangu ila sifahamu kama bado wanaendelea na unywaji wa kilevi cha ost.
Prishaz noona.
Khantwe mpenda wengi.
Nifah mpenda il kook.
aminas simba mbovu.
Sunbae mimi ost sio mlevi kabisa kifupi huwa sizielewi na sizifuatilii maana nyingi zinaimbwa kwa lugha yao. OST pekee ambazo hazinitoki kichwani ni Dream High, How can I love you kutoka Descendants of the sun na nyingine ya kwenye The Heirs siikumbuki jina zingine zote huwa nazipenda ndio ila nikimaliza drama nazo naachana nazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sunbae mimi ost sio mlevi kabisa kifupi huwa sizielewi na sizifuatilii maana nyingi zinaimbwa kwa lugha yao. OST pekee ambazo hazinitoki kichwani ni Dream High, How can I love you kutoka Descendants of the sun na nyingine ya kwenye The Heirs siikumbuki jina zingine zote huwa nazipenda ndio ila nikimaliza drama nazo naachana nazo

Sent using Jamii Forums mobile app
hivi huku Tanzania upo timu gani
ya msafi au yule more moto aliyepata msiba juzi?

unapenda nyimbo za kihindi?
hili swali la mwisho jibu lake bora liwe hapana.

nikikwambia nina miaka takribani au zaidi ya 3 sijafuatilia sanaa ya kimagharibi utaniamini?

kipindi kile chris brown anatamba na wimbo wake unaoitwa dont wake me up ndio niliacha kufuatilia muziki wa magharibi.
 
Hahahaha mimi sina timu ila napenda muziki mzuri ambao kwa mooo faya naona umeshuka kiwango kidogo si kama siku za nyuma (Nifah asione hapa...na hata akiona asijibu)
Nyimbo za kihindi walaaa sema huwa napenda kuwaangalia wanavyocheza
Kuna swali nimebakiza?
Ndio naamini, maana ulishawahi kusema hata siku za nyuma
hivi huku Tanzania upo timu gani
ya msafi au yule more moto aliyepata msiba juzi?

unapenda nyimbo za kihindi?
hili swali la mwisho jibu lake bora liwe hapana.

nikikwambia nina miaka takribani au zaidi ya 3 sijafuatilia sanaa ya kimagharibi utaniamini?

kipindi kile chris brown anatamba na wimbo wake unaoitwa dont wake me up ndio niliacha kufuatilia muziki wa magharibi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom