Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Pole, Upate Nafuu InshaAllah

Nikajua Ushapona
nimeanza mazoezi lakini sitaki kuyatesa macho kwa kiwango kikubwa, maybe jumamosi nitakusanya viporo vyote kuanzia final episode ya the fiery priest
 
kwenye TV unamiliki watatu
mtaani unamiliki watatu
JF unamiliki watatu
ofisini unamiliki watatu
sokoni unamiliki watatu
ibadani unamiliki watatu
unapoenda kuchota maji unamiliki watatu

takwimu hizi ni kwa mujibu wa aminas
sihusiki na takwimu hizi za IMF

na log out muda huu
replay yako nitakuja kuisoma baadae, nahofia itakusanya upepo wa kimbunga muda huu.
[emoji23][emoji23][emoji23] daah hao wa ibadani , sokoni, kazini sijui bombani wapenyeze hapo kwenye TV na Jf. Usimuuzie kesi aminas hizo takwimu umeingia jikoni mwenyewe
 
[emoji23][emoji23][emoji23] daah hao wa ibadani , sokoni, kazini sijui bombani wapenyeze hapo kwenye TV na Jf. Usimuuzie kesi aminas hizo takwimu umeingia jikoni mwenyewe
nilijua hutoniamini lakini sawa.
nimeshanuna.
mimi nipo upande wa pili wa muungano sasa nimejuaje takwimu za IMF wakati wizara yangu ya fedha haitambulikani?
 
Sunbae usinune jamani basi tufanye data zako ni za twaweza sio za IMF
nilijua hutoniamini lakini sawa.
nimeshanuna.
mimi nipo upande wa pili wa muungano sasa nimejuaje takwimu za IMF wakati wizara yangu ya fedha haitambulikani?
 
ahsante sana kwa kunipandisha kiwango.
Twaweza si ndio walikuja na utafiti wa 1:4.
kila watu wanne mmoja na kichaa.

rais + makamo + waziri mkuu + spika = mmoja ni kichaa
Khaa mimi simo, nakwambia mimi simo
 
Back
Top Bottom