Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

upo sahihi shin hye sun yupo vizuri sana.
mwaka huu kidogo KBS wamerudisha ubora wao wa kutengeneza project zenye muelekeo mzuri.
arthdal chronicles unaifuatilia?
Nimeangalia Episode 1 Nasubir Kuangalia Episode 2 Nikipata Wasaa, Ila Ukweli Watu Wanaiponda Sana.. Japo Kwangu Episode 1 Ni Nzuri Tu...
 
Kisa Chakutoweka Ni Nini!??

Wa Nane!? 😳
Sijaridhika!
umechukua likizo mwezi mzima kwa nini upande wangu iwe vibaya?
korean drama zinaelekea kunipotezea dira ya maisha yangu, nimeshakuwa addicted mpaka najionea aibu.

ndio maana nimepunguza dozi mwaka huu.
nimeanza kupunguza dozi ya kutembelea media zinazo ripoti korean entertainment.
kuna mwanadamu fulani alinambia siwezi kubadilika, kauli kama hizo nazichukulia ni kauli za kumkatisha adui yako tamaa.
nataka nijaribu kama naweza kuachana na ulevi wa thread hii.
 
upo sahihi shin hye sun yupo vizuri sana.
mwaka huu kidogo KBS wamerudisha ubora wao wa kutengeneza project zenye muelekeo mzuri.
arthdal chronicles unaifuatilia?
Ninachoipendea 1 Spring Night Ni Vile Wanavyotuonyesha ni Jinsi Gani Watu Wanahangaika Kumuacha Mtu Ulokua Nae Kwa Muda Mrefu Japo Mapesi Yashaisha Siku Mingi!

Yaani Yule Dada Naenda Nae Maumivu Anayopitia (Kimaigizo) Naenda Nae Kabisaa..

Ila Mule Ndani Napo Muna Hisia Sana Lol!
 
Jamaniii 😔...Mi Sababu Ya Swaum Ndomna Nikapotea!

Huyo Alokuambia Ivyo Niii Wiii...

Kupunguza Ni Sahihi Kabisaa Kabisaa Apo Wala Hatukinzani!

Ila Siyo Kupotea Umu Eti!?
 
pole sana
unadhani yupo sahihi bidada kuomba kwake kuvunja mahusiano na boy friend wake?
episode ya 6 sijaiangalia hivyo basi sijui kilichoendelea mbeleni.
sijaona udhaifu wa yule mwanamume hata ifikie hatua bidada alazimishe kuvunja mahusiano kwa kutumia kigezo cha familia ya mwanamume.

halafu cha kuvutia baba yake binti ni muajiriwa wa shule ilio chini ya usimamizi wa baba yake mwanaume
 
Jamaniii 😔...Mi Sababu Ya Swaum Ndomna Nikapotea!

Huyo Alokuambia Ivyo Niii Wiii...

Kupunguza Ni Sahihi Kabisaa Kabisaa Apo Wala Hatukinzani!

Ila Siyo Kupotea Umu Eti!?
mhhhhh hapana
mimi ni mfuasi wa imani ya buddha no love ni mwendo wa om mani padme hum muda wote
 
Ina bidi nikutafute unipe hizo series kaka
 
Pole Nawe

Yupo Sahihi Kabisa! Unavyowaona Unahisi Wana Uhusiano Wakimahaba Wale!?

Kilichobakia kwao Ni Mazoea kwakua Wamekua Pamoja Mda Mrefu Lakini Hakuna Ile Hisia Yakuwafanya Wazidi Kua Pamoja Kwa Muda Mrefu Zaidi.

Yule Bint Kapata Mtu Wa Tofauti (Apa Wanaume Mnafeli Sana) Anamuonyesha Maisha Ya Tofauti Na Yale Ambayo Hayaoni kwa Mtu Wake! Lazima Dada Akili Iruke..

Iyo Familia ya Mwanaume, Dada Anatafuta Sababu Tu Ila Ukweli Dada Ana Hisia Na Jamaa
 
atakubali kulea mtoto wa mwanamke mwengine?
ikitokezea mama mtoto amerudi kitatokezea kitu gani?
 
atakubali kulea mtoto wa mwanamke mwengine?
ikitokezea mama mtoto amerudi kitatokezea kitu gani?
Mpaka Pale Tayari Kashakubari

Huyo Mama Mtoto Hatausikaje Na Maisha Yao!
Ye akirudi akitaka Mtoto Amchukue, Awaache Ye Miaka yote alikua Wapi Mpaka Akamtelekeza Mtoto Bado Mdogo Vile!
 
Aigooooo nashukuru sana opah (sijui km nimepatia) yaaan apo nimeona moja tu ya Mr sunshine.zote mi naangalia siko selective Sana kwa Hawa ndugu zangu wakorea.
asante sanaaaa ngoja nianze na za bae wng then nije moja baada ya nyingine.........uzidi kubarikiwa na sorry kwa usumbufu kumbe umejipa likizo.
 
hamuna tatizo wala hujanisumbua kihivyo, ni makosa yangu nimeshindwa kuweka taarifa rasmi kwa muda mrefu.
nasumbuliwa na ugonjwa wa kuandika comment na kuifuta baada ya muda mchache.
ugonjwa huu kitaalamu unaitwa comment diagnosis kolomijee.

mungu ametutofautisha binadamu na viumbe wengine kwa kutuzawadiwa maarifa lakini si binadamu wote tunaotumia maarifa yetu ipasavyo kwa dhumuni la kuyakabili maisha yetu ya kila siku.
kang pil joo ni miongoni mwa viumbe hai wanaotufundisha jinsi gani mwanadamu anapaswa kuyatumia maarifa aliyopewa na muumba wake kwa ajili ya kutimiza malengo yake ya maisha aliyojiwekea.

itafute kwanza money flower drama naamini hutojutia maamuzi yako.
nitalipa fidia ya bando lako na mwengine yeyote kama atachukizwa na hii project.
mchana mwema.

 
jeongin ameshajifunza kupitia kwa dada yake ambaye ameolewa kwa ndoa ya kulazimishwa na baba yake (ndoa za siasa), angalia matatizo anayoyapitia dada yake ndani ya ndoa yake, tuachane na maigizo kwenye dunia hii tunayoishi wapo wengi sana wanaopitia maisha ya ndoa yenye manyanyaso makubwa sana kutoka kwa wenza wao lakini wakashindwa kutoa taarifa kwa sababu tofauti ikiwemo kuogopa kudhihakiwa na kuitwa wahuni wanaokimbia ndoa kwa visingizio dhaifu.

matokeo yake wanasubiri kumeshakucha ndio wanajifanya kujifunika shuka, unakuta mwanamke ameshavunjwa viungo na mwenza wake kwa vipigo, mara mwanamume ametiliwa sumu na mke wake ndio anatafuta ushauri nasaha.
kadri unavyoshindwa kutafuta msaada mapema ndio unazidi kuchochea moto wa mateso ya ndoa yako.
kuna kesi moja niliwahi kusoma stori ilitokezea nchi za amerika ambapo mwanamama alipeleka malalamiko ya kunyanyaswa na mume wake kwenye vyombo vya sheria(polisi), kibaya zaidi mume wake alikuwa ni miongoni mwa polisi wenye nyadhifa kubwa sana hali iliopelekea kesi yake ionekane ni ujinga (haikufuatiliwa) na mwisho wa siku yule baba aliamua kumuua mke wake.

unajua baadhi ya nyakati wanawake munasumbuliwa na tatizo la kuiogopa zaidi jamii kuliko munavyojiogopa wenyewe, unakuta msichana hana amani na mahusiano yake lakini kutokana umaarufu wake au umaarufu na ushawishi wa mume wake anaona tabu kutoka hadharani na kuelezea yanayomkabili.

"dah hivi kweli nitojitokeze mbele ya jamii na umaarufu wangu wote huu niilalamikie ndoa yangu, hivi jamii itanichukuliaje nitakaposema mume wangu ambaye ni waziri wa njaa na shibe wa serikali ya awamu ya 10 anachepuka si nitaonekana chanzo ni mimi nashindwa kumpa huduma bora"
 
Kwa bahati mbaya siwafahamu hata mmoja maana miye ni mzee wa Historical drama.


TOP 7 Male Idols With The Best Visuals, As Chosen By Korean Press
Here are the top 7 chosen “face geniuses”!

STORIES
Yesterday
Korean media named the 7 male idols as the most handsome “face geniuses”, thanks to their deep gazes, perfect proportions, sweep-you-off-your-feet smiles and more!

7. Ong Seongwoo


4-D visual, Ong-(da)vid.
Unbelievably perfect, tall body proportions.
— Sporbiz

6. Vernon (SEVENTEEN)


Dicaprio doppelgänger.
Visual member of SEVENTEEN, Ver-caprio.
— Sporbiz

5. Suho (EXO)
1111

His nickname is literally Jun-chael (Junmyeon and Saint Michael).
Are you human or an angel?
— Sporbiz

4. Jaehyun (NCT)


Visuals fit for the SM standard.
The ideal SM visual.
— Sporbiz

3. Kim Jinwoo (WINNER)


YG’s most handsome visual idol.
God-sent visuals.
 
Huyu no moja kabla sijaona uko juu nikajua ni demu.daaah wakorea hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…