Gwanggaeto the Great
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 831
- 1,792
Hivi hii Arrow in the bowstring naweza kuipata online??
asante mkuuArrows On The Bowstring at Dramanice
Set in 1940s China, Manchuria has been invaded- now a puppet state under the Empire of Japan. Xu Yi Hang and her two siblings are skilled archers from a military family who, after facing tragedy at the hands of invading Japanese, travel to the city o ... at Dramanicewww6.dramanice.movie
Angalizo!asante mkuu
Hata Usipate tabu, Nishajiunga huko Telegram.basi kuna muhuni anatupia vitu huko wacha niwe mpole mpaka zije zile nazopenda.Bora umemjibu maana nilitakari ni utani au anamaanisha?
Baadae nikahitimisha kwa kudhania ni utani.
Mambo yanazidi kupamba moto huko Telegram, well done Daemusin [emoji1433][emoji1433][emoji1433]
na huyo muhuni anavyopenda sifa za kijinga tokea asubuhi ameikalia internet mpaka muda huu, hana muda hata wa kuwaza chakula inavyoonekanaHata Usipate tabu, Nishajiunga huko Telegram.basi kuna muhuni anatupia vitu huko wacha niwe mpole mpaka zije zile nazopenda.
kila la kheri brotherNgoja nikimaliza Dae Jo Young wikendi hii niikomalie hiyo sasa.
na huyo muhuni anavyopenda sifa za kijinga tokea asubuhi ameikalia internet mpaka muda huu, hana muda hata wa kuwaza chakula inavyoonekana
ni mwendo wa kudownload na kuapload
kweli starehe gharama.
halafu sasa watu wenyewe mabubu au telegram hamuna kuchati?
anapost peke yake
anaongea peke yake
anajichekesha peke yake.
teh teh teh
πππ Suala la msingi fanya kile kinachoifurahisha roho yako, Thamani ya maisha ipo ndani ya Furaha.na huyo muhuni anavyopenda sifa za kijinga tokea asubuhi ameikalia internet mpaka muda huu, hana muda hata wa kuwaza chakula inavyoonekana
ni mwendo wa kudownload na kuapload
kweli starehe gharama.
halafu sasa watu wenyewe mabubu au telegram hamuna kuchati?
anapost peke yake
anaongea peke yake
anajichekesha peke yake.
ndio maana naipenda JF, napata muda wa kuchati na mlevi kutoka pyongyang
teh teh teh
π π π π Unadhani kuandika hicho kidhungu chako ulikuwa unanikomoa miye!!!!!. Sijasoma NG'Onaunga mkono uamuzi wako bibieee, binafsi nilishaanza kufanya maandalizi ya kumtafuta daktari wa akili kutoka kwetu uswahili nimsafirishe hadi korea kwa ungo wa bibi wa bibi yangu.
jamani naomba munisamehe kwa tabia yangu ya kushindwa kuzitafsiri hizi taarifa, mambo mengi na muda ni mchache
Ku Hye Sun Says She Will No Longer Talk About Ahn Jae Hyun And Divorce On Social Media
On October 11, Ku Hye Sun took to her Instagram and shared her thoughts about the ongoing divorce case between her and Ahn Jae Hyun.
She stated that she will not talk about the divorce on social media anymore, and she also seems to have deleted all her previous posts about the situation. This includes the photo that was posted earlier today, an image of someone wearing a bathrobe, with a caption that said Ku Hye Sun submitted four photos to the court regarding her divorce case.
The following is Ku Hye Sunβs statement:
View attachment 1229760
In early September, Ku Hye Sun claimed that she and Ahn Jae Hyun were getting a divorce because he had an affair, saying that she had a photo of him βeating a late-night snack with an actress at a hotel while wearing a gown.β
idea nzuriTatizo tukiruhusu chats pale aim ya Channel itapotea maana drama tutakuwa tunazitafuta kwa torch.
huko waliko wanaomba waione sura ya daemusin lakini siku hiyo watajuta πππ
na walivyo wengi hao parasites
mhhhhhhhhhh!
yes walinikera sana, unadownload drama episode 14 kati ya 16 kwa gharama zako na muda wako, unampa mtu bure lakini cha kuchekesha anakujia tena ummalizie episode 2 zilizobaki kana kwamba hana internet na computer, cha kushangaza zaidi tukiwa maeneo ya chuo huduma ya internet ni bure.
wakati huo huo umeshampa completed drama zaidi ya 20.
ikitoka episode mpya akikuona maeneo ya chuo anakufuata umpe ulevi pendwa
unampa software ya kudownload bure anashindwa kuifanyia kazi
unampa link bure ili azidownload mwenyewe hizo zilizobakia anashindwa
basi hata kujiongoza unashindwa labda ni kwa sababu ni mwanamke ndio kila kitu ufanyiwe?
labda ni kwa sababu tunaishi pamoja (ghetto au hostel) ndio kila kitu nifanye mimi?
wakati mimi nakupa dramas bure upande mwengine watu wanafanya biashara (nimeshaona matangazo kibao instagram), basi hata hili parasite hafikiriii
miaka yangu ya kuwapa series bure imeshatosha
now ni mwendo wa kudownload na kufuta.
kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake
zote nilizozipost kule telegram nimeshazifuta muda huu.
βJuzi nimetembelea Hifadhi ya Katavi nimekuta viboko wanakaribia kufa hawana maji, sasa wakikimbilia huku msiwalaumu, kwanza viboko wale nawapongeza kwasababu wana akili sana(tuwapigie makofi) wamekuja wakae na nyinyi Mjini kwa sababu mmewazibia maji kule, TANAPA hawajachimba Mabwawa kule, nyinyi mmechimba Mjini na wao wamekuja, wakiwaua mnasema wamewafuata, eti mnataka kuwaua, kuwaua sio solutions wapeni majiβ- JPMHahaha Panadol zinafaida sana kwenye mwili wa binadamu ( usiniulize faida hizo sababu miye si mganga). Lakini dawa hizo hizo zikitumika kupita kiasi zinageuka dawa za kulevya. Sasa wewe nakushauri mavi ya punda ni suluhisho la matatizo yako(usiniulize kuwa unashida gani).
you have zero taste for modern drama.π π π Hivi nani ambaye ameanza kuathirika kisaikolojia kama mimi sababu ya Historical Drama.
Mfano Ile tabia ya Kuweka mikono nyuma wakati wa kutafakari mambo kadha wa kadha.
Tabia ya kuguna kama Ma- General bado haijaniathiri.
Hahaha Bado sijaijua ladha ya Modern Drama.you have zero taste for modern drama.
kwa kiingilishi nimeandika sawa jamani, hii lugha naiogopa kuliko hadithi za popobawa lakini sikomi kujaribu kuandika porojo lake
hayo maisha unayoyapitia wewe ya kujimbwambafy na historical drama kiupande wangu nilishayapitia takribani miaka mitatu iliopita, baadae nikaacha ujinga
kila mara utamsikia muigizaji anaguna mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh utadhani anatoa choo kikubwa cha mapera machanga.
kila muda utamsikia eunuch anakimbilia kwa mfalme na kilio juu kama mtoto aliyenyimwa pipi "
pyehaaaaaaaaaaaaaaa (νν) kuna uasi (banhang = λ°ν) unafanyikaaaaaa
tena mfalme utamsikia akijibu kwa sauti kubwa kama mwanamme mwenye hashuo la kufuatilia maisha ya watu.
niiiiiiiiniiiiiiiiiiiii ..............mwo (λ) yooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
na usiombe ukamkuta general mshamba anamtongoza mwanamke mshamba, mama weeeeeeee utacheka
wanakaliana mita 100 kama wapo kwenye kituo cha kupiga kura
general (jang-gun μ₯κ΅°): saranghaeyoooooooooo
binti (agassi): na do sarangahaeyoooo
general (jang-gun μ₯κ΅°):bogoshipdaaaaaaa
binti (agassi): na do bogoshipoyoooooooo
mara paap general anatoka mbio na farasi wake mpaka kwa mwanamke basi mtazamaji anabaki kujiuliza huyu bwege anataka kufanya nini?
kumbe mbio zote anataka kumkumbatia mwanamke baadae amwambie nakwenda vitani agassiiiiiiiii
kituko wanapoamua kupigana busu mhhhhhhh
hilo vurugu lao utadhani ndio wanatafuta mtoto na si ajabu kumkuta mmoja kati yao amekatwa ulimi au ameng'olewa jino
endelea hivyo hivyo na ujinga wako wa kuwashikilia hao wavaa mapazia na wafugaji ndevu nyingi kama steel wire za kuoshea masufuria yaliopikiwa pilau
bwege weweeeeeee
=======================================================
happy birthday bae suzy
acha niangalie vagabond ep 7 kabla ya saa 2 kufika.
raha ya ngome uingie mwenyewe uchezeHahaha Bado sijaijua ladha ya Modern Drama.
Huko kuna swaga gani?
Nimeipenda Iyo Picha.you have zero taste for modern drama.
kwa kiingilishi nimeandika sawa jamani, hii lugha naiogopa kuliko hadithi za popobawa lakini sikomi kujaribu kuandika porojo lake
hayo maisha unayoyapitia wewe ya kujimbwambafy na historical drama kiupande wangu nilishayapitia takribani miaka mitatu iliopita, baadae nikaacha ujinga
kila mara utamsikia muigizaji anaguna mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh utadhani anatoa choo kikubwa cha mapera machanga.
kila muda utamsikia eunuch anakimbilia kwa mfalme na kilio juu kama mtoto aliyenyimwa pipi "
pyehaaaaaaaaaaaaaaa (νν) kuna uasi (banhang = λ°ν) unafanyikaaaaaa
tena mfalme utamsikia akijibu kwa sauti kubwa kama mwanamme mwenye hashuo la kufuatilia maisha ya watu.
niiiiiiiiniiiiiiiiiiiii ..............mwo (λ) yooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
na usiombe ukamkuta general mshamba anamtongoza mwanamke mshamba, mama weeeeeeee utacheka
wanakaliana mita 100 kama wapo kwenye kituo cha kupiga kura
general (jang-gun μ₯κ΅°): saranghaeyoooooooooo
binti (agassi): na do sarangahaeyoooo
general (jang-gun μ₯κ΅°):bogoshipdaaaaaaa
binti (agassi): na do bogoshipoyoooooooo
mara paap general anatoka mbio na farasi wake mpaka kwa mwanamke basi mtazamaji anabaki kujiuliza huyu bwege anataka kufanya nini?
kumbe mbio zote anataka kumkumbatia mwanamke baadae amwambie nakwenda vitani agassiiiiiiiii
kituko wanapoamua kupigana busu mhhhhhhh
hilo vurugu lao utadhani ndio wanatafuta mtoto na si ajabu kumkuta mmoja kati yao amekatwa ulimi au ameng'olewa jino
endelea hivyo hivyo na ujinga wako wa kuwashikilia hao wavaa mapazia na wafugaji ndevu nyingi kama steel wire za kuoshea masufuria yaliopikiwa pilau
bwege weweeeeeee
=======================================================
happy birthday bae suzy
acha niangalie vagabond ep 7 kabla ya saa 2 kufika.
umepakua wapi?Msaada jamani ,,,,nipo na. Download hapa the return of iljimae ,,,,nme pakua moja hapa naona episode ya pili inadowload kidogo kisha inastop
Sent using Jamii Forums mobile app
yes amependeza japokuwa hajakushinda wewe.Nimeipenda Iyo Picha.
Oct Mwezangu.