you have zero taste for modern drama.
kwa kiingilishi nimeandika sawa jamani, hii lugha naiogopa kuliko hadithi za popobawa lakini sikomi kujaribu kuandika porojo lake
hayo maisha unayoyapitia wewe ya kujimbwambafy na historical drama kiupande wangu nilishayapitia takribani miaka mitatu iliopita, baadae nikaacha ujinga
kila mara utamsikia muigizaji anaguna mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh utadhani anatoa choo kikubwa cha mapera machanga.
kila muda utamsikia eunuch anakimbilia kwa mfalme na kilio juu kama mtoto aliyenyimwa pipi "
pyehaaaaaaaaaaaaaaa (폐하) kuna uasi (banhang = 반항) unafanyikaaaaaa
tena mfalme utamsikia akijibu kwa sauti kubwa kama mwanamme mwenye hashuo la kufuatilia maisha ya watu.
niiiiiiiiniiiiiiiiiiiii .............
.mwo (뭐) yooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
na usiombe ukamkuta general mshamba anamtongoza mwanamke mshamba, mama weeeeeeee utacheka
wanakaliana mita 100 kama wapo kwenye kituo cha kupiga kura
general (jang-gun 장군): saranghaeyoooooooooo
binti (
agassi): na do sarangahaeyoooo
general (jang-gun 장군):bogoshipdaaaaaaa
binti (
agassi): na do bogoshipoyoooooooo
mara paap general anatoka mbio na farasi wake mpaka kwa mwanamke basi mtazamaji anabaki kujiuliza huyu bwege anataka kufanya nini?
kumbe mbio zote anataka kumkumbatia mwanamke baadae amwambie nakwenda vitani agassiiiiiiiii
kituko wanapoamua kupigana busu mhhhhhhh
hilo vurugu lao utadhani ndio wanatafuta mtoto na si ajabu kumkuta mmoja kati yao amekatwa ulimi au ameng'olewa jino
endelea hivyo hivyo na ujinga wako wa kuwashikilia hao wavaa mapazia na wafugaji ndevu nyingi kama steel wire za kuoshea masufuria yaliopikiwa pilau
bwege weweeeeeee
=======================================================
happy birthday
bae suzy
acha niangalie
vagabond ep 7 kabla ya saa 2 kufika.