[emoji23] [emoji23] ila wakorea bhana usipokuwa kauzu kama mimi utalia hadi basi. Mimi nakumbuka City hunter nililiaga kweli alivyokufa Kim Young Joo yaani nililiaa hadi nilipozinduka kwamba hivi wanaigiza nilikuwa nimemwaga mchozi wa kutoshaSure [emoji85]
Ukiangalia series na mimi utanichoka.Ni chache sana ambazo silii.
Ila wakorea wamejua kunitesa aiseee.
Drama/series/movie zao zote kali.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe na wewe kuna wanapokushika?[emoji23] [emoji23] ila wakorea bhana usipokuwa kauzu kama mimi utalia hadi basi. Mimi nakumbuka City hunter nililiaga kweli alivyokufa Kim Young Joo yaani nililiaa hadi nilipozinduka kwamba hivi wanaigiza nilikuwa nimemwaga mchozi wa kutosha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umemsahau Prosecutor Kim? Yule alikuwa anagombana na baba yake fisadi[emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe na wewe kuna wanapokushika?
Hivi Kim Young Joo ni nani tena?
Nimesahau muhusika wa hilo jina.
Ooooh kweli nimekumkumbuka.[emoji23] [emoji23] [emoji23] umemsahau Prosecutor Kim? Yule alikuwa anagombana na baba yake fisadi
Ila hii mimi nadhani kwa vile ulishaniambia inaliza kwa hiyo nilishajiandaa kisaikolojia ndo maana haijanilizaOoooh kweli nimekumkumbuka.
Nafikiri aliuawa na Dady...
Yule mzee mbishi kinoma.
Sawa sawa. Pia hata nami nasapoti hilo. Admn yeyote wa magroup ya WhatsApp ai telegram atupie link humuHabarini ndugu mnaonaje huu Uzi tukaihamisha whatsapp lengo ni kuwa updated zaidi ?
Fanya kutengeneza group kiongoziHabarini ndugu mnaonaje huu Uzi tukaihamisha whatsapp lengo ni kuwa updated zaidi ?
Groups zipo ni pm namba yakoSawa sawa. Pia hata nami nasapoti hilo. Admn yeyote wa magroup ya WhatsApp ai telegram atupie link humu
Ni Pm your nambaHabarini ndugu mnaonaje huu Uzi tukaihamisha whatsapp lengo ni kuwa updated zaidi ?
+255712633323Groups zipo ni pm namba yako
0625737603 addGroups zipo ni pm namba yako
Unapakua kwa simu au pc?Shukrani mkuu nimeanza kupakua gu family book kwanza
pcUnapakua kwa simu au pc?
Okey maana nimeingia kwa simu nakutana tu na vitu vya ajabu ngoja nikajaribu nikishindwa nitarudi