Kwangu hivyo vitu sina interest navyo.Siku hizi naifuatilia series ya woman of 9.9 billion ni noma hiyo ebu icheki utaipenda mwenyewe alafu nipe mrejesho.
Kwani umeiona hii series?Hapana we fatilia tu sio kila unachokipenda na wengine watakipenda
Kwani umeiona hii series?
itafute ipo Kama vagabond ni noma ile mbaya.Ni drama sio series
Bado sijaiona
itafute ipo Kama vagabond ni noma ile mbaya.
Ningependa kuuliza swali moja;
Ni wangapi wamewahi kuitazama movie moja hivi ya mwaka 2016 inayokwenda kwa jina la "Train to Busan"?
Mimi niliyeuliza swali hilo ni mmoja wa waliowahi kuitazama movie hiyo.
Hiyo ni filamu au movie yenye maudhui fulani hivi ya kutisha kwa wastani.
Ni movie ya 'mazombi' (zombies) na kama wewe ndugu msomaji wa andiko hili ni mpenzi wa 'mazombi' basi hiyo movie si ya kukosa.
Sasa,
Kwa wale wapenzi wa projects mbalimbali kutoka tvN, mwandishi wa hiyo movie kali kabisa niliyoitaja hapo mwanzoni anakuja na project nyingine mpya kabisa yenye maudhui kama hayo hayo ya kutisha tisha (Supernatural/Thriller).
Project hii mpya inakwenda kwa jina la “The Cursed”.
Hii project ya “The Cursed” inamuhusu msichana mmoja mwenye roho fulani ndani yake inayomfanya kuwa na uwezo wa ajabu sana.
Je, ni uwezo gani huo?
Swali kama hilo na mengineyo yatapatiwa majibu au majawabu pale project hii itakapoanza kurushwa hewani panapo mwezi Februari 10 mwaka huu katika siku mbili za wiki, yaani Jumatatu na Jumanne kupitia kituo chako pendwa kabisa cha tvN.
Tunamalizana na 'Black Dog' kisha inafuata hiyo.
Kaa tayari!
====
News Alert: New Supernatural Thriller Drama “The Cursed” From Writer Behind “Train To Busan”
The new drama is about a teenage girl who has the ability to curse others with death using the characters of someone’s official name written in hanja (Chinese characters), a picture, and a personal belonging.
The girl, alongside a reporter with a strong sense of justice, stands to fight against an immense evil hidden behind a major IT company.
“The Cursed” is writer Yeon Sang Ho’s first foray into the drama world, who penned the hit 2016 zombie film “Train to Busan.” At the helm of the drama will be director Kim Yong Wan (“Champion,” 2018).
The new teaser shows clips of the young girl with this mysterious power, to which the narrator says, “A photo, a name written in hanja, and a personal belonging. It begins now.”
“The Cursed” is set to premiere on February 10. [Soompi]
View attachment 1325371
====
Watch the spine-chilling new teaser trailer below:
itafute ipo Kama vagabond ni noma ile mbaya.
Sababu ipi iliyokufanya usipende vagabond.Vagabond mimi sijaipenda kabisa. Sijui kwanini
Hiyo drama Ina mambo pia ambayo unaweza kujifunza Kwenye maisha tunayoishi kiufupi me nimeipenda Sana naamini ukipata muda itafute utaenjoy na hautajuta kupoteza bando lako.HAPANA
Hiyo drama Ina mambo pia ambayo unaweza kujifunza Kwenye maisha tunayoishi kiufupi me nimeipenda Sana naamini ukipata muda itafute utaenjoy na hautajuta kupoteza bando lako.
Ahsante, Yaani nilikuwa sijatazama hata episode moja.Pole sana huwa hali hii inatukuta wapenzi wa movies. Juzi tu kabla ya kuangalia nilijikuta nimefuta episode kibao za six flying dragon
Kwako Daemusinmkuu huko kwenye channel mbn hujaiweka hiyo age of warriors? iweke bwana.
n.b ndio nimejiunga mda huu kwa channel
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu umeiona drama ya " woman of 9.9 billion"umekunywa chai ya moto imekuunguza mdomoni cha ajabu unavunja kikombe kwa hasira kanakwamba ndicho kilichokushauri unywe maji ya moto.
wewe muhuni kwa nini unapenda sana uchochezi dhidi yangu?
happy new year brother.
Naomba unisaidie Kunitajia jina la series moja hivi inahusiana na mambo ya ndoa mumewe alimpigia simu mkewe nakumuuliza uko wapi mkewe akajibu sikutajii na siku ya Leo naenda kukucheat.Mkewe amefikia maamuzi hayo baada ya kutofurahishwa na mambo yanayoendea kwenye ndoa yake na mumewe.Cast wakuu wa hiyo drama ni kwon do Hun na Lee su Jin hiyo drama ya mwaka 2019.yes, naiangalia kila wiki...
ilianza vizuri sana ila kadri siku zinavyokwenda mbele hadithi yake inaanza kupoteza mvuto...
ngoja tuone mwisho wake utakuwaje wiki hii inayofuata
Ila duh we jamaa unatisha umeangalia project 36 me hata 10 hazifiki.ungeliweka majina yao halisi ingelikuwa rahisi zaidi kuipata hiyo drama.
mwaka 2019 kwenye project 93 za wakorea nilibahatika kuangalia project 36 lakini sikubahatika kuangalia project kama hiyo.
Leo ni siku yenu ya kuchinjwa na majogoo wa jiji usimtuke mamba kabla ujavuka mto.teh teh teh
unaanza tena na mambo yako....
ila leo nimekuja kwa wema hivyo basi sitaongeza chochote.
chelsea oyeeee...
oh my god nilisema sito-ongeza chochote
Sababu kubwa ya Mimi kutoangalia series nyingi za Korea ni kwasababu naangalia series za wazungu pamoja na movie zao sija focus pekee kwenye Korea me naangalia hata series za china,kidogo pia Japan pamoja na movie za Thailand.teh teh teh
unaanza tena na mambo yako....
ila leo nimekuja kwa wema hivyo basi sitaongeza chochote.
nasema sito-ongeza chochote
chelsea oyeeee...
diamond platnumz the boss oyee
oh my god nilisema sito-ongeza chochote
Una Nini Lakini!?ok, kumbe unakunywa pombe mchanganyiko ndio maana ukija huku unauliza maswali ya ajabu ajabu...