Acha majungu mzee baba mambo ya mjukuu yametokea wapi?by the way imekubali sasa hiv mwanzo ilikuwa na id nyingi ukitaka kudownload.punguza bangi mjukuu wangu...
kila siku natumia kissasian kupakua drama, sielewi kiupande wako inagomaje..
hebu tiririka kwa sababu gani zinakugomea?
itakuwa ile comment yako hakuisoma
teh teh teh
Juzi nilimsikia mwanasiasa mmoja akisema Watanzania ni washamba ndio maana wanajazana pale JK. Nyerere kwenye kupokea......kuzungumza na kupanga(budgeting) ni tofauti kabisa na kutenda mjinga weweee.....
bahati mbaya watanzania wanavutiwa zaidi na mazungumzo kuliko matendo ndio maana wanajazana zaidi kwenye viwanja vya kampeni kuliko siku za uzinduzi wa miradi ya kimaendeleo.
kazi kwako muhuni weweee
2020TwendeNaDaemusin
- either uwaondoe watanzania kwenye upofu wa kupenda mazungumzo kwa kuwatafutia tiba itakayoweza kuwasahaulisha jinamizi hilo
- au uzidi kuwazamisha kwenye upofu huo kwa kujiweka mbali na filamu za siasa.
😂😂😂😁 MUHUNI KUTOKA S.K2020TwendeNaDaemusin
Ina maana hiyo jackpot umeangalia bila kusikiliza maoni ya wana Kama ni nzuri au la?Me binafsi siwezi kuangalia drama yoyote bila maoni ya watu kwanza.Jackpot(the royal gambler) hii na dong yi naona zina story moja ila mambo tofauti kidogo
Ina maana hiyo jackpot umeangalia bila kusikiliza maoni ya wana Kama ni nzuri au la?Me binafsi siwezi kuangalia drama yoyote bila maoni ya watu kwanza.
weweeeee umesahau ya kwamba ahjumma ha ji won nimemchagulia mimi babu yake.
acha kumpotosha mjukuu wangu asiyetaka kukitambua cheo changu.
power of love
love doesn't ask why
mjukuu ameniambia hapendi wasichana anaolingana nao kiumri kwa sababu wana fyoko fyoko nyingi zinazodi umri wao...
honey nataka sabuni anayokogea beyonce
honey nataka mswaki wa bamboocha
honey nataka gari ya lamborghini
kwa mujibu wa maneno yake anadai wazee hawana fyoko fyoko nyingi... wao shida yao ni paketi la sigara na ndoo ya sabuni ya unga
black dog : ilinishinda njiani tokea episode 4 (niliamua nipambane na diary of prosecutor kwa lengo la kupunguza ulevi)
queen love: nimeipotezea kwa sababu ya lead actor (wangelitafuta matured actor ningelipoteza muda wangu, ukiangalia supporting actors hususani wazee wapo vizuri sana)
mwanamme amejaa dimples mashavuni utadhani andazi la bakhressa.
ananifanya niwe uncomfortable kama mdogo wako meok goo anaponyimwa fedha ya kununulia bakuli la wali na gavana
akinuna dimples
akicheka dimples
wengine dimples zetu zimeingia ndani zaidi kama vishimo vya kuchezea gololi
View attachment 1344569
wakorea na wao wamejaza sherehe kwenye maisha yao kama wahindi...
teh teh teh
huu mwaka nisipokuwa makini huenda nitavunja rekodi ya kuangalia drama, nimekusudia nipunguze tena dozi ila huenda ikaongezeka zaidi..
kila drama niliyojaribu kuiangalia kwa mwaka 2020 basi inaleta vishawishi ya kuendelea nayo:
ewe Mungu weeeee bora wamarekani watuwekeee vikwazo vya kutokuangalia wakorea ili wengine tuhamie kwenye siasa tukapate pesa za kufidia hasara ya bandow
2020 KOREAN DRAMA
2019 KOREAN DRAMA
- touch drama (hii sijawahi kuiangalia na sina mpango huo)
- money game drama (bonge ya vita inayohusu pande mbili zinazotofautiana kisera za kiuchumi, maisha yote taifa linapo ongozwa na wachumi uchwara hutumbukia shimoni, ngoja tuone jinsi gani hii nchi itakavyojiokoa na second IMF crisis kama ilivyokuwa 1997)
- itaewon class drama (hii imeanza ijumaa na episodes mbili za mwanzo zimenitia mzuka, inaakisi uhalisia wa maisha wanayopitia vijana wengi wasiokuwa na nguvu, mpaka wanapofanikiwa kimaisha wanajikuta wanapitia changamoto nyingi sana zenye kuumiza tofauti na kelele za bongo zozo zisizoumiza )
- romantic doctor kim season 2 (mpambano umezidi kuwa mkali humu ndani, watamuangusha huyu daktari genius? hata sijui bwanaaa)
- forest drama (hii sijaiangalia mpaka muda huu ila episode zote ninazo, sielewi kwa nini hii drama inachelewa kuwekwa subtitle, huenda viki hawana haki ya kuitafsiri hii project) Itapendeza zaidi kama project hii itakuwa ni mbayaaa ili ulevi upungue.
- tell me what you saw drama (imeanza jana na ndio project ya mwanzo ya OCN kwa mwaka huu kama nitakuwa nipo sahihi, wazee wa criminal, thriller and action. Jang hyuk amerudi tena akiwa ni genius criminal profiler). Nimeshaihifadhi episode 2 muda huu japokuwa haina subtitle
- Crash landing on you drama (imebaki episode 4 kumalizika)
- stove league drama(imebaki episode 3 kumalizika): natamani man utd tuajiri mtendaji mwenye sifa kama za huyu jamaa wa humu ndani ili atuokoe na huu mkwamo.
- diary of prosecutor drama (imebaki episode 4 kumalizika) : (hivi ni nani aliyekwambia ya kwamba waendesha mashitaka ni malaika? : prosecutors wanacheza kamari wakiwa ghetto then wakirudi ofisini wanaanzisha kampeni ya kutafuta magenge ya wacheza kamari... hivi hii ni haki? ukitaka kufahamu maisha ya kila siku ya hawa mabwege wanaofunga watu basi itafute hii drama... kumbe hawa mabwege wanakwenda chooni kama sisi watuhumiwa watarajiwa
wakorea wanapenda kula
wakorea wanapenda kupeana offer ya vinywaji
wakorea hawawezi kunywa pombe bila ya nyama choma
Naona leo mmetengeneza kikao Chenu cha majungu na uchochezi na mwenzako Daemusin kwa ajili ya kumzungumzia Mume halali wa Ha ji won Innocent dependent me nawaangalia tu ila nimependa kitu kimoja kwenye kikao Chenu mmenipa na drama za kuangalia maana sasa nimekomaa na drama zangu VIP pamoja na Woman of 9.9 billion nikizimaliza hizi nakuja huko.Halafu wa kwanza kulalamika maisha magumu mara mishahara modogo ila kwenye kunywa wanasahau hilo,kila saa ofa za msosi au pombe. Mabingwa wa kushika mikasi ya kukatia nyama,kuagiza kuku
Wakorea naomb niulize instant noodles kwa kwet n chakula kipi,
na soju kwa bongo tutaifannsha n bia gan, je manufacturer wake n mmoja nationalwide?
Asante[emoji1374]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Woman of 9.9 billion kwa upande wangu nimeikubali Sana alafu nimeimaliza Jana.Jaman Arthdal inarudi lini
Natizama Woman of 9.9 billion yaan saiv Kama Kuna uhaba wa drama Kali[emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie niko ep 13 nowWoman of 9.9 billion kwa upande wangu nimeikubali Sana alafu nimeimaliza Jana.