Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Mi Netflix Inanitoa Ushamba Kila Nikijitahid Kujiunga Wapi.
 
Anha Now Nimeelewa Nilijua Itaewon Unaiangalia Kupitia Netflix.
 
Love Alarm Nayo Nzuri.
 
wapo ahjummaaaa.....
wala huhitaji tochi kuwatafuta...

lakini mimi sie kati yao🚶‍♂️🚶‍♂️
Ni Watochi Sana Chingu.

We Sae-Ro-Yi Vile Anavyomuelewa Mdada (Soo-a) Na Kumpa Uhuru Vile Wa Kuishi Maisha Yake Vile Anavyoona Sawa Bila Kumuingilia Japo Ameside Na Wabaya Wake.

Tochi Yenyewe Zile Za Kwenye Meli.
 
Hakumkis Tu, Walikua Kabisa Kwenye Mahusiano Wakati Sun-Oh Alikua Anajua Kua Rafiki Yake Anampenda Jo-Jo.

Ila Season Ya Kwanza Iliishia Kua Jo-Jo Yupo Kwenye Mahusiano Na Hye Young..

Nae Uyu Hye Young Yupo Kama Sae-Ro Yi Tu.
 
Ila tukiacha ushabiki hawa waigizaji wazee wanajua sana kuigiza kuliko Vijana.
Jinsi wanavyovaa uhusika si mchezo!.
Kuna wakati mtu unaangalia Drama mpaka akili inajisaulisha kama ni Drama, kwa jinsi watu walivyomakini, utadhani ni maisha halisi ya yao wameamua kuyaweka Mubashara.
Kuna wakati mtu unapotazama Taarifa ya Habari Korea Utadhani kama unaangalia Drama, ukiangalia Drama ni kama Habari na matukio ya mitaani kwao. yaani wanapita mulemule zilimopita nyayo ya miguu ya mbele, ndimo wapitishamo nyayo ya miguu ya nyuma.
Nilijaribu kufuatilia kwa ufupi sana nini moja ya siri ya mafanikio yao?
Niligundua kuwa wale watu wanaipenda sana sanaa yenyewe ya kuigiza na kucheza filamu, na sanaa hiyo imekuwa msaada kwa watu wengine ambao hawana Ajira, mfano juzi nilikuwa naitazama Al Jazeera walionyesha maelfu ya watu wamekwenda kuwapokea Waigizaji na Wazalishaji wa Drama ya "THE PARASITE" .
Nilishangazwa sana na wale watu jinsi walivyo na mapenzi na Tasnia hiyo, haswa kwa umati ule na ushirikiano walioutoa.
Wakorea na uigizaji hawana tofauti na Wabrazili na Soka.

Hahaha Ni ruhusa kwa kinywa kimoja kula vyakula vua aina mbili au zaidi kwa wakati mmoja. Kwahiyo tuvumiliane, kwa taibia ya kuanza kula ugaii kisanvu kisha nikaamia ugali kwa samaki.
 
Huyu mjinga hajawahi kuishiwa vituko Lee moon shik a.k.a Jook Bang.
Hapo yuko Pori anachuma dawa
Pic from "DAMO" the drama
View attachment 1366214
Nimeona episode 1 sijavutiwa nayo kikweli hii imezidi uongo me nikionaga drama yenye uongo mwingi ninakuwa Sina hamu tena yakuangalia mtu karushiwa vitone vya maji vidogo eti anarusha as if karushiwa bomu.Kuna mambo yakupaa juu kiufupi uongo uongo mwingi mpaka inaboa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…