Dah leo ndo nimeweza kudownload Damo kumbe tatizo lilikuwa app ninayotumia kudownload leo nimejaribu kutumia UC browser imekubali bila shida tena kiurahisi.Big up kwenu wewe pamoja na mwenzako Daemusin pamoja na kuwasumbua Sana lakini mmenivumilia hivyo hivyo Asanteni wakuu.Crash landing on you mmh tofauti na inavyosifiwa kwangu ya kawaida mno.
Actions zake ni za uongo sana hata miye sivutiwi nazo, lakini mambo mengine iko safi.Nimeona episode 1 sijavutiwa nayo kikweli hii imezidi uongo me nikionaga drama yenye uongo mwingi ninakuwa Sina hamu tena yakuangalia mtu karushiwa vitone vya maji vidogo eti anarusha as if karushiwa bomu.Kuna mambo yakupaa juu kiufupi uongo uongo mwingi mpaka inaboa.
Nitajie drama zipi Kali mwanadada ha ji won amecheza ukitoa The empress ki na secret gardenActions zake ni za uongo sana hata miye sivutiwi nazo, lakini mambo mengine iko safi.
Tofauti na drama, huyo kacheza movies nyingi pia. Kama wewe ni mpenzi wa movies utamkuta huko amejaa tele!Nitajie drama zipi Kali mwanadada ha ji won amecheza ukitoa The empress ki na secret garden
Huyu dada namkubali ile mbaya.Tofauti na drama, huyo kacheza movies nyingi pia. Kama wewe ni mpenzi wa movies utamkuta huko amejaa tele!
Ziko nyingi tu ila mojawapo ni kama hii hapa, inaitwa The Huntresses ya mwaka 2014.
Unaweza kuitafuta!
View attachment 1369246
View attachment 1369243
View attachment 1369244
View attachment 1369245
Hivii Mshapata Website Ya KuDownload One Full Episode Au Bado Mnashusha Episode Ikiwa Na Vipande Vipande?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umepata shukrani zangu za dhati kwako kupitia Numbisa?Hi Bye, Mamaβ Explains Why The Role Of Kim Tae Heeβs Daughter Is Played By A Boy
The drama premiered on February 22 and it tells the story of a woman (played by Kim Tae Hee) who died in a tragic accident but is miraculously able to return to her husband (Lee Kyu Hyung) and daughter for 49 days as a ghost. The role of the daughter is played by male actor Seo Woo Jin, and many viewers have been curious about why a boy was chosen to play the role.
A source from the production team told SpoTV News on February 25, βWe cast him because he looks identical to Kim Tae Hee and because of his stable acting skills.β YTN reports that a source also told them that even some of the production team hadnβt been aware that he is a boy and were surprised to find out
View attachment 1369658
Duh! kumbe kutumia dramanice ilikuwa rahisi hasa ukitumia uc browser sema maelezo ya numbisa yalifanya iwe ngumu Kama unatafuta uzima wa milele ila nimefuata maelezo yako atimae nimeweza kufanikiwa.Mwisho kabisa wakorea wanasema Gomawo mzee baba.hatujaonana mpaka muda huu kwa sababu ya location....
mimi naishi kwa wajanja wa mwanzoni...
yeye anaishi kwa wasukuma
Msanii anaweza kushiriki drama au series hata Kama haipendi kwa sababu ya hela ndo maana nakuambia ho ji won alishiriki ile drama ya chocolate kwa kuangalia maslahi sizani Kama yeye binafsi aliipenda.Love Alarm Cast Reunites For First Script Reading Of 2nd Season
Based on a popular webtoon of the same name, βLove Alarmβ is a romance drama set in an alternate reality where people find love through an application that alerts users when someone within a 10-meter radius has feelings for them. The first season began the story of Kim Jo Jo (Kim So Hyun), Hwang Sun Oh (Song Kang), and Lee Hye Yeong (Jung Ga Ram) as they face a world in which people can only express their love through the app.
On February 21, Kim So Hyun, Song Kang, and Jung Ga Ram gathered for a script reading session ahead of filming for the second season.
View attachment 1369676
innocent dependent bado unaamini ya kwamba muigizaji hana mamlaka ya kimaamuzi linapokuja suala la kazi?
ππππππ Me iliniacha hoi pale ambapo ha ji won amerusha vitone vya maji kwa jamaa ila namna jamaa alivorushwa utazani zile action za kihindi yaani uwongo mwingi mpaka inaboa kiukwel yule director haendi mbinguni aiseehiyo comment yako ya juu imenichekesha sanaaa...... basi juzi moja nyakati za usiku nilitaka kuijaribu hiyo drama ya DAMO...
pumbavu zake director..... mara paap namuona binti yupo juu ya mti....
kiasi kidogo namuona anafukuzana na mwenzake wakiwa angani....
muhudumuuuu hiyo drama imenichosha tafadhali nirudishie hela yangu.
niliwachukia wachina na project zao kwa sababu ya tabia zao za kuruka ovyo angani kama ndege za boeing
Duh! kumbe kutumia dramanice ilikuwa rahisi hasa ukitumia uc browser sema maelezo ya numbisa yalifanya iwe ngumu Kama unatafuta uzima wa milele ila nimefuata maelezo yako atimae nimeweza kufanikiwa.Mwisho kabisa wakorea wanasema Gomawo mzee baba.
What a joke daahDah leo ndo nimeweza kudownload Damo kumbe tatizo lilikuwa app ninayotumia kudownload leo nimejaribu kutumia UC browser imekubali bila shida tena kiurahisi.Big up kwenu wewe pamoja na mwenzako Daemusin pamoja na kuwasumbua Sana lakini mmenivumilia hivyo hivyo Asanteni wakuu.
Duh! kumbe kutumia dramanice ilikuwa rahisi hasa ukitumia uc browser sema maelezo ya numbisa yalifanya iwe ngumu Kama unatafuta uzima wa milele ila nimefuata maelezo yako atimae nimeweza kufanikiwa.Mwisho kabisa wakorea wanasema Gomawo mzee baba.
Mbona Numbisa umeshangaa?What a joke daah
Mbona nimekusifia especially pamoja na kukusumbua lakini ukuchoka kunielekeza pamoja na yote maelezo yako yalikuwa marefu na hayakunisaidia kwa kweli ila kwa Daemusin alinieleza kwa kifupi Na yakueleweka.So sad comment imenichoma balaa. Ama kweli shukrani ya punda Mashuzi
Mbona nimekusifia especially pamoja na kukusumbua lakini ukuchoka kunielekeza pamoja na yote maelezo yako yalikuwa marefu na hayakunisaidia kwa kweli ila kwa Daemusin alinieleza kwa kifupi Na yakueleweka.
Hapana sio pumba siunajua wa bongo tunapenda shot cutOk sorry kwa maelekezo marefu yaliyojaa pumba tupu
Hapana sio pumba siunajua wa bongo tunapenda shot cut