Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Me sijaimaliza ila mwanzo nimeipenda so inawezekana ukawa sahihi kuwa mwisho unaisha vibaya.
 
Jamani hii drama ya moto The World of Married Couples tunaijadili lini?
Ni mimi tu ndio nimepagawa nayo au?
Doctor Ji Sun Woo nampendaaaaa, ngoja niangalie Ep 9 Daemusin pls tuwekee ya 10 kule home kwetu [emoji1488][emoji1488]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Imagine nimeshusha usiku kumbe haijawa subbed ep 10...mi hadi sielew yani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhusika Wake Ukiuleta Kwenye Maisha Yetu Halisia Sijui Niuweke Kwenye Daraja Lipi!

Kuna Scene Ile Alikuja Kuvamiwa Na Yule Ndezi (Nimekosa Neno Baya La Kuliweka) Nyumban Kwake Vile Alivyokua Anampiga Na Kumsukuma Kiukweli Nilijikuta Najisemea Moyoni, "Kwanini Wanamnyanyasa Ivyi Kama Mume Kawaachia Nini Tena Mnamtaka"
Nilijiskia Vibaya Sana Nilisahau Kama Naangalia Maigizo.

Uhusika Huyu Mama Kauvaa Ukamvaa, Nachompendea Hatetereki Licha Ya Chuki Zinazomkumba, We Watu Wote Alowaona Wema Wote Wamemgeuka Wamemkosea Na Bado Hawataki Kumuona Akiishi Kwa Amani.
 

Kumbe ile scene imetudisturb wengi?
Mimi imenikumbusha machungu/shurba nilizopitia nilipokumbwa na mkasa wa kufanana na ule ila ukiwa ktk mlengo tofauti, jinsi Dr. Ji alivyokuwa akipambana na yule dogo alivyokuwa akimkaba vilinipa taabu sana kisaikolojia.

Katika mambo niliyogundua ni utofauti wa kitamaduni na uwazi baina yetu na wao. Imagine mwanamke anacheat tena na rafiki wa mume wake halafu anaweza kumwambia mumewe bila hofu, haki ingekuwa huku tungeshazika zamani!

Kuna jambo naona kama silielewi, mwishoni mwa Ep 9 naona kama yule Dr. mpya wa hospitalini kwa Dr. Ji ni pandikizi la Mzee Chairman baba yake na Da Kyung, kwanini ampe ripoti ya Dr. Ji na ex husband wake Mr. Lee?
Natamani isiwe hivi ninavyohisi maana tayari nimeshaanza kuwapenda pamoja.

Katika mambo siyapendi ni ukaribu wa Dr. Ji na Mr. Lee
Wameshaachana kwanini Mr. Lee anaingia hovyo nyumbani, kazini na katika maisha ya Dr. Ji?
Sipendi kabisa drama za ma-ex, ila ndio drama yenyewe sasa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Pole Kwa Uliyopitia, Pole Sana.

Inavyoonekana Dr Kim Alikutana Na Chairman Yeo Wakati Anamsema Mtoto Wa Sun Woo Baada Ya Kumbamba Analichora Gari La Chairman Yeo, Hawakua Wakijuana Kabla Na Iyo Itaelezewa Mwanzon Wa Episode 10 Japo Hawajatupa Hasa Ilikuaje Mpaka Wakawa Karibu Vile.

Stalker(Sun Woo Husband) Bado Ana Hisia Na Sun Woo, Ile Taraka Ni Sun Woo Ndo Alieitaka Ila Huyu Psycho Hakua Tayari Kuicha Familia Yake Naona Ni Hulka Za Kiume Kutaka Vyote Kwa Pamoja.

Kurudi Gosan, Karud Kulipiza Visasi, Karudi Kumtingisha Sun Woo, Kaja Kumuonyesha Kua Bila Ya Yeye Sun Woo Hawezi Kuishi Ndomana Akarud Kwa Kujimwambafy Hasa Ila Kakuta Mwanmke Kisiki Hatetereki Yule Mama Licha Ya Machungu Yote Anayopitia,

Husband Ndo Anayefosi Ukaribu Na Dr Labda Kwa Kigezo Cha Mtoto Wao Yule,

Kuna Ile Scene Sun Alikua Anaangalia Video Zao Za Harusi Psycho Akagonga Kuingia Ndani Akamimina Wine Alokua Anakunywa Sun Akanywa Nilicheke Iyo Scene Then Akamuuliza Sun Ulikua Unaangalia Izi Video Hujafuta Tu Inaonekana Bado Unanipenda Sana Na Ile Sura Alivyoiweka Hahahahaha Nilicheka Nikasema Huyu Baba Kapagawa Kweli Kweli.
 

Thanks dia [emoji1488]

Psycho anakera haki natamani mimi ndio ningekuwa Dr. Ji ningemnyoosha haswa.
Tunakoelekea naona hatari zaidi, ni wazi Mr. Lee atachuma pesa za akina Da Kyung na mwishowe atataka kurudiana na mkewe.

Binafsi nafurahia kwa yanayomkuta Da Kyung maana hata katika maisha ya kawaida sikuona sababu ya yeye kuvunja ndoa ya watu wazima, hivi unakumbuka Mr. Lee alipomwambia kuwa havutiwi tena na mkewe kwa sababu ameshapoteza mvuto? OMG niliumiaaaaa

Ktk scene zilizonipa wakati mgumu kutazama ni pale Dr. Ji alipokutana na yule Accountant jirani yao hotelini, kweli sikutegemea kama wangefanya yale.
Ila Dr. Ji ni bad bitc* 🤣🤣🤣 zile moves pale nilichekaaaa

Hebu ngoja tuone Ep 10 [emoji111]️


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Dah Dr mi namkubali aysee ila naona kama anaishiwa pumzi
It’s like the whole town kama wamemgeuka vile
Anapambana mwenyewe tu, Halaf yule mtoto wake nataman niingie nimpe mabanzi ya kutosha kanaboa kale kadogo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nimechekaaaaaaa
Watoto wale sijui wanalelewaje jamani? Eti anatoroka shule hataki kuulizwa, daaaaaamn!
Damu ingeshamwagika, lol


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Coming soon

NEWS •
ParkSeoJoon, Iu & LeeHyunWoo confirmed to star in the Movie: 'Dream'



Plot:
Yoon Hong-Dae (Park Seo-Joon) is a soccer player. He becomes involved in an unexpected case and, because of this, receives disciplinary measure. Yoon Hong-Dae is then appointed the coach for a special national soccer team. The team consists of homeless people and they have never played soccer before. Yoon Hong-Dae and his team compete in the Homeless World Cup.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nimechekaaaaaaa
Watoto wale sijui wanalelewaje jamani? Eti anatoroka shule hataki kuulizwa, daaaaaamn!
Damu ingeshamwagika, lol


Sent from my iPhone using JamiiForums

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] madai yake divorce imemchanganya smh


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Neg side of marriage
Mnafundishwa mawazo ya 1st married couple styles hivyo kunatofaut hasa tuliondelea na ukale

Tazama kwa tahadhari ya kulinda maadili ya wazee wako ambayo mwanao atarithi toka kwako
 

Tafuta “My Country: The New Age” na “Arthdal Chronicles.”


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] madai yake divorce imemchanganya smh


Sent from my iPhone using JamiiForums
Naona Wanataka Kutuonyesha Madhara ya Talaka Yanaasiri Na Maisha Ya Wanaowazunguka Hasa Watoto.

Naona Pia Wanatuonyesha Kwenye Malezi Kuna Umuhimu Wa Kuwepo Wazazi Wote Wawili (Kama Wote Wapo Hai).
 
Naona Wanataka Kutuonyesha Madhara ya Talaka Yanaasiri Na Maisha Ya Wanaowazunguka Hasa Watoto.

Naona Pia Wanatuonyesha Kwenye Malezi Kuna Umuhimu Wa Kuwepo Wazazi Wote Wawili (Kama Wote Wapo Hai).

Yeah ni kweli
Mbaya zaidi wazazi wako busy kufanyiana revenge huku mtoto anazidi kuharibikiwa.
Nahisi atakuja kufanya tukio matata ndo washtuke


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…