Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Msaada jamani siku hz nashindwa kupakua series kupitia drama nice au dramacool ilihali zamani nilikuwa naweza kama kawaida ,,,,sielewi tatizo nn shida ina anzia kwenye kidude kilichochini upande wa kulia kile cha Ku download ia uki click kinaleta vitu havielewekeki ..msaada jamani bila shaka wazoefu mmenielewa
 
eti mfalme,
muda mrefu nimeshindwa kukuona mitaa yako ya kujidai, au ndio maandalizi ya ubingwa wa premier league,
sitaki jezi ya liverpool, naomba uninunulie jezi ya yanga, baadae nitamtumia aminas a.k.a mshabiki wa zamani wa UD songo ya msumbiji
Si unajua parade yetu huwa inatisha sana japo Corona haijatutendea haki maana sina hakika kama parade itakuwepo hususan kipindi hiki
 
Tatizo hapo itakua ni tangazo.

Ukigoogle chagua ile dramacool.movie ukishindwa jaribu kutumia kissiassian.
Pia jaribu browser mbali mbali mfano anka browser
 
Mkuu we kiboko leo nimeangalia ep ya 13 aisee aliyejiokoa ni lee Gon mwenyewe.Watu mnafatilia mambo.Supa sana mkuu.
 
My best drama for this year so far ni hospital playlist... Huyo mama writer na director wake wanajua kucheza na hisia
 
Tatizo hapo itakua ni tangazo.

Ukigoogle chagua ile dramacool.movie ukishindwa jaribu kutumia kissiassian.

Pia jaribu browser mbali mbali mfano anka browser
Hiyo anka browser inapatikana wapi play store ama maana hizo zingine zinaleta maluwaluwa yaleyale
 
Nimeiokota playstore.

Nyingine kama zipi mkuu?maana mie huwa natumia uc mini saiv nimeanza na hii anka zipo vizuri tu
Hiyo anka browser inapatikana wapi play store ama maana hizo zingine zinaleta maluwaluwa yaleyale
 
Hivi hawa writers wa hizi kdramas wanakua na theme ya kutungia drama kila mwaka au?

Kwa mfano sasa hivi nmeona drama
nyingi zimejikita kwenye psychiatry/mental health,kuna

-dinner mate
-fix u
-Team buldog
-Nmeona na Kim soo Hyun anakuja na drama ya hivi hivi (its okay not to be okay)
-find me in your memory
-Born again
-sweet munchies

Au ni coincidence tu???
 
eti mfalme,
muda mrefu nimeshindwa kukuona mitaa yako ya kujidai, au ndio maandalizi ya ubingwa wa premier league,
sitaki jezi ya liverpool, naomba uninunulie jezi ya yanga, baadae nitamtumia aminas a.k.a mshabiki wa zamani wa UD songo ya msumbiji
Ni Bora Unipe Ya UD Kuliko Ya Yanga.

Bogoshipseyo Chingu.

IDD MUBARAK.
 
Nimeiokota playstore.

Nyingine kama zipi mkuu?maana mie huwa natumia uc mini saiv nimeanza na hii anka zipo vizuri tu
Jamani tatizo nn ,,,nmetumia hiyo anka still nikitaka Ku download naletewa matangazo.....yaaan baada ya step hiyo chini then Niki click naletewa cha kwenye picha ya pili .....
 
Aah kumbe ni hii. Hii huwa lazima kuipitia kwa hapo dramanice na dramacool ila kissassian haipo hio. Bonyeza hapo am not a robot kisha fata step za kubonyeza picha watakazo kama ni ya gari au reli etc ukifika mpaka mwisho inaondoka.
Jamani tatizo nn ,,,nmetumia hiyo anka still nikitaka Ku download naletewa matangazo.....yaaan baada ya step hiyo chini then Niki click naletewa cha kwenye picha ya pili .....View attachment 1465049View attachment 1465052
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…