episode 54Kwa nini unadhani nimeanza na kasi kubwa?
[emoji16][emoji16] nitazimaliza tu hata kama ni mwakaniepisode 54
hapo ndipo ninapozipendea family drama, hazikulazimishi uwe na wigo wa kuzimaliza kwa haraka kana kwamba unakimbilia mavuno[emoji16][emoji16] nitazimaliza tu hata kama ni mwakani
Nitakusubiria mimi niko 18 sasahapo ndipo ninapozipendea family drama, hazikulazimishi uwe na wigo wa kuzimaliza kwa haraka kana kwamba unakimbilia mavuno
nimeangalia episode 12 za hiyo drama (nimeiweka kiporo)
ok, weka foleni kwa niaba yanguNitakusubiria mimi niko 18 sasa
Okey..!! ( Ina Sam Do's wife voice )ok, weka foleni kwa niaba yangu
BibieOkey..!! ( Ina Sam Do's wife voice )
NaamBibie
nampenda sana yule wife material.......na utani wao wa mara kwa maraOkey..!! ( Ina Sam Do's wife voice )
[emoji16][emoji16] wamekutana kopo na mfuniko, ila Sam Do mhendsamu jamani [emoji85][emoji85]nampenda sana yule wife material.......na utani wao wa mara kwa mara
NakumissNaam
good night[emoji16][emoji16] wamekutana kopo na mfuniko, ila Sam Do mhendsamu jamani [emoji85][emoji85]
[emoji16][emoji16][emoji16] hebu tuliagood night
najua kitakachofuata
Nakumiss pia, hujambo?Nakumiss
Sijambo kabisa mrembo wanguNakumiss pia, hujambo?
GoodSijambo kabisa mrembo wangu
nataka nichukue uamuzi huo ila bado nina mashaka na wewe.[emoji16][emoji16][emoji16] hebu tulia
[emoji16][emoji16] wamekutana kopo na mfuniko, ila Sam Do mhendsamu jamani [emoji85][emoji85]
[emoji16][emoji16][emoji16] Numbisa mwache baby wangu bwanaIla akilia sura inavurugika balaa very funny[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]