baada ya kuimaliza The Gentlemen of Wolgyesu Tailor Shop hatimaye nimeigeukia DONG YI (nimechoka kusifiwa)
kama kawaida yake director lee byeong heon na style yake ya kututengenezea shujaa mwenye chembe chembe za uzembe
=============
ji jin hee
jamaa ana umbile zuri la kusimama uhusika wa mfalme, mpaka sasa nimeona waigizaji watatu wenye umbile zuri la kusimama uhusika wa mfalme nchini korea (hata mavazi yanawapendezesha zaidi)
navutiwa na uwezo wake wa kuigiza comedy anapokutana na dong yi (huwa nacheka sana, mfano walipokuwa wanatembea kitaani),
- lee tae gon = king gwanggaeto (bonge la mtu)
- song il kook = jumong na kingdom of the wind (bonge la mtu, handsome zaidi)
- ji jin hee = bonge la mtu
lakini ananikera na ananikera zaidi kwenye screen za kimapenzi hususani zile za kuongea uso kwa uso na dong yi, jamaa amenyimwa body language fulani (huwa natamani niingie kwenye computer yangu nimtoe mpemba mimi)
nilipokuwa naangalia YI SAN nilikuwa na tatizo hili kutoka kwa muigizaji mkuu (muda mwingi lee seo jin alikuwa anacheka ovyo kama ameona sahani ya pilau la pichori pindi anapokutana na han ji min), alikuwa ananiboa mpaka nikaitupa ile drama.
=====================
sijui ni mapenzi au ni ugonjwa wa kupenda ujinga ndio ulionikumba, nimeshaangalia sana kazi za wakorea ila kwenye eneo hilo sijaona kama song il kook, jamaa yupo more comfortable, ana relax, goi goi wa kuzaliwa haswa na si wa kuigiza, akiongea utafikiri demu anamtongoza kweli (mwili wote unaongea, full burdani walllah)
hawa wengine wanakwama wapi?
wanaojitahidi kidogo labda kwa hawa vijana ni ji chang wook, kim soo hyun na lee min ho
=====================
mwenye bando lake
video 1: anza dakika ya 6 mpaka 8:27
video 2: anza dakika ya 2 (anapoongea na mopalmo)
achana na emperor of the sea na kingdom of the wind, huko ndio balaa
ndio maana yule mpenzi wa ARSENAL ni king'ang'anizi
prince yeoning?Humo utakutana na katoto ka dong yi kaprodogi(kajiniasi) hako kanaleta burudani za kila aina.
kupakua drama za wakorea kwa simu kwangu ingelikuwa ni zaidi ya mateso.
kama unamiliki takribani laki 2.5 hadi 3 zisizo na matumizi ya lazima ni bora ununue laptop( si lazima utafute laptop za gharama kubwa kwa matumizi ya kawaida)
ulimwengu wa smartphone nimeshahama kwa takribani miezi mitano na huduma zote muhimu nazipata kwenye laptop yangu (whatstapp, telegram, fb n.k)
prince yeoning?
ngoja niongeze kasi basi...nimefika episode 40
itapendeza zaidi kama utakuwa na software hizi (nazitumia kwa pamoja)Tufundishe jinsi ya kudownload kwa laptop maana kwangu naona simu ina urahisi kuliko laptop. Simu natumia app tatu kwa pamoja kuvuta drama
ndiye huyo mwanawe dong yi aliyetawala kwa takribani miaka 50....Nimeshasahau jina lake utakaona kanachukia elimu ya awali na kurukia ya wakubwa
itapendeza zaidi kama utakuwa na software hizi (nazitumia kwa pamoja)
Internet Download Manager: the fastest download accelerator
- internet download manager
- XDM
hii utatumia kwa siku 30 (inauzwa)
ila zipo cracked
freeNa XDM nayo inalipiwa?
ndiye huyo mwanawe dong yi aliyetawala kwa takribani miaka 50....
baba yake crown prince sado (anamuua mwanawe kwa kumfunga kwa siku 7 bila ya huduma)
sado anamzaa YI SAN (mrithi wa madaraka ya huyo mtoto wa dong yi a.k.a kitukuu wa dong yi)
siasa hiyooAaah kumbe. Ila daah watu wana roho kuua kihivyo
free
bado hujaizidi laptopNgoja niendelee na simu kwanza maana ni rahisi kudownload huku umeweka mapozi yooote utakayo hadi toilet unaweza enda nayoππππ
bado hujaizidi laptop
teh teh teh
Hahaha Huyu kijan ndiye analinganishwa na mkali Jang Hyuk?Pachinko" is a drama about the hard lives and identity of Korean immigrants who have moved to Japan and the United States after the Japanese colonial era.
==============
Actor Lee Min-ho will star in the drama "Pachinko," which will be produced on Apple TV Plus.
"Lee Min-ho will be the main character of the best-selling novel "Pachinko" by Korean-American writer Lee Min-jin among the works to be presented by Apple TV Plus," an entertainment industry source told Sports Chosun on Wednesday.
"Pachinko" is a novel that captures the miserable lives of Zainichi (Korean residents in Japan). It was nominated for the 2019 National Book Award and selected by many media outfits as the "Book of the Year." It is a novel written by Korean-American author Lee Min-jin, who lived in Tokyo for four years from 2007 and covered Korean residents in Japan, and is considered one of the best works of the times.
Meanwhile, "Apple TV+," which was launched in more than 100 countries around the world in November 2019, has not yet started its Korean service, but expectations are rising for the launch of its domestic service with the addition of Korean subtitles since last August.
View attachment 1608988
kwahiyo katika hizo zama zote za Utawala wa kijeshi nani alikuwa na unafuu? , maana najua kukosa kwao ushirikiano ndio ulifanya Goryeo kutawalwa na Mongolia.walikuwa vichaa waliokosa elimu bora ya sayansi ya siasa....
nilitokezea kumpenda yi ui min, siku niliosoma historia yake basi nikamchukia
nilitegemea angelikuwa kiongozi bora kumbe ndio yale yale.
niliishia episode 93 tokea mwaka 2019
sawa shangazi yake mkorea wa dar,Laptop ina raha kwenye kutizama drama yenyewe ila kuodwnload inisamehe tu tena
hiyo project sijaiangalia hadi mwisho hivyo basi sitoweza kukupa jibu sahihi, mpaka hapa nilipofika na kwa mujibu wa maandiko ya kihistoria ni mtawala mmoja tu ameandikwa vizuri na vitabu vyenye kurekodi matukio ya goryeo.kwahiyo katika hizo zama zote za Utawala wa kijeshi nani alikuwa na unafuu? , maana najua kukosa kwao ushirikiano ndio ulifanya Goryeo kutawalwa na Mongolia.
tuachane na hizi hadithi za upendo.Hahaha Huyu kijan ndiye analinganishwa na mkali Jang Hyuk?