kanajifanya kusoma vitabu vya kidato cha 6Humo utakutana na katoto ka dong yi kaprodogi(kajiniasi) hako kanaleta burudani za kila aina.
Duuh episode 50!!sawa shangazi yake mkorea wa dar,
ila siku utakayojua faida haswa ya kupakua drama kwa laptop naamini utaiweka mnadani simu yako.
teh teh teh
nikiwa na IDM nina uwezo wa kushusha 50 episode kwa saa 1:30.
mfano mdogo ni juzi drama ya my golden life
bingo,
kanajifanya kusoma vitabu vya kidato cha 6
bingo,
na upload juu telegram
juzi walinitisha na offer yao ya 2 GB kwa shilingi 500.Hapo ni asante unlimited bundle ila unatutamanisha wenye kasi ya kobe
endeleeni kucheza na kobe, kuna mdada fulani jana alipitisha laini za voda na offer zao.Hapo ni asante unlimited bundle ila unatutamanisha wenye kasi ya kobe
endeleeni kucheza na kobe, kuna mdada fulani jana alipitisha laini za voda na offer zao.
nikajisemea moyoni
"nenda na voda yako,"
TTCL tokea smartphone yangu niitupe nayo nimeachana nayo...πππππππ ngoja niivute IDM kwenye simu yangu tuwe sawa.
Kama nilivyoitupa ttcl
juzi walinitisha na offer yao ya 2 GB kwa shilingi 500.
alhamdulillah niliendelea kupasua anga na unlimited yangu.
halotel idumu bwanaaa
ila rafiki yangu ananilalamikia laini yake haikubali......akijiunga siku ya pili kwa 500 anapata GB 1 ile ile
hivi ulishawahi kujaribu kwa siku ya 3 inatokezea nini kama umejiunga na kifurushi cha 500?
TTCL tokea smartphone yangu niitupe nayo nimeachana nayo...
kibaya zaidi kwenye modem yangu inasoma lakini connection inakataa
kuanzia tarehe 15-30 kwa kusherehekea miaka 5 mtandao wa halotel wanakupa bando mara mbiliMe too walishanipa 2gb.
Naitafuta hii series ya K2!
walivyowajinga bandika bandua kifurushi cha usiku wamesogeza mbele hadi saa 6 usiku.Sijui wana matatizo gani hao. Yaani ila gb 10 yao nilikua siimalizi net mbovu
kuanzia tarehe 15-30 kwa kusherehekea miaka 5 mtandao wa halotel wanakupa bando mara mbili
==========
wanaokosa unlimited ya 500 tuwape pole (unajua si ujanja wetu bali ni bahati tu)
π π π π
walivyowajinga bandika bandua kifurushi cha usiku wamesogeza mbele hadi saa 6 usiku.
si bora nijiunge GB 10 za usiku nikeshe kama mbwa wa polisi
ila drama zinachosha, mimi kila zinapokuwa nyingi ndio shetani wa delete anaponipanda zaidi.Raha sana ningekua na kasi kubwa ningejaza drama kama zote