Yah ni utaratibu mzuri ni vile tu navuta taswira za vyoo vyetu hahahahHalafu anakaa kabisa chini. Nadhani vyoo vyao sio kama vya kibongo huwenda wenzetu wamestaarabika. Kuhusu kutapikia chooni mimi nadhani ni utaratibu mzuri kabisa
Nimeshaishusha naiangalia nipo ep3Ila inategemea ntu na ntu. Mimi kuna mtu aliniambia king maker nzuri ila hadi leo mb zangu zinaniuma...sasa hivi namalizia Designated survivor
Haha kwa nini ulikuwa hutaki au ulikuwa umezihukumu kwa kusikia maneno ya watuKipindi fulani cha nyuma nilikuwa sitaki kabisa kuangalia drama za kikorea ila nilivyoanza kuangalia mwaka jana nikagundua nilifanya makosa sana.
aliogopa kuitwa beki 3 na wana jfHaha kwa nini ulikuwa hutaki au ulikuwa umezihukumu kwa kusikia maneno ya watu
Hapana, ni sikutaka tu. Unajua kuna ile hali unajisemea kwani zina kitu gani so special? Ila siku moja nikavutiwa na trailer la series ya RUGAL ndio safari ilianzia hapo. Pia lugha yao daah naipenda sana.Haha kwa nini ulikuwa hutaki au ulikuwa umezihukumu kwa kusikia maneno ya watu
Hahaha lol ukiwasikiliza watu wa Jf hutokaa ufurahie maishaaliogopa kuitwa beki 3 na wana jf
Yaani mtu aliyeniintroduce kwenye huu ulimwengu wa kdrama Mungu anamuonaHapana, ni sikutaka tu. Unajua kuna ile hali unajisemea kwani zina kitu gani so special? Ila siku moja nikavutiwa na trailer la series ya RUGAL ndio safari ilianzia hapo. Pia lugha yao daah naipenda sana.
Hahaha kama mimi..bahati mbaya nilikuwa nimeshusha yote ikabidi niangalie tu hivyo hivyo kwa kulazimisha..sawa na Flower of EvilIla inategemea ntu na ntu. Mimi kuna mtu aliniambia king maker nzuri ila hadi leo mb zangu zinaniuma...sasa hivi namalizia Designated survivor
Ndio maana sisi tunapenda kupewa story kidogo ili tuipime ni nzuri au la! Kuliko kwenda moja kwa moja kuicheki pindi tu tutapoambiwa ni nzuri kwasababu taste tunatofautiana.Hahaha kama mimi..bahati mbaya nilikuwa nimeshusha yote ikabidi niangalie tu hivyo hivyo kwa kulazimisha..sawa na Flower of Evil
Ahsante kwa hii komenti yako madame...ndio ilikuwa inafuatia baada ya hii ninayoangalia sasaHahaha kama mimi..bahati mbaya nilikuwa nimeshusha yote ikabidi niangalie tu hivyo hivyo kwa kulazimisha..sawa na Flower of
HahahandioAh mimi..bahati mbaya nilikuwa nimeshusha yote ikabidi niangalie tu hivyo hivyo kwa kulazimisha..sawa na Flower of Evil
Kwa kweli..japo nyingine ukiambiwa nzuri unakuta nzuri kweli nyingine majangaNdio maana sisi tunapenda kupewa story kidogo ili tuipime ni nzuri au la! Kuliko kwenda moja kwa moja kuicheki pindi tu tutapoambiwa ni nzuri kwasababu taste tunatofautiana.
Unaweza kuipenda..ila mimi ilinipotezea tu muda[emoji23][emoji23]Ahsante kwa hii komenti yako madame...ndio ilikuwa inafuatia baada ya hii ninayoangalia sasa
Sema yule dada mimi nampenda sana...naweza kuiangalia kwaajili yakeUnaweza kuipenda..ila mimi ilinipotezea tu muda[emoji23][emoji23]
Mimi niliangalia kwa ajili ya mkaka..namkubali mnoSema yule dada mimi nampenda sana...naweza kuiangalia kwaajili yake
Mambo ya kufuata wasanii haya...mimi nimemfuata Mr Kim stiff kwenye welcome to waikiki niko episode ya 6 bado hata sijaelewa kinachoendeleaMimi niliangalia kwa ajili ya mkaka..namkubali mno
Itafute mkuu hautajuitia, ingawa kwenye episode za mwanzo (1-3) imepoa kidogo. Wakati naicheki nilitaka kuishia episode 2,ila nilivyokomaa nayo nilijikuta sitamani iishe.Nitaitafuta hio
Maisha ya saiv wengi wanapenda kuishi kwa maigizo
Hivi Dong yi mnaipendea nini?Naombeni majina ya series nzuri na za kusisimua za kikorea za kifalme mithili ya JUMONG,six flying dragons,empress Ki,crowned clown,Dong Yi, emperor of the sea(naitafuta) n.k
Sijui wakorea wameishiwa content? Mara ya mwisho kuangalia drama ya kikorea iliyonikamata ni mwaka juzi, ile VAGABOND.Yaani kwakweli hizi season ni kali nataka niirudie Six flying dragon, nikitoka hapo nahamia kwa nchina season inayo itwa Nirvana in fire maana hakuna kama season hizo tena kwa sasa.
Duuuh jamaa unaipenda sana "Innocent defendant",ila kinachonishangaza kuna I'd nyingine ya Innocent defendant nayo inasifia sana hizo drama kila uchwao, napata wasiwasi kuwa hizi I'd ni za mtu mmoja.SteveMollel zicheki hizi utafurahi kwa roho yako "Innocent defendant" kwangu hii ndio best drama of all time nyingine zakuzicheki ni Penthouse, The last, The mask woman na kiporini The empress ki zote hizo zimefutia Sana story zake zimeshiba haswa kuna wakati unaona bando lako linathamani ndogo kuliko ukubwa wa hizo drama.