Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Hapo kwenye episode nyingi ndio kizungumkuti. Ahsante kwa pendekezo nitajitahidi niangalie..... Mr Seo aliniliza mimi jamani mbaya zaidi yule mzee nampendaga siku nyingi kwa hiyo tabu aliyokuwa anaipata mule ndani nilikuwa naumia kama ndio kwelI vile
 
Kitu nilikua cjui ni kua TVN wana chennel Africa.Asante sana DSTV kwa kuniletea TVN Africa channel number 134.Kwa wale mnautimia ving'amuzi vya DST mnaweza kua mnaona drama za TVN kweny TV tu.Haina haja ya kutumia mi bundle ya data,zmetafsiriwa kwa kingereza chepesi mno.
 
Inapatikana kwenye kifurushi kipi
 
Mnainjoi wenyewe ila mimi zilizotafsiriwa sipendi nataka niwe nasikia ile lugha yao ndio napata burudani mpaka basi
 
So sad bora waondoe tu lile neno bila kikomo ni mtego mbaya sana. Wakili msomi wakili machachari wakili mtaalamu nae sio mwingine bali Auntie.

Mil 5 si ya kuiachia aiseee
Numbisa nimekupa kazi ya kunitafutia wakili msomi, au hutaki mgao wa millioni 5?
Nimepewa GB 5 badala ya unlimited
ใ…‹ใ…‹ใ…‹ใ…‹ใ…‹
kissasian.video
 
the lady in dignity/ woman of dignity:
wakorea wanapenda sana hadithi za kuchepuka, wakorea wanapenda sana maisha ya kifahari yenye kuendana na uvaaji bora, full luxury. Ukitaka kuwakamata wakorea basi watengenezee project zenye maudhui hayo ukichanganya na tatizo lao kubwa la bullying au violence kwa wanafunzi.
episodes 5 za hii drama zimeshanitosha hivyo sitoendelea nayo tena.
nimeshaziangalia sana drama mfano wa hii



jealousy incarnate:
nimeitafuta hii drama kwa sababu ya mwanadada anayeitwa gong hyo jin, kama si udhaifu wa hii stori inayozungumzia maisha ya kila siku ya watangazaji wa televisheni basi huu mdude ungelikuwa kucheleeee.Muda mrefu sijapata kuangalia drama yenye maudhui ya love triangle ilioshiba kama hii lakini ndio hivyo sitaendelea nayo tena (hadithi yake bado inataka kuzibwa mashimo kama barabara za zenji)
Episodes 7 zimeshanitosha hivyo sitoendelea nayo tena.

ushawahi kumpenda asiyeonyesha dalili ya kuvutiwa na pendo lako, lakini ukiwa mbali nawe hutamani kukutafuta, kukupenda?
hiyo picha imeshazungumza wenyewe, wamuangalia ila hana habari nawe, ukimuangalia huyu anumia yeye.
kumbe wanaume na wao wanapata kansa ya matiti, sikua nikilifahamu mpaka nilipoangalia hii drama

=======================
 
Bado nasubiria list na mie nipate mapya
 
Huyu mpemba anataka kunigombanisha na ukoo wa mzaa babu yangu, hajui kama mimi ni shombe la kivietnam, nimekulia bara bahati mbaya



Kesi gani ngumu hivyo๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜’๐Ÿ˜ก
So sad bora waondoe tu lile neno bila kikomo ni mtego mbaya sana. Wakili msomi wakili machachari wakili mtaalamu nae sio mwingine bali Auntie.

Mil 5 si ya kuiachia aiseee
 
Jamani jamani jamani wakati wa foleni ya nida ukasema mzaa babu ana undungu na mzee bulito wa nyerere leo hii ushapeleka damu Vietnam!!!??
Huyu mpemba anataka kunigombanisha na ukoo wa mzaa babu yangu, hajui kama mimi ni shombe la kivietnam, nimekulia bara bahati mbaya



Kesi gani ngumu hivyo๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜’๐Ÿ˜ก
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ