Aigoo.... kwa mlioangalia reply 1988 niendelee kula mtori nyama ziko chini? Maana nimeangalia episode tatu naona maruweruwe tu
Uko sawa pia, Wee ukienda YouTube ukasachi kuhusu K. comedy series, Waikiki ndio iliyokubaliwa na zaidi.Kwangu hii ndio namba moja yaaniyaani yule queen hata nikiona picha tu najikuta nacheka
Niko zangu napasha kiporo cha mr sunshine lkn kila episode haifiki mwisho inakatika
Huenda umechanganya poster ulioweka au pia inawezekana umejichanganya kwa kila kitu kinachohusu project husika.
Heo jun (hur jun) drama zipo mbili, ipo ya mwaka 1999/2000 na nyengine ni ya mwaka 2013.
- heo joon ya mwaka 1999 iliongozwa na director lee byung hun kama ulivyogusia lakini waigizaji wakuu si hao uliowaambatanisha kwa lugha ya picha kama ni ushahidi wako. Project ya mwaka 1999 iliongozwa na Jeon Kwang Leol ambaye kupitia drama ya prince of the legend (maarufu jumong) aliigiza uhusika wa mfalme geumwa.
- project ya mwaka 2013 ndio iliopewa jina la Hur Jun, the Original Story, Project hii iliongozwa na marehemu kim ju hyeok.
Ngoja niirudie Waikiki lohUko sawa pia, Wee ukienda YouTube ukasachi kuhusu K. comedy series, Waikiki ndio iliyokubaliwa na zaidi.
Huyo mfalme wa kwenye Mr. Queen ndiye alikuwa Faza hausi kwenye Waikiki
Naweza kusema kwamba hakuna Movie au series ambayo imewahi kunichekesha kama Waikiki.
[emoji1787][emoji1787] mambo ya expectation hayoDaΓ h....hadi sasa hivi sijasikia harufu ya nyama yaani hadi napata hasira
kwa huu mwendo wako yanipasa nikiri tayari umeshampiku mwalimu wako, hapo juu nimemuona mchumba wangu wa njia ya televisheni anayeitwa Kim Hyun-joo na nyakati hizo pengine ndio alikuwa kwenye ages zile za miaka 20.Hawa wazee ni kizazi cha dhahabu, wako zaidi ya serious drama hazichoshi yani, hii drama inataka kunikumbusha Emperor of the see. Kifupi ni nzuri.
usiharibu bando lako kana kwamba wakorea wameishiwa drama, jaribu kutafuta hiziNgoja niirudie Waikiki loh
Ilikua kuniumiza mbavu
hizo nyama unazozitafuta humo ndani ninakhofia hilo dishi la pilau utalitoboa na bado hutofanikiwa kuziona.Aigoo.... kwa mlioangalia reply 1988 niendelee kula mtori nyama ziko chini? Maana nimeangalia episode tatu naona maruweruwe tu
tatizo huenda ni link au website aliyodownloadia. Dae ashawahi kutana na kisanga kama hichoUmedownload au unaangalia online? Maana kama umedownload basi tatizo haikufika mwisho au web husika ni majanga
πππππ kwamba hukuipenda ila ukaamua kwenda na trendhizo nyama unazozitafuta humo ndani ninakhofia hilo dishi la pilau utalitoboa na bado hutofanikiwa kuziona.
mara yangu ya kwanza kuiangalia hiyo drama kikubwa nilichokishuhudia ni makelele mengi, vurugu nyingi, lafudhi mbaya, mavazi mabaya na miziki mibaya.
nikabaki najiuliza hivi hii ndio drama nzuri inayosifiwa na kila mshabiki wa korean drama?
nikaifuta haliyakuwa nilishaishusha episode zote na pia niliiweka telegram channel (imagine bando nililotumia)
miezi ilipita hatimaye nikaamua kuzungumza na nafsi yangu, kama hii drama inasifiwa na wengine kwa nini mimi nishindwe kuiangalia.
hatimaye nikaiandika historia ya kuwa miongoni mwa wanadamu walioiangalia hiyo drama.
nawewe zungumza na nafsi yako,
nimeianza upya sikumbuki niliishia ep ya ngapSijaimaliza hii kazi nipo episode ya 16
niliidownload na ilifika mpaka mwisho kwa episode 3 ep ya nne nikabadili link naona mambo yako sawaUmedownload au unaangalia online? Maana kama umedownload basi tatizo haikufika mwisho au web husika ni majanga
yas tatizo lilikuwa ni websitetatizo huenda ni link au website aliyodownloadia. Dae ashawahi kutana na kisanga kama hicho
Aah siliamini hili, kwamba ndio nzuri kuliko zote? Ngoja tuoneEndelea tamu sana kwangu ni nzuri kuliko drama yoyote ya kikoreaπππ
Daah basi bwana inawezekana...yule kaka (Mr Kim stiff) anajua sana. Natamani wakorea wampe nafasi nyingineUko sawa pia, Wee ukienda YouTube ukasachi kuhusu K. comedy series, Waikiki ndio iliyokubaliwa na zaidi.
Huyo mfalme wa kwenye Mr. Queen ndiye alikuwa Faza hausi kwenye Waikiki
Naweza kusema kwamba hakuna Movie au series ambayo imewahi kunichekesha kama Waikiki.
Kiukweli na mimi nipo kuzungumza na nafsi yangu kama niendelee au la. Hiki nilichotazama mpaka episode ya tatu sijui hata ni kitu gani...nnimepakua episode 6 nimeangalia tatu nina shaka hizi tatu zilizobaki sitaangaliahizo nyama unazozitafuta humo ndani ninakhofia hilo dishi la pilau utalitoboa na bado hutofanikiwa kuziona.
mara yangu ya kwanza kuiangalia hiyo drama kikubwa nilichokishuhudia ni makelele mengi, vurugu nyingi, lafudhi mbaya, mavazi mabaya na miziki mibaya.
nikabaki najiuliza hivi hii ndio drama nzuri inayosifiwa na kila mshabiki wa korean drama?
nikaifuta haliyakuwa nilishaishusha episode zote na pia niliiweka telegram channel (imagine bando nililotumia)
miezi ilipita hatimaye nikaamua kuzungumza na nafsi yangu, kama hii drama inasifiwa na wengine kwa nini mimi nishindwe kuiangalia.
hatimaye nikaiandika historia ya kuwa miongoni mwa wanadamu walioiangalia hiyo drama.
nawewe zungumza na nafsi yako,
Hospital playlist sijaangalia. Ila inawezekana ni kutofautiana tu taste pengine ni nzuri ni mimi tu sijaipenda[emoji1787][emoji1787] mambo ya expectation hayo
Itazame kama unavyoiangalia hospital playlist tu