Aah siliamini hili, kwamba ndio nzuri kuliko zote? Ngoja tuone
Kiukweli na mimi nipo kuzungumza na nafsi yangu kama niendelee au la. Hiki nilichotazama mpaka episode ya tatu sijui hata ni kitu gani...nnimepakua episode 6 nimeangalia tatu nina shaka hizi tatu zilizobaki sitaangalia
Kwa vile mnasisitiza ngoja nikomaeππππusiwe na shaka. Hata mie nilishaipakua na nikaifuta ila baadae nikaipakua tena na kujishangaa kwann nimeirudia ila nilipoiangalia vizuri niliipenda mno
Au labda imeakisi kiasi flani cha maisha niliyoishi hasa hayo ya ujirani na kupitiana kwenda shule etc
Hehehe huku wapi?[emoji16][emoji16]View attachment 1890364
[emoji16][emoji16]View attachment 1890364
Teh unadhani tutajibiwa?Haya tuweke rekodi ya kujibiwa na mkwepu
Wee baba sijui kijana inaitwaje hio drama?
Teh unadhani tutajibiwa?
Madame, flower of evil mbona nzuri jamani au ni kipi ambacho hujakipenda mule?Hahaha kama mimi..bahati mbaya nilikuwa nimeshusha yote ikabidi niangalie tu hivyo hivyo kwa kulazimisha..sawa na Flower of Evil
Haha watajiju. Umeshapata jina lake?Jamaa kauzu jamani ila nimekapenda ka drama na wanachekeaha hapo eti lugha inaitwa Tanzanian kama nawaona wakenya walivyonunaππππ
Haha watajiju. Umeshapata jina lake?
Asanteusiharibu bando lako kana kwamba wakorea wameishiwa drama, jaribu kutafuta hizi
- pegasus market drama
- modern farmer drama
- top star yoo baek drama
Maadhari kama ya chief Kim[emoji16][emoji16]View attachment 1890364
Hata waikiki 2 kuna jamaa aliongea kiswahili na Bendera iliyoonyeshwa ni ya TZJamaa kauzu jamani ila nimekapenda ka drama na wanachekeaha hapo eti lugha inaitwa Tanzanian kama nawaona wakenya walivyonunaππππ
Hata waikiki 2 kuna jamaa aliongea kiswahili na Bendera iliyoonyeshwa ni ya TZ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Madame, flower of evil mbona nzuri jamani au ni kipi ambacho hujakipenda mule?
Kama hujaipenda mwanzoni sidhani kama kuna kitu kitabadilika huko mbeleni ila ni nzuri mimi nilivyoonaWaikiki imenikataa au labda story yake(ya kutelekezewa mtoto au kulea mtoto asie wao) nimeichoka mno wahindi waliigiiza funga kazi wabongo nao wakaidaka wakaharibu wanavyojua.
Nimejaribu kuipenda ikashindikana labda mbeleni itanikubali
Kama hujaipenda mwanzoni sidhani kama kuna kitu kitabadilika huko mbeleni ila ni nzuri mimi nilivyoona
Ni kuanzia lini mabadiliko?Bora nitunze mb zangu naona tangazo la halotel la mabadiliko sijui watarudisha unlimited night au watabana bando la halopesa daah tunateseka sie
Ni kuanzia lini mabadiliko?