Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,119
Mkuu hko nkiri naweza kupata movie au series ikiwa na subtitles??Wangelituwekea japo GB 3 kwa shilingi 1500, kwa kutumia tovuti ya nkiri unaweza kupakua drama nzima.
Hii nimefika ep 11 nashindwa hata kuimalizia, yani kuna namna kama inaenda enda tu.
Huyo dada namkubaligi Ila kwenye cheat on me if you can na hii hapana au ni story sijui
Sent from my Hisense T5 Plus using JamiiForums mobile app
Series zipo baadhi, kuhusu subtitle sina uhakika kwa sababu huwa naishia kupakua za wakorea pekee.Mkuu hko nkiri naweza kupata movie au series ikiwa na subtitles??
Nimedownload English dubb roho inaniuma maana nlishusha nne, Bila kusikia kikorea siinjoy
Sent from my Hisense T5 Plus using JamiiForums mobile app
Ah mi naishia hapo tu kwakweliWameboronga kuna mdada wameonyesha kauliwa na mwanae kaonyeshwa kaburi mara hee eti yupo hai,na cheo cha chairman wa shule kubwa kabisa kupewa mtu yoyote nayo imechangia kushangaza
Msererekoo wametukomeshaWewe uko kama mimi..nilipakua squid game episode nne nikakuta wanaongea kizungu nikafuta nikaanza upya. Sema ilikuwa ni enzi zile za bando la bwelele
Naikubali sana zaidi ya zote nilizoangaliaNiliipenda IRIS sijawahi kuona mfano wake
Drama imekuingia hadi imeamua kujiita hivyo? Kuna mwenzako humu anajiita INNOCENT DEPENDENT,karibu sana 😂.
Zimetajwa sana humu bossRecommendation ya drama yenye love story kali mno
hii menu umeiona wapi?
kifurushi cha Saizi yako wanakupa MB 750 kwa shilingi 1500.
kifurushi cha Internet ya kawaida kwa siku sijaona menu ya shilingi 1500, wana kifurushi cha 500, 1000 na 2500.
Hii 2500 wanakupa GB 1.7, kidogo afadhali.
Nasubiria huo uchawi wako wa GB 1.1 kwa buku jero.
Kwangu Mimi hiyo menu haipo hivyo, labda hiyo namba 1 ni kwa maeneo maalum(sisi wapemba haituhusu)😷😷😷View attachment 1993594
Nasema hivi sina mpango wa kuitazama Squid game.
Utamshauri nini ambaye anataka kutazama kati ya hizi kazi? Squid game or The Veil?
🤣🤣🤣Karibu Dar es salaamKwangu Mimi hiyo menu haipo hivyo, labda hiyo namba 1 ni kwa maeneo maalum(sisi wapemba haituhusu)😷😷😷
Angalia zote mbili.
Tumia toxicwap.com ina movies na k-drama nyingi zaidi. Unashusha episode na latest movies kwa MB chache tu kama nkiri na netnaija.
Mimi situmii website nimeacha muda..nilikuwa nashusha from telegram ila kwa hizi bundle itabidi nitafute namna nyingine
🤣🤣🤣🤣🤣 Naona tumeshikwa Pabaya mwaka huuMimi situmii website nimeacha muda..nilikuwa nashusha from telegram ila kwa hizi bundle itabidi nitafute namna nyingine