Mwendo wa kuteleza now nimewaokoa humu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema hiyo cha mtoto ilishawahi kuwepo Ha Tunnel Plus Vodacom hiyo speed ilikuwa inafika hadi 20mbps sema walifungia host zake ilifanya nidownload drama kama 60 mwezi wa 7 na hadi sasa nishazingalia 10 tuShukrani sana aisee. kule server german na usa mambo ni fireee
Sema hiyo cha mtoto ilishawahi kuwepo Ha Tunnel Plus Vodacom hiyo speed ilikuwa inafika hadi 20mbps sema walifungia host zake ilifanya nidownload drama kama 60 mwezi wa 7 na hadi sasa nishazingalia 10 tu
Ila nasonga nayo kwa siku nachomoka na episodes 8-10 na baadhi ya ongoing
Nahisi wanayo ila kama una Airtel 4G jaribu nayo inakubaliuwiii ningeipata hio na hii 4G niliyonayo ingenikoma. yaani haya mambo mzuri jaman tuwe tunashirikishana kama hivi.hapa najiuliza ttcl wana 4G ama. maana hii 3G kwa siku navuta episode 15
Nahisi wanayo ila kama una Airtel 4G jaribu nayo inakubali
Hua unadownload saa ngapi?uwiii ningeipata hio na hii 4G niliyonayo ingenikoma. yaani haya mambo mzuri jaman tuwe tunashirikishana kama hivi.hapa najiuliza ttcl wana 4G ama. maana hii 3G kwa siku navuta episode 15
Hua unadownload saa ngapi?
Ohh okayanzia asubuh hadi jioni. kwa browser niliyonayo naziweka kiporo hadi ishirin kisha naanza download tatu tatu mpka ziishe
Mkuu hii naona kama ni darasa jipya kwangu, nipe shule kdg tafadhal, mm ni muhanga pia wa mb.Mwendo wa kuteleza now nimewaokoa humu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hutumii Wire Tun kwani bado?Mkuu hii naona kama ni darasa jipya kwangu, nipe shule kdg tafadhal, mm ni muhanga pia wa mb.
Bado mkuu ndo naiskia humu bt nimedownlod play store now ila namna ya kuitumia ndo sijui.Hutumii Wire Tun kwani bado?
Ndio hii? [emoji116]Bado mkuu ndo naiskia humu bt nimedownlod play store now ila namna ya kuitumia ndo sijui.
Yap chagua server then connect kwa ttclNdio hii? [emoji116]View attachment 2022266
Loo inabidi nitafute line ya ttcl hapa natumia tigo, so nikishakonect ikaniletea kale kaufunguo kwa juu hapo nazima data naserereka free au.Yap chagua server then connect kwa ttcl
Mbali na funguo inabidi uhakikishe iwe connected na kama simu yako inaonesha internet speed pale juu basi lazima iwe inahesabuLoo inabidi nitafute line ya ttcl hapa natumia tigo, so nikishakonect ikaniletea kale kaufunguo kwa juu hapo nazima data naserereka free au.
Ukiona inaconnect lakini haiperuzi jaribu kujaribisha kila serverJapo inaonyesha hivo chrome haiunganish Toka jana nishafuta na kudownload mara mbili...View attachment 2022793
Nilipata ya Germany, USA na France zikanfanya hivyo hivyo.Ukiona inaconnect lakini haiperuzi jaribu kujaribisha kila server
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipata ya Germany, USA na France zikanfanya hivyo hivyo.