Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

kwangu 4G inakubali ila kuperuzi tu maana kudownload naona ipo slow mno
Kweli nimejaribu imeconnect lakin speed yake mbovu sana natamani ingekuwa kama Stark VPN au HA plus maana hizi speed yake ni noma ila shida MB wameweka limit kwasiku unapata MB 250 tuuh
 
mkuu kwa laini gani nazipata hizo app?

ttcl ndo ina nafuu ukishaconnect unavuta kitu chako n kuendelea na majukumu unakua unachungulia tu kama inashusha
Kweli nimejaribu imeconnect lakin speed yake mbovu sana natamani ingekuwa kama Stark VPN au HA plus maana hizi speed yake ni noma ila shida MB wameweka limit kwasiku unapata MB 250 tuuh
 
Nasongesha mzigo moto
Screenshot_20211125-165640.jpg
 
Kama simu yako haioneshi internet speed itabidi uwe nayo ili ikusaidie kuona kama imekubali pale tu speed ikishaanza kukimbia
Mkuu nimeconect kama hvi kwa via ttcl, bt nimejaribu kudownlod episode moja ni masaa mawili sasa haijamaliza, ni sahihi au kuna kitu nakosea?
Screenshot_20211125-181432.jpg
 
Back
Top Bottom