Sasa kama umefurahia nipe tip basi lakini Damushinmuhyool asijue maana ndiye aliyenipa sifa za huyu mwanamama naye hakawii kudai tip.Uwiiiiiii jamani kumbe Baek Ji Young ndio kaimba OST niipendayo Same Heart ya kwenye drama Road Number 1?
Naupendaaaaa ila nilikuwa simjui aliyeimba...
Asante Prishaz,huyu dada ni noma.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa kama umefurahia nipe tip basi lakini Damushinmuhyool asijue maana ndiye aliyenipa sifa za huyu mwanamama naye hakawii kudai tip.
Kim nana anaitwa Park Min youngWewe?Kim Soo Hyun si Kim Nana?
Kwahiyo ndio alitakiwa kucheza kama Geum Jan D au?
Wakorea sio watu wa mchezo mchezo duh!
Ndo ilitakiwa acheze kama nani? Jun Pyo? Bora alivyoondolewa[emoji23] [emoji23]hapana namkusudia yule mwanamme wa kwenye the moon that embrace the sun
Umetisha oppahahahahaaa hapana jamani sijapotea ila nilikuwa nasaka fedha kwa ajili ya kuhudhuria harusi huko mjini Seol.si munajuwa wiki hiii iliyopita ile couples ambayo imewakutanisha wasanii matajiri wawili nchini korea walifunga ndoa.namkusudia mwanadada mrembo kim tae hee pamoja na boyfriend wakejung ji hoon (bi rain) ambaye ni actor na pia ni mwimbaji mashuhuri nchini korea ambaye ameigiza drama kama vile fugitive plan B,FULL HOUSE, A LOVE TO KILL, ila waliwashangaza mashabiki baada ya kufanya harusi ya kawaida tu ambapo inakadiriwa kuwa wametumia won 1.3 million (usd$1160).pia wameamua kwenda Bali (Indonesia) kwa ajili ya honeymoon.
Aigoo aigooooaigoo
joesonghamnida - samahani
KoreanMara and Clara iko poa sana kwa kukufanya weekend yako umalize vzur