Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Wakorea na wahindi wanajua kutumia baadhi ya viungo vya miili yao kutoa ishara na ikaeleweka na nyingi za kuchekesha zaidi
Comedy zao zinachagizwa na lugha yao na reactions zao, wako vuzuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dan dan bingwa wa kulia hata ka kitu ka dogo keshadondosha chozi😂😂😂😂
Yan hawatumii nguvu,nimecheka sana,
Sijui dan dan ataishiaje na yule single faza wake
 
Mwanzoni nilidhani ni villain na ndo aliyetengeneza zile dawa kumbe ni victim wa hizo dawa. Pia chenga zake na wale starring wawili nilizipenda. Mara wamepatana wanafanya kazi pamoja ,mara hawaaminiani tena😂😂😂
Ndio huyohuyo, mimi mwenyewe nilimpenda sana vile alikuwa anatumia njia yoyote kukabiliana na hali
 
Mwanzoni nilidhani ni villain na ndo aliyetengeneza zile dawa kumbe ni victim wa hizo dawa. Pia chenga zake na wale starring wawili nilizipenda. Mara wamepatana wanafanya kazi pamoja ,mara hawaaminiani tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Wale wawili walikuwa hawamuelewi kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na walikuwa hawamuamini ila wakihitaji msaada wanamwambia yeye. Naomba kukumbushwa hivi kuna wakati alicheka?
 
Nadhan alitabasamu tu kikauzu hasa kwa kuchoshwa kwa vituko vya wale wawili
Wale wawili walikuwa hawamuelewi kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na walikuwa hawamuamini ila wakihitaji msaada wanamwambia yeye. Naomba kukumbushwa hivi kuna wakati alicheka?
 
😂😂😂😂Yaani kila mtu ana kaudhaifu kake. Akienda kwa mkewe anakua tofauti kabisa emotions kama zote
Ila nilikuwa namuonea huruma jamani...kuna wanaume wanapenda wake zao. Alivyokuwa kauzu huwezi hata kufikiria ana mpenzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndugu zangu Wana Jf

Kuna series moja hivi inaitwa DANGER ZONE CHAPTER 1: THE DARKNESS KNIGHT kutoka Taiwan dah ni nzuri mno kuanzia story mpaka mtiririko wake wa matukio sijawahi kucheki series au movie yoyote kutoka Taiwan kwa kuamini hawana maajabu lakini niwe mkweli hii ni best nadhani kwenye list yangu ya best series of all time imeshaingia teyari ni series ambayo kila episode inapoisha inakufanya uvutike kuangalia next episode.Ina genre: Action, Investigation, mystery na thriller.Kuna matumizi makubwa ya akili kwenye kutatua changamoto mbalimbali zinazojitokeza don't miss it my friend
missyrose
Numbisa
Daemusin
Khantwe
talnam
The imp
Mac Alpho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…