Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

military prosecutor doberman drama: hadithi yake ni ya wastani lakini inaleta mzuka wa kuiangalia. ni mara yangu ya kwanza kumuona ahn bo hyun akiwa muigizaji mkuu wa kiume(nimekumbuka ujinga wake ndani ya itaiwon class), ni mara yangu ya kwanza kuangalia kuangalia project ya mwanadada jo bo ah. baada ya miaka mitano hatimaye nimepata kuiona tena sura ya mwanamama oh yeo soo(sijui alipatwa na nini mpaka akapotea kwenye ulingo wa sanaa). ahn bo hyun + song kang + han so hee = workaholic trio. hawa viumbe hawachoki kufanya kazi, pengine damu ya ujana inawaongoza.
 
mzee mrema anasema mahari ya mke wake ni million 1, mbona niliambiwa huko bara usukumani, uzaramoni na kwengineko unaweza kumuoa mwanamke kwa mahari ya chapati mbili zilizopikwa na bi salma kiuno?...imekuwaje tena mzee anarambwa million kwa mwanamke anayevaa vitenge kama muimbaji wa kwaya wa kundi la Mungu hapangiwi..... Numbisa kuja hapa mara moja, huyu ndugu yako Gyeoul ameamua kunidanganya. Naruhusu povu kwa aliye tayari.
 
Yule jamaa muongo vikorea vingi sana hawezi angalia vyote.

Jamani si usahau tu tena pasaka hiooo inakaribia,usinitishie oohooo ntakunyima mwaliko kwa mara nyingineeee
 
Kama keupe keupe Mzee kadanganya itakua kapunguza baadhi ya herufi mbele ya 1. Huku Usukumani mahari ng'ombe sio lakini kama wa mayeleπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚na makorokoro kibao ila kwa vile kaoa nesi basi itakua halali yake maana binti anaenda kuuguza na sio kuishi na mumeπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
 
Ila mzee mrema sidhani kama atatoboa pale, nadhani atakuwa tayari kusaidiwa.
 
Napenda military drama,medical,police za vyuoni kwao zipo poa sana. Hii ninaivuta kila wanapotoa ikiisha tu ninayo yote
 
Napenda military drama,medical,police za vyuoni kwao zipo poa sana. Hii ninaivuta kila wanapotoa ikiisha tu ninayo yote
hapa nilipo kuna nyumba za polisi zimechakaa utadhani wanaishi paka wa malindi kule kunako mnada wa samaki, ukiangalia makaazi wanayoishi majeshi wa korea au polisi hata ukimpeleka baba mkwe anafurahia.
 
Dae una manenoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ tunakua na furaha ya kufufuka. Huzuni ni ijumaa kuu
lakini baadae si aliondoka na hajarudi tena...ok ulishawahi kula biryani la kipemba?... cha kufanya wewe ombea vita ifike kizimkazi kwao samia ili sikukuu isifanyike.uzuri biryani halipikwi kwa petroli ya urusi au ngano ya ukraine.TUTAKULA TU.
 
Atarudipo tu bado tunamsubiria

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚sikukuu inakukuta kwenye swaumu ujue. Ila mpaka Idd ifike utakua una moyo mweupeee wa kusamehe maana madhambi yootee utayaosha ndani ya mwezi mtukufu. Ngoja nijiandae na biryani la kipemba hapa
lakini baadae si aliondoka na hajarudi tena...ok ulishawahi kula biryani la kipemba?... cha kufanya wewe ombea vita ifike kizimkazi kwao samia ili sikukuu isifanyike.uzuri biryani halipikwi kwa petroli ya urusi au ngano ya ukraine.TUTAKULA TU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…