Imenifurahisha sana..sijawahi kuangalia series ndefu halafu nisiruke vipande ila hii nimetulia mwanzo mwisho.Kwa wale tuliokua tunafatilia young lady and a gentleman nadhani tutakua tumeridhishwa na bonge moja la happy ending!
Tutammis sana ms wang,sejong na dan dan wa kulia lia[emoji23]
Sana hii scene nami nilicheka sana aiseeπππImenifurahisha sana..sijawahi kuangalia series ndefu halafu nisiruke vipande ila hii nimetulia mwanzo mwisho.
Ila ms Wang ni kiboko..pale alipotaka kujitosa majini akakuta ya baridi akaahirisha zoezi nilicheka sana[emoji23]
Lete makitu..kwa sasa nimerudi kwa Wire Tun japo mwendo wa kobe ila nimefanikiwa kupata episode 3 za Love in the moonlight
No hawapo kwenye relationship labda umeona fake news au umemistake na best couple award kwenye kbs drama awardsSana hii scene nami nilicheka sana aisee[emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu nimeona mitandaoni kumbe yule mr.lee na dandan ni couple kweli yani kwenye uhalisia,
Nitajaribu tena..nilishaikatia tamaa. Tangu wiki iliyopita inanigomeaJapo nilishawahi kuiangalia nikaimaliza na kuifuta nimevuta upya naiangalia amazing uhondo bado upo pale pale. Ukiwa na telegram hautapata shida ya files za ha tunnel ikikuzingua hii unafata lile ili mradi tu uyajue magrup ya ya files ukiwaomba wanakutumia fasta
He jamaniNo hawapo kwenye relationship labda umeona fake news au umemistake na best couple award kwenye kbs drama awards
Wale wa detective dramas Two cops ipo kwa ajili yako
Main actor tangu nimuone kwenye hospital playlist nafatilia drama zake za kutosha,kuna mr hong wa hometown chacha,kabinti kabishi kwa kwenye reply 1988
Zishakufa Tigo wamepiga pini tayariwakuu wa mteremko hii skai na false mbona kama uwezo umepungua
ramadhan haimzuwii muumini kupambana na mpinzani wake pindi kitufe cha amani kinapoharibiwa.mwaka huu tutapika mchuzi wa biryani japo kwa mafuta ya nazi, mafuta ya kupikia yamekuwa ghali kuliko mahari ya msichana wa kiarabu. cha uchoyo anasema huto onja,Atarudipo tu bado tunamsubiria
πππππsikukuu inakukuta kwenye swaumu ujue. Ila mpaka Idd ifike utakua una moyo mweupeee wa kusamehe maana madhambi yootee utayaosha ndani ya mwezi mtukufu. Ngoja nijiandae na biryani la kipemba hapa
ramadhan haimzuwii muumini kupambana na mpinzani wake pindi kitufe cha amani kinapoharibiwa.mwaka huu tutapika mchuzi wa biryani japo kwa mafuta ya nazi, mafuta ya kupikia yamekuwa ghali kuliko mahari ya msichana wa kiarabu. cha uchoyo anasema huto onja,
Ni bwana harusi huyo?Reaction bora ya muda woteView attachment 2170529
Yah Hyun Bin huyoNi bwana harusi huyo?
Eti ni kweli amefunga ndoa na yule dada aliegiza nae kwenye crash landing on you?Yah Hyun Bin huyo
Hivi Pachinko inaeleweka? Kuna aliyekwisha iangalia?