Magere Cheops
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 213
- 306
Jamani wenzetu mnafaidi.... Tusaidieni na wengine basiShukrani zangu za dhati ziende kwa wale wanacomment kwenye hizi websites za kikorea walipendekeza kuwepo na drama ya "Watcher" dah! Hii drama ni moto ina unyama mwingi sana kuna Mingi imetumika na kila episode inapoisha unatamani uitazame next episode wakorea wanajua kwa kweli
We jinsia gani tuanzie hapa kwanzaJamani... Tuelekezeni Basi na wengine tuenjoy.... Maana tumekuwa wasoma comments tu hata hatuelewi nini kinaendelea [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji23]
Imeshaisha mzee ep 32 ni mwishoLee Bang Won alikuwa hatari sana, akili mingi sana.
Mzee baba tafuta drama inaitwa "Watcher" hautajuta na roho yako ni ya criminal yenye akili Mingi sana haina utoto kabisaImeshaisha mzee ep 32 ni mwisho
Nkiri IPO hioMzee baba tafuta drama inaitwa "Watcher" hautajuta na roho yako ni ya criminal yenye akili Mingi sana haina utoto kabisa
Mi wa kiume Kaka.... Na napenda drama za kipelelezi na za kupigania ufalme zenye mambo ya kihistoria mfano jumongWe jinsia gani tuanzie hapa kwanza
Angalia "The empress ki" kuna nyingine za mjini ni Kali mno "Innocent Defendant" utaikuta nkiri.com kwa jina la Defendant na nyingine inaitwa " Vagabong" na nyingine ya ziada ni "Watcher" .Mzee hizo zote nilizokutajia utafurahi kwa roho yako zina story Kali, mtiririko mazuri wa story , zina akili Mingi.Mi wa kiume Kaka.... Na napenda drama za kipelelezi na za kupigania ufalme zenye mambo ya kihistoria mfano jumong
Angalia "The empress ki" kuna nyingine za mjini ni Kali mno "Innocent Defendant" utaikuta nkiri.com kwa jina la Defendant na nyingine inaitwa " Vagabong" na nyingine ya ziada ni "Watcher" .Mzee hizo zote nilizokutajia utafurahi kwa roho yako zina story Kali, mtiririko mazuri wa story , zona akiliMi wa kiume Kaka.... Na napenda drama za kipelelezi na za kupigania ufalme zenye mambo ya kihistoria mfano jumong
Ipo dramacool na kimoitv.Nkiri IPO hio
Imeshaisha mzee ep 32 ni mwisho
Hapa Sasa tuko sambamba... Nadhan tutaelewana Sasa...... Thanks brother...... Tuje kwenye vpn Sasa hapo tunafanyaje maana bando nalo limepandaAngalia "The empress ki" kuna nyingine za mjini ni Kali mno "Innocent Defendant" utaikuta nkiri.com kwa jina la Defendant na nyingine inaitwa " Vagabong" na nyingine ya ziada ni "Watcher" .Mzee hizo zote nilizokutajia utafurahi kwa roho yako zina story Kali, mtiririko mazuri wa story , zona akili
Mzee baba tafuta drama inaitwa "Watcher" hautajuta na roho yako ni ya criminal yenye akili Mingi sana haina utoto kabisa
Series ya Defendant ipo kwenye website ambayo inatumia mb chache nkiri.com the same to "The empress ki" ila nakushauri anza na "Defendant" kuicheki kuhusu suala la vpn hiyo sina ujuzi nao mfuate Numbisa yeye ndio anajua zaidiHapa Sasa tuko sambamba... Nadhan tutaelewana Sasa...... Thanks brother...... Tuje kwenye vpn Sasa hapo tunafanyaje maana bando nalo limepanda
Papaa Gx Mwanachelsea mwenzangu me nikishakwambia hii series Kali ujue ni Kali mno sijawahi kupenda movie za kitoto na za ovyo nikiona mtu anapenda series za taste zangu huyo huyo nam'gan'ganiaNdio nimetoka kushusha episode 5 hapa, ngoja nikitulia nianze kufyonza moja baada ya nyingine. OCN huwa nawakubali sana, series zao asilimia kubwa ni kali sana.
Series ya Defendant ipo kwenye website ambayo inatumia mb chache nkiri.com the same to "The empress ki" ila nakushauri anza na "Defendant" kuicheki kuhusu suala la vpn hiyo sina ujuzi nao mfuate Numbisa yeye ndio anajua zaidi
imani yangu:
mahusiano yangu dhidi ya Numbisa yatakuwa hivi baada ya kumalizikia kwa sherehe ya eid isiokuwa na mualiko kwake, naamini hatokuwa na hasira tena, wala chukizo dhidi yangu.
waswahili wanasema kukosea njia ndio kujua njia, tuendelee kuitafuta furaha hata kama inapatikana maeneo ya jeju
πππ
View attachment 2215355
si niliona kadi ya mualiko kutoka kwa nigendako, ndio nikakosa nguvu ya kukualika baada ya kushuhudia umepokea mualiko wa dume surualiπππππππBado siamini Idd imeisha bila mualiko