Tashacobbs
JF-Expert Member
- Jun 18, 2022
- 572
- 1,559
Subscene umejaribu?Washua napata wapi subtitle ya superior day episode 5 maana netnaija hamna na nimetafuta sipati.
Humo ndani hamuna aliye mzima.One doller lawyer
Humo ndani hamuna aliye mzima.
Takribani wote akili zao zimeunganishwa rubber band.
Namu appreciate sana..Uhm Ki Joon
Kuna Golden Cross nayo alikuwa villain flani ni Heart Surgeons tu ndio naona kacheza ana roho safi
Ni best villain..Jamaa anajua kazi hasa akipewa role ya adui anaipatia kupitiliza
Ongoing unatakiwa ufatilie angalau drama tatu....labda ya Jumamosi_Jumapili,Jumatatu_Jumanne la sivyo hua inakata mzuka.Little women ep 10 [emoji91][emoji91]
Fight for my way
One doller lawyer
Law cafe
My list hiyo
Ongoing unatakiwa ufatilie angalau drama tatu....labda ya Jumamosi_Jumapili,Jumatatu_Jumanne la sivyo hua inakata mzuka.
Law cafe,little women[emoji91][emoji91]
Sijawahi ijua hiyo wacha nikacheki.Subscene umejaribu?
Pongezi nyingi ziendi kwa Sagal hyeon kwa kupambana kufa na kupona mpaka ngome kuwa chini ya hinata yetu yakigugryo napita mitaa YA Gugnaseon naona raia wanahuzunika sana baada ya kupata taarifa za kifo cha General wetu mkubwa.Nimerudi kutoka Gwaminsong, ile ilikuwa ngome ya shetani, vita imenikuchua muda mrefu sana, kubwa zaidi nimerejea na ushindi. Kwako Cammanda Komu
Mimi katika picha za kikorea sijamuona comedian aliyeitendea haki nafasi hiyo kama huyu mwamba kwenye Emperor of the sea huyu jamaa fundi sana, kwa walioiona hiyo picha alitumia jina la Jong_dal mule full uchizi kuna na wenzake kama watatu hivi.Beating again (episode 16)
ina comedy zisizoumiza😂😂😂😂
Kama CD hakuna namna lazima upate za kutafsiriwa,mbona mimi nacheki tu hamna shida masons subtitle maneno yao uwongo mwingi sizingatii nachukulia kama comedy za kujifurahisa tu.Nilikuwa Na download...lakini bei za vifurushi hazishikiki.......
Nahisi uki purchase Cds ni afadhali kidogo
Hii inaitwaje ? mimi hizi ndizo muvi zangu hizi za kina sijui LemiNo na wavaa suti na vimodo za town wanazocheki wakina Khantwe Numbisa na wengine humu sikikubali labda ziwe za kijasusi kama City hunter , A man Called nk mimi nakubali za pori zitembee panga na stori kali.Who remembers this scene?
View attachment 2373016
Nasikitika sana Wakorea kuzipa mgongo hizi historical dramas.
Ile muvi mpaka inaisha hatujajua historia ya mzee Ha_Muji ilikuwa vipi mpaka akawa vile na kea nini slijificha miaka yoteI thought you will marry she and him tomorrow.
kwa tafsiri ya kipemba
mdogo wangu nilidhani umefariki huko uwanja wa vita,
ahsante TRAB kwa kuweza kukurudisha ukiwa hai.
hiyo ngome ya gwaminseong wale wahuni wa khitan wakishirikiana na ukoo wa murong XI bado wanaendelea kuwasumbua wajinga nyie?
halafu huyo mzee general komu wa koguryeo ya tozo si alipigwa ambush na wahuni wa kisukuma katika ile vita ya yodongseong,
aliponaje wakati alikimbia na kichupi chake uwanja wa mapambano, wataka kuniambia yule general wa kisukuma aitwaye ngwanamalundi hakuweza kumuua komu licha ya nguvu zake za muangaza?
Damdeok anasemaje hukoo?
------------------
Hawa changamoto nyingine wanakata kata vipande.........yani wanakuamulia kipi uangalie 😑K
Kama CD hakuna namna lazima upate za kutafsiriwa,mbona mimi nacheki tu hamna shida masons subtitle maneno yao uwongo mwingi sizingatii nachukulia kama comedy za kujifurahisa tu.
Ukiandika nitagKuna siku nitakuja kuwasimulia safari yangu ya kuangalia wakorea ilianzia wapi.
Song ametimiza miaka 51 ya kuzaliwa.
View attachment 2374426
Kama unataka series aina ya city hunter icheki Hii inaitwa "The last" ina mkono na story Kali sana inahusiana na jamaa mmoja Muhasibu mwenye hela zake ambaye hajawahi kupitia Kwenye umasikini tangu azaliwe mpaka amefika hapo anakutana na mkasa mkubwa Kwenye kazi yake hela za firm zinaibiwa na haijulikani nani kaiba na kwasababu yeye yupo Kwenye hiko kitengo ndio Mkuu anasimamia hela anajikuta yeye ndio anashukiwa ndio mwizi wa hela hapo ndio picha linapoanzia ni hatari mkuuUkiandika nitag