Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Nilijiegesha kwenye VPN nikitegemea tutarudi kwenye bundles za night pack soon kumbe ndo kwanzaa njemba zinatafuna mb na kutubebesha mizigo mikubwa
mwaka mmoja nyuma nilikuwa nanunua GB 3 kwa shilingi 2000.
leo hii nauziwa mb 980 kwa shilingi 2000.
nilijaribu ha tunnel kupitia simu yangu kwa kutumia laini ya airtel ila bahati mbaya haifanyi connection ya internet.
hali imekuwa mbaya kweli.