mwaka mmoja nyuma nilikuwa nanunua GB 3 kwa shilingi 2000.
leo hii nauziwa mb 980 kwa shilingi 2000.
nilijaribu ha tunnel kupitia simu yangu kwa kutumia laini ya airtel ila bahati mbaya haifanyi connection ya internet.
hali imekuwa mbaya kweli.
Ngoja niisakehuenda hujaangalia madude ya kibabe
tafuta age of warriors drama, ukimkuta handsome humo ndani nakulipia gharama zako zote za bando
humo ni mwendo wa kupinduana, wenyewe wanaziita nyakati mbaya za taifa la goryeo kabla ya uvamizi wa Mongolia
View attachment 2400873
inaitwa king geunchogo, mmoja kati ya wafalme walioacha legacy bora ndani ya baekje.Kuna historical drama inahusu historia ya Baikije star wa picha humo anatumia jina la Yeogi(Yogusu) nineishia episode kama ya 10 hivi naona haijanivutia vipi kali ?
kingine hasa zile za historical dramas,ukiangalia zile siasa zao ni kama hapa nchini tu,unakuta king puppetKinachonifanya nipende picha za kikorea haswa historical ,jamaa maneno yao inaelekea wanayachagua kwa umakini yaani full madini hafi na screenshots baadhi kutumia kama Quotes .Tukija hata katika mazungumzo yao ya kawaida tu kwenye drama hawafiki nje ya picha kwa kuzungumza utumbo kama wabongo na wengine muda wote unatamani uwasikilize wao hata tukikutana na wachekeshaji.
Kongole kwa nondoz adhimu , Geunchogo anaheshimika sana hata kwenye hiyo picha upanga wa kifalme unaoheshimika unaitwa 'upanga wa chogo ' ambao iki uitwe mfamle lazima ukabidhiwe . King Gwangaetto nimecheki Asin baada ya kubisha muda mrefu mpaka akaamua kusurrender mazima, itabidi nitafute hiyo ya Geunchogo niicheki vizuri mwanzo mwisho.inaitwa king geunchogo, mmoja kati ya wafalme walioacha legacy bora ndani ya baekje.
aliweza kuitanua himaya ya baekje ndani na nje ya three kingdom
aliweza kuwasambaratisha goguryeo katika uwanja wa vita na kupelekea kifo cha mfalme wa goguryeo aliyeitwa gogugwon........huyo bwana alichapwa ndani ya mji mkuu wa Pyongyang.
huyo Gogugwon ndiye mfalme pekee wa Goguryeo aliefia katika uwanja wa vita.
Gogugwon alikuwa na watoto wawili ambao ni sosurim na gogugyang.
huyu gogugyang ndiye baba wa damdeok(gwanggaetto the great)
sosurim alikuwa hana mtoto hali iliopelekea madaraka yarithiwe na ndugu yake ambae ni mfalme gogugwon.
hii drama haikuwa na mafanikio makubwa ila ukiifuatilia ndio itakupa mnyororo wa simulizi hizi za three kingdom.
kumbe damdeok alikuja tu kulipiza kisasi cha kupigwa kwa babu yake na mfalme geunchogo.
kulifahamu hili lazima urudi kwanza kuifuatilia king geunchogo
both goguryeo na baekje wanatokanwa na mzizi wa Jumong na Soseono
mfalme asin wa baekje akijisalimisha mbele ya mfalme damdeok wa goguryeo
Huyo kanunua CD za DJ Numbisa[emoji23][emoji23]the king of legend drama- king geunchogo drama
baekje ni taifa bwanaaa, au umenunua CD za DJ Numbisaaa
kingine hasa zile za historical dramas,ukiangalia zile siasa zao ni kama hapa nchini tu,unakuta king puppet
Script writters wao wako serious na kazi.Kinachonifanya nipende picha za kikorea haswa historical ,jamaa maneno yao inaelekea wanayachagua kwa umakini yaani full madini hafi na screenshots baadhi kutumia kama Quotes .Tukija hata katika mazungumzo yao ya kawaida tu kwenye drama hawafiki nje ya picha kwa kuzungumza utumbo kama wabongo na wengine muda wote unatamani uwasikilize wao hata tukikutana na wachekeshaji.
Huzo three kingdoms ni Silla, Baekje na Gogryeo au?inaitwa king geunchogo, mmoja kati ya wafalme walioacha legacy bora ndani ya baekje.
aliweza kuitanua himaya ya baekje ndani na nje ya three kingdom
aliweza kuwasambaratisha goguryeo katika uwanja wa vita na kupelekea kifo cha mfalme wa goguryeo aliyeitwa gogugwon........huyo bwana alichapwa ndani ya mji mkuu wa Pyongyang.
huyo Gogugwon ndiye mfalme pekee wa Goguryeo aliefia katika uwanja wa vita.
Gogugwon alikuwa na watoto wawili ambao ni sosurim na gogugyang.
huyu gogugyang ndiye baba wa damdeok(gwanggaetto the great)
sosurim alikuwa hana mtoto hali iliopelekea madaraka yarithiwe na ndugu yake ambae ni mfalme gogugwon.
hii drama haikuwa na mafanikio makubwa ila ukiifuatilia ndio itakupa mnyororo wa simulizi hizi za three kingdom.
kumbe damdeok alikuja tu kulipiza kisasi cha kupigwa kwa babu yake na mfalme geunchogo.
kulifahamu hili lazima urudi kwanza kuifuatilia king geunchogo
both goguryeo na baekje wanatokanwa na mzizi wa Jumong na Soseono
mfalme asin wa baekje akijisalimisha mbele ya mfalme damdeok wa goguryeo
Kuna siasa kali sana na njama za katika tawala unakuta kuna makundi mbalimbali yanasuka mipango ya chinichini kudhoofisha utawala uliopo madarakani , mfamle anaendesha na watu fulani ,usaliti ,uchawa nk.kingine hasa zile za historical dramas,ukiangalia zile siasa zao ni kama hapa nchini tu,unakuta king puppet
Maneno yao sensitive sana hata wakitingozana au kubishana hakuna bla blah ! ukute mtu amwambie mtu 'muone sura mbaya ' au 'miguu imepinda' unakuta watu wanabishana kwa hoja zenye mantiki .
karibu tena ITAEWON
utakapokuja tena tutakuandalia ngozi ya mbuzi iliochomwa, mkia wa kenge uliochomwa, chupa 10 za soju.
bila ya kusahau free internet.
nilipokuwa naifuatilia kila wiki ulikuwa wapi?
why oh soo jae
Young-po hahahahah huyu jamaa alikuwa ananichekesha sana daaah.[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2400605
Jumomg hioInaitwaje hii