[emoji16][emoji16][emoji16] ila nyie mnachekesha kweli, mlio na taste za kijanja mnatengeneza pesa huko? Halafu kuna watu wanatuona sisi na ninyi wote washamba tu sijui mnapata wapi ujasiri wa kuwasema 'wakorea' wenzenu wana taste za kishamba. Anyway hata wao wakorea wanajua kuwa kuna washamba wengi ndio maana hizo za kishamba zinaendelea kutengenezwa....jiheshimuni washamba ninyi mxiiieeewwKuna watu humu wana tastes za kishamba aisee sema hebu tuwavungie tu[emoji23][emoji23]
Hutajutia muda wako mkuu...ila sasa hivi mimi drama ninazoangalia ni episode 16...12 itapendeza zaidiNikimaliza Dae Jo Young na Jang Yeong sil ambazo nazifuatilia sasa nitahamia Empress Ki na Queen Seandook naona hizo zinasifiwa sana nataka nijaribu nazo.
[emoji16][emoji16][emoji16] ila nyie mnachekesha kweli, mlio na taste za kijanja mnatengeneza pesa huko? Halafu kuna watu wanatuona sisi na ninyi wote washamba tu sijui mnapata wapi ujasiri wa kuwasema 'wakorea' wenzenu wana taste za kishamba. Anyway hata wao wakorea wanajua kuwa kuna washamba wengi ndio maana hizo za kishamba zinaendelea kutengenezwa....jiheshimuni washamba ninyi mxiiieeeww
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] yaani nishindwe kuishi maisha yangu ninayoyafurahia nitafute kuonekana wa tofauti...bado sana. Mimi najua kuna watu wengi wanalazimika kuangalia drama wasizofurahia ili tu waonekane na wao wamo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi tu ilimradi wengine waonekane tofauti
Wakorea wenyew maboko kibao
Wangapi tunatizama boko la curtain call na tunaenjoy
Hahaha aieeh, huu mwaka tutaufunga na mengi sana😂.[emoji16][emoji16][emoji16] ila nyie mnachekesha kweli, mlio na taste za kijanja mnatengeneza pesa huko? Halafu kuna watu wanatuona sisi na ninyi wote washamba tu sijui mnapata wapi ujasiri wa kuwasema 'wakorea' wenzenu wana taste za kishamba. Anyway hata wao wakorea wanajua kuwa kuna washamba wengi ndio maana hizo za kishamba zinaendelea kutengenezwa....jiheshimuni washamba ninyi mxiiieeeww
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sio tangazo hili kweli [emoji16]Samahani wakuu, nje kidogo ya topic, mwenye kujua bas hii movie hapa chini inaitwaje na nawezaje kuipata?
Natanguliza shukrani[emoji120][emoji120][emoji120]
View attachment 2451838
Lakini kama kuna mtu au watu hawafurahii taste za mtu mwingine me naona ni sawa tu, na kuwakaripia au kuwatukana wanaopinga taste zako ni kuwalazimisha wazikubali.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi tu ilimradi wengine waonekane tofauti
Wakorea wenyew maboko kibao
Wangapi tunatizama boko la curtain call na tunaenjoy
Hapana dada sio tangazo, niliiona tu you tube ikanivutia ila nimeshindwa kuipata full movie.
Kwa nini upinge taste zangu wakati ni zangu sio zako? Unaruhusiwa kutoniunga mkono lakini sio kukejeli, huo ndio ushamba wenyewe tunaita. Na kwa nini utake kufurahia taste za mtu mwingine? Unampa bando? Furahia za kwako inatosha.Lakini kama kuna mtu au watu hawafurahii taste za mtu mwingine me naona ni sawa tu, na kuwakaripia au kuwatukana wanaopinga taste zako ni kuwalazimisha wazikubali.
Kitu ambacho kinafanya wote muwe kwenye kundi moja la kupigania kukubalika.
AMANI ITAWALE BWANA, kutofautiana ni jambo la kawaida.
Lakini kama kuna mtu au watu hawafurahii taste za mtu mwingine me naona ni sawa tu, na kuwakaripia au kuwatukana wanaopinga taste zako ni kuwalazimisha wazikubali.
Kitu ambacho kinafanya wote muwe kwenye kundi moja la kupigania kukubalika.
AMANI ITAWALE BWANA, kutofautiana ni jambo la kawaida.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] yaani nishindwe kuishi maisha yangu ninayoyafurahia nitafute kuonekana wa tofauti...bado sana. Mimi najua kuna watu wengi wanalazimika kuangalia drama wasizofurahia ili tu waonekane na wao wamo
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ohoo mimi nimejibu to comment ya huyo jamaa, hakuna sehemu yoyote niliyowakukejeli raia yoyote humu, sijajua kwanini comment yako imeniwakia mimi moja kwa moja.Kwa nini upinge taste zangu wakati ni zangu sio zako? Unaruhusiwa kutoniunga mkono lakini sio kukejeli, huo ndio ushamba wenyewe tunaita. Na kwa nini utake kufurahia taste za mtu mwingine? Unampa bando? Furahia za kwako inatosha.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hahaha daaah .Amna bwana ila nawe itakua ulikua na mazonge, mbona ile text haikua na shida ila ulivyorudi kuijib doh
Btw
Hawatulipi
So long as ni burudani kila mtu aburudike na lwake
Sema nimejikuta najikumbusha ninavyoonaga wanaotizama dj murphy [emoji1787][emoji23] leo mdogo wangu kanifata anataka drama inheritance[emoji1787][emoji1787]ya lee min ho
Mara luck
Kumbe ndo boys over flower na Golden spoon[emoji1787] bado rat/ mouse
Naomba link tafadhariNikimaliza Dae Jo Young na Jang Yeong sil ambazo nazifuatilia sasa nitahamia Empress Ki na Queen Seandook naona hizo zinasifiwa sana nataka nijaribu nazo.
Hujanielewa kabisa,kwa namna nnavyowapenda Wakorea sijawahi hata kuponda kazi zao kuanzia drama hadi kpop.[emoji16][emoji16][emoji16] ila nyie mnachekesha kweli, mlio na taste za kijanja mnatengeneza pesa huko? Halafu kuna watu wanatuona sisi na ninyi wote washamba tu sijui mnapata wapi ujasiri wa kuwasema 'wakorea' wenzenu wana taste za kishamba. Anyway hata wao wakorea wanajua kuwa kuna washamba wengi ndio maana hizo za kishamba zinaendelea kutengenezwa....jiheshimuni washamba ninyi mxiiieeeww
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unakejeli inderectly ili uje na utetezi kama huu, ukimuunga mkono anayekejeli wewe hiyo dhambi unaikwepaje mkuu acha kutufanya sie watoto hapaOhoo mimi nimejibu to comment ya huyo jamaa, hakuna sehemu yoyote niliyowakukejeli raia yoyote humu, sijajua kwanini comment yako imeniwakia mimi moja kwa moja.
Ninaamini bila wasiwasi hata nikitaka unionyeshe comment yangu yenye viashiria vya kejeli hautaipata (haipo).
NB: TULIA KHANYWE, punguza munkari mama[emoji1].
Niangalie drama za kutumia akili wakati akili zenyewe sina [emoji1787][emoji1787][emoji1787] niacheni bwana mimi na romcom zangu...burudani kwanza mengine yanafuata eboo[emoji23][emoji23][emoji23]
Tupo wengi
Reborn rich
Inataka nitumie akili
Afu akili zangu hazitaki kujichosha au hazipo kwa sasa basi nashindwa ku concentrate ila ep zinasogea
Nikija na list utajuaa [emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenikumbusha kuna mmoja huyo alikuwa ananiambia aliangalia muvi inaitwa Mr Robot nikajua ni I'm not a robot...nikamwambia nipe stori yake ananipa stori tofauti kabisa. Nikamuonyesha picha ya Seung ho nikamuuliza ameigiza huyu? Akasema ehee ni huyohuyo basi nikabaki nimechanganiyikiwa maana nawajua watu wasioangalia kdrama wanapata wakati mgumu kuwatofautisha hawa actors. Nikajua huyu atakuwa aliangalia cd zile za kwwnye vibanda umiza[emoji16]Amna bwana ila nawe itakua ulikua na mazonge, mbona ile text haikua na shida ila ulivyorudi kuijib doh
Btw
Hawatulipi
So long as ni burudani kila mtu aburudike na lwake
Sema nimejikuta najikumbusha ninavyoonaga wanaotizama dj murphy [emoji1787][emoji23] leo mdogo wangu kanifata anataka drama inheritance[emoji1787][emoji1787]ya lee min ho
Mara luck
Kumbe ndo boys over flower na Golden spoon[emoji1787] bado rat/ mouse