Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Takribani drama 118 zimeonyeshwa kupitia vituo mbalimbali vya televisheni na media streaming kwa mwaka 2022.
nimeamua kuweka list ya drama nilizoziangalia kati ya hizo zilizoonyeshwa na nyenginezo zilizo nje ya mwaka huu.

drama za mwaka 2022 nilizoziangalia
  1. alchemy of souls season 1 and 2 drama
  2. our blues drama
  3. one dollar lawyer drama
  4. through the darkness drama
  5. under the queen umbrella drama
  6. military prosecutor doberman drama
  7. why her / oh soo jae drama
  8. reborn rich drama
  9. narco saints drama
  10. doctor lawyer drama
  11. shadow detective drama
nje ya mwaka 2022
  1. should we kiss first drama
  2. vincenzo drama
  3. run on drama
  4. she would never know drama
kadri siku zinavyosogea, kiwango cha unywaji kinapungua.
ni jambo la kufurahisha sana kiupande wangu
miaka miwili nyuma nilikuwa na uwezo wa kuangalia drama 50 kwenda juu.
Ahsante Mungu

 
Uko vzr πŸ‘πŸΏπŸ‘πŸΏ
 
Mimi nadhani nimeangalia 50+...Sasa hivi nipo na Under the Queen's umbrella kisha naingia Narco Saints
Nyingine nilizoangalia hapo ni One dollar lawyer, Vincenzo na Alchemy of souls season 1

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚daah aiseee

Aliyenidanganya ati dae ni mpemba nina mawe yake ya kumpopoa sio kwa gazeti hili. Dae ni mzaramo yule aliyechangamka haswa.
 
Ya ziwani yameisha kama yapo acha samaki na dagaa waogelee. Tutakumwagia ya visimani usije penda kushindia ugali mlenda bure. Endelea na urojo tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
kheri ya kutimiza kwangu miaka 7 ndani ya Jamii forums siku 15 zilizopita.
haya nimwagieni ndoo za maji ya ziwa victoria
 
Abarikiwe sana lee seung gi.
 
Huyu jamaa alivyoka jeshi nilisoma sehemu sijui humu au mtandaoni kwamba alimnunulia gari mpenzi wake sasa najiuliza ndo huyo binti au mwingine?
IU anahonga
Sema kanajua kupenda hako, yule baby wake radio presenter watu walimsemaaa
Sema nlitaman IU awe na kim so hyun[emoji45]
Wanasemaga ni mabest ila dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…