Hoffenheim
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 1,077
- 2,505
Haka kajitu bado kapo? TTCL inafanya kazi? Nataka nikanunue laini nilambe asaliDaah wire so slow nowadays
Mbona nimekusahihisha hapo nimesema sipendi za supernaturalHata wewe yangu hujaielewa maana mimi nilisoma kama unataka hizo za supernatural...badala ya kunisahihisha kulingana na ulichosema na wewe unabisha tena
Ila unapenda ligi. Sawa wewe uko sahihi...mimi ndio nimepuyanga. Happy?Mbona nimekusahihisha hapo nimesema sipendi za supernatural
Anza na chimeraKamanda naomba unitajie drama kali ukiachana hiyo ya doctor prisoner lakini isiwe ya porini na isiwe na maudhui ya fiction na supernatural
1. ChimeraAnza na chimera
Hizo zote nimecheki labda ungeongeza list yako hata kama ni ya love story lakini isiwe ya kitoto1. Chimera
2. Criminal mind
3.innocent defendant
4. Three days
5.military prosecuter
Anza na hizo
Haka kajitu bado kapo? TTCL inafanya kazi? Nataka nikanunue laini nilambe asali
Dada yangu mpendwa hapo ligi iko wapi? Umeongea jambo nimekuweka sawaIla unapenda ligi. Sawa wewe uko sahihi...mimi ndio nimepuyanga. Happy?
Upo vizuri, ntakuletea list ingineHizo zote nimecheki labda ungeongeza list yako hata kama ni ya love story lakini isiwe ya kitoto
Kimchi ni tamu sana ukila na wali na nyama ya kukaanga,mimi ni mdau nikiitamani naifataga pale ada estate nyuma ya saifee kuna restraurant ya wakorea tena ingine babeba take away naila nyumbani taratibu!Kimchi ni fermented cabbage. (Fermentation ni mada pana) lakini kwa kifupi njia hii hutumika kupreserve chakula na kufanya kidumu kwa muda mrefu na kukiongezea ladha mfano wa fermented products ni yogurt, wine, beer, kimchi nk.
Kuandaa kimchi simply cabbage inakatwa katika vipande vidogovidogo kisha inakua treated na chumvi (muhimu zaidi) na ingredients zingine kama vitunguu saumu, tangawizi nk (inategemea na flavour mtu anayotaka kimchi yake iwe nayo). Baada ya kuandaa inawekwa katika chombo kisichopitisha hewa humo ndani microorganisms wataconsume sugar iliyo ndani ya cabbage anaerobocally na kufanya Fermentation ya cabbage.
Baada ya siku 2-3 kimchi itakua tayari kwa ajili ya kutumika kama side dish. Ila inakua chumvi nyingi sana pia ni chachu haswa kiasi kwamba wabongo tulivyozoea mpaka mboga itiwe nyanya na mafuta nawahakikishieni wabongo wengi hawawezi kutumia hio kitu ya kuitwa Kimchi ila ni rahisi kuitengeneza mtu yoyote anaweza iandaa nyumbani kwake
Kumbe bongo ipo mkuu inabidi siku moja nisogee nikapate vitu vya wakoreaKimchi ni tamu sana ukila na wali na nyama ya kukaanga,mimi ni mdau nikiitamani naifataga pale ada estate nyuma ya saifee kuna restraurant ya wakorea tena ingine babeba take away naila nyumbani taratibu!
Ni mwendo wa vocha tu, hakuna namna[emoji28].Wote tumerudi kwenye vocha
Yani kila unachoona wanakula kwenye tamthilia ukienda pale unapata adi soju🤣Kumbe bongo ipo mkuu inabidi siku moja nisogee nikapate vitu vya wakorea
Hii komenti yako leo ndio nimeielewa etiSALIM DAEMUSHIN
Hii komenti yako leo ndio nimeielewa eti
Hii komenti yako leo ndio nimeielewa eti
Mimi sikuipenda walaHi ndo nimeinasa leo, kiufupi ni hatari [emoji91][emoji91] inaitwa royal gambler 2016View attachment 2470041
Khaa huu umbea ni wa viwango vingineUmbea huu
Nimeenda kutafuta acc insta labda ndo anayotumia[emoji23][emoji23]