Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kimchi ni tamu sana ukila na wali na nyama ya kukaanga,mimi ni mdau nikiitamani naifataga pale ada estate nyuma ya saifee kuna restraurant ya wakorea tena ingine babeba take away naila nyumbani taratibu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…