Ni muda wa Song Hye Kyo kumove on au arudj kwa first love wake Song Seong Heon tupate SongSong couple nyingineDaah labda kama mwanamke alikuwa anakwepa kuzaa ila kama walikuwa hawajafanikiwa tu alifanya haraka mno kumuacha mkewe
Daah labda kama mwanamke alikuwa anakwepa kuzaa ila kama walikuwa hawajafanikiwa tu alifanya haraka mno kumuacha mkewe
Jo Min Ki yule alikuwa anafanya kwa wanafunzi wake wa kike.Hiyo bullying jamani ni balaa ukiangalia watoto mambo wanayofanya hadi nywele zinasisimka.
Kuhusu sexual harassment kuna yule professor alikaliwa kooni hadi akajinyonga inasemekana alikuwa ana tabia ya kuwashikashika waigizaji wa kike wale underground
Ooh kumbe ndio first love wake, ni kama kuna mahali nilisoma wanasema ni Jo in sung au nimechanganya madesaNi muda wa Song Hye Kyo kumove on au arudj kwa first love wake Song Seong Heon tupate SongSong couple nyingine
Noma sana, mambo ya kupendana location... Ila basi tu bwana ilitokea bahati mbaya kwani walishakuwa location na watu wangapiIle ndoa isingedumu wote walikua mastaa hot sana na pia walipendana ghafla kule location. Nadhani lile joto lilipoisha wakagundua walikurupuka. Walivyoachana tu wengi waliguess issue ya mtoto
Hawa mastaa walioona juzi juzi hapa wao walifanya fasta kulindana sababu za mimba,hivyo hawa watadumu either kidogo au watavumiliana kulinda brand zao na watoto
Ndio lakini wanafunzi wake si automatically wapo kwenye entertainment industryJo Min Ki yule alikuwa anafanya kwa wanafunzi wake wa kike.
No hata kama location still kungekuwepo na sparks.Ile ndoa isingedumu wote walikua mastaa hot sana na pia walipendana ghafla kule location. Nadhani lile joto lilipoisha wakagundua walikurupuka. Walivyoachana tu wengi waliguess issue ya mtoto
Hawa mastaa walioona juzi juzi hapa wao walifanya fasta kulindana sababu za mimba,hivyo hawa watadumu either kidogo au watavumiliana kulinda brand zao na watoto
Kama mie,nimeyakanyaga kwenye love in your eyes ndo kwanzaa ipo episode ya 84 inaisha episode ya 124[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maana nilikua naivuta tu kila ikitoka mwisho nikajishtukia je ikiwa mbaya hivyo nikaangalia episode ya kwanza kuonja uhondo ukakolea
Mimi sio mdau wa ongoing ila hizi drama mbili Crash course in romance na Kokdu nimeshindwa kusubiria
Wewe ni wa pekeee [emoji3][emoji3]
Ongoing 124
Mzee wa ongoing nipo hapa na
Crash course in romance
The interest of love
Strangers again
Kkokdu na Agency ndo nimezishusha
Alafu nina The Glory, humu song hye kyo sura inatoa taswira tofauti
Dating show zimeninogea nipo na pink lie baada ya single inferno
Mzee wa ongoing nipo hapa na
Crash course in romance
The interest of love
Strangers again
Kkokdu na Agency ndo nimezishusha
Alafu nina The Glory, humu song hye kyo sura inatoa taswira tofauti
Dating show zimeninogea nipo na pink lie baada ya single inferno
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaa tenaa mbona unakuwa kigeugeuJamani mimi ndo nimepitwa kabisa
Maana hapa ndo unanipa habari
Sa itakuaje[emoji26] mbona kama sijapentaaa pia[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] zile nyama sasa....hivi wanakulaje nyama mbichi kabisa vile duuh[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Kipenda roho kula nyama mbichi kama wakorea na minofu yao isiyoiva vizuri
Love for suckers inaharibu siri za dating shows kumbe mambo mengi yanapangwa na director na cast wanaingia wakiwa na mbinu za kutafuta kiki za kujiongezea umaarufu zaidi.
Eden descendant of instinct ilivyoisha daah pozi sina
No hata kama location still kungekuwepo na sparks.
Mbona Ryu Soo Young na Park Ha Sun walikutana kwenye Two Weeks mwaka mbele wakaoana hadi sasa wapo pamoja.
Joo Sang Wook na Cha Ye Ryun walikutana 2016 kwenye Glamorous Temptation,2017 wakaoana na wana watoto hadi sasa wapo pamoja.(hii ni kati ya couple nnazozipenda sana navutiwa na uzuri wa Bibie wife wake Joo Sang Wook na jamaa mwenyewe ni HB flani aliyekaa ki-gentleman)
Watoto wanaunganisha family pakubwa sana nadhani shida kwao ilianzia hapo Song Hye Kyo alikuwa hata kwenye meetings za familia ya Song Joong Ki anasuasua kufika pia kwenye kuzaa alikuwa anadelay sana na according to rafiki yake wa karibu alikuwa na mpango baada ya project ya Encounter kumalizika ndio amzalie jamaa.
Unajua kihalisia ukiwa unaishi na mwanamke yupo bize still anasuasua kukuzalia na kila siku mpo pamoja huyo ni nduguyo ama? Mahaba yalianza kupungua hapa.
Ukifuatilia kwa kina Song Hye Kyo ndio anateseka sana na break up huwa insta yake kila ikifika birthday ya Song Joong Ki huwa anapost picha ya anga/mawingu na mashairi flani hivi yanatatiza,alimpenda sana jamaa ndio hivyo tena yeye ndio aliyeachwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] zile nyama sasa....hivi wanakulaje nyama mbichi kabisa vile duuh
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Kipenda roho kula nyama mbichi kama wakorea na minofu yao isiyoiva vizuri
Love for suckers inaharibu siri za dating shows kumbe mambo mengi yanapangwa na director na cast wanaingia wakiwa na mbinu za kutafuta kiki za kujiongezea umaarufu zaidi.
Eden descendant of instinct ilivyoisha daah pozi sina
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaa tenaa mbona unakuwa kigeugeu
Yaani wale misosi yao mingi inaweza kutushinda kula. Kuna yale majani wanasindikizia na nyama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nshajaribu bana ka nyama ka kuchoma na spinach mbichi sijawahi rudia tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] zile nyama sasa....hivi wanakulaje nyama mbichi kabisa vile duuh
kuna wale aah pweza wana miguu mingi daah wanadumbukizwa wazima wazima kwenye sufuria linalochemka,kwenye korean no 1 niliona kuna mwingine alikatwa katwa akiwa hai na jamaa wakatengewa wakala huku wanasifia utamu wakati mbichi kabisaUlitaka ujikute naaaani[emoji1787][emoji1787]
Ungekula na chinese labda ile naona hata mbich inalikaga
Mi kuna mchina walileta hizo rameyon tu tast
Nikazipika kikorea ila sikugusa
Tumbo langu na kujarib jarib akah
Ila watoto walizilaaa, ile haruf ya vile viungo hapana
Ile sushi jee
Yan samaki m bichi na hana chumvi