Can You Hear My Heart na The Third Charm umeangalia?Romance huwa napenda Melodrama na nimeangalia nyingi kwelikweli, labda kama unaweza toa recommendation tuone kama ipo ambayo nitakuwa sijaiangalia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna drama za wadada![emoji16][emoji16][emoji16] hujajali kwamba umeambiwa unaangalia drama za wadada.
Bossam steal the fate ni drama nzuri sana.
- Pumzika kwanza kuangalia, huenda ni uchovu umekuandama
- Au mzuka wa kuangalia drama umekuishia
- Charge 🔋 yako
- Au rudi kuanzia mwaka 2015 kwenda chini
Kama utaniamini majira ya saa nane ya leo nimefuta drama hizi:
Nimejaribu bossam steal the fate, hii
- Love to hate you: anachokiona talnam na numbisa mimi sikioni
- Rookie historian goo hae ryeong
- Red sleeve: hii sikuiangalia hata episode moja
Kidogo imenipa mzuka wa kuendelea nayo
Hakuna drama mbaya ila kuna timing mbaya ya kuangalia drama.
Adui mkubwa ni timing na mwamko
Ila Khantwe huwa unapenda violence na haupendi uhuru wa mawazo kabisa, hapo unataka kulazimisha ionekane nimekashifu watu wengine juu ya wao kuangalia drama za genre ambazo mimi sizikubali, kitu ambacho sijafanya.[emoji16][emoji16][emoji16] hujajali kwamba umeambiwa unaangalia drama za wadada.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] vayolensi kwa vayolensi umesema drama za siku hizi zina ishu pet pet za kuangalia dada zako. Maana yake ni kwamba mwanaume anayeangalia drama hizo na kuzifurahia anaangalia drama walizotakiwa kuangaliwa na dada zake....hiyo sio vayolensi? Mimi mtu akisifia au kukandia drama afanye hivyo tu ila sikubali mtu akihusisha drama fulani na kundi fulani la watu. Toa maoni bila kugusa mtu hamjifunzi kwa mwenzenu Inno?Ila Khantwe huwa unapenda violence na haupendi uhuru wa mawazo kabisa, hapo unataka kulazimisha ionekane nimekashifu watu wengine juu ya wao kuangalia drama za genre ambazo mimi sizikubali, kitu ambacho sijafanya.
Ni wapi nimepoint kuwa Al- Hadidy anaangalia drama za kike, huu si uchonganishi kabisa huu[emoji1].
Ninachofurahi ni kwamba uliyetaka kumuingizia mawazo yako amekuelimisha vizuri, nadhani amekusaidia.
- Pumzika kwanza kuangalia, huenda ni uchovu umekuandama
- Au mzuka wa kuangalia drama umekuishia
- Charge [emoji367] yako
- Au rudi kuanzia mwaka 2015 kwenda chini
Kama utaniamini majira ya saa nane ya leo nimefuta drama hizi:
Nimejaribu bossam steal the fate, hii
- Love to hate you: anachokiona talnam na numbisa mimi sikioni
- Rookie historian goo hae ryeong
- Red sleeve: hii sikuiangalia hata episode moja
Kidogo imenipa mzuka wa kuendelea nayo
Hakuna drama mbaya ila kuna timing mbaya ya kuangalia drama.
Adui mkubwa ni timing na mwamko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] vayolensi kwa vayolensi umesema drama za siku hizi zina ishu pet pet za kuangalia dada zako. Maana yake ni kwamba mwanaume anayeangalia drama hizo na kuzifurahia anaangalia drama walizotakiwa kuangaliwa na dada zake....hiyo sio vayolensi? Mimi mtu akisifia au kukandia drama afanye hivyo tu ila sikubali mtu akihusisha drama fulani na kundi fulani la watu. Toa maoni bila kugusa mtu hamjifunzi kwa mwenzenu Inno?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] vayolensi kwa vayolensi umesema drama za siku hizi zina ishu pet pet za kuangalia dada zako. Maana yake ni kwamba mwanaume anayeangalia drama hizo na kuzifurahia anaangalia drama walizotakiwa kuangaliwa na dada zake....hiyo sio vayolensi? Mimi mtu akisifia au kukandia drama afanye hivyo tu ila sikubali mtu akihusisha drama fulani na kundi fulani la watu. Toa maoni bila kugusa mtu hamjifunzi kwa mwenzenu Inno?
😂😂😂Kabla hujastaaafuuu jamani angalia kwanza Flowers of the Prison 😂😂😂😂
Jamani ile series ilofahamika kwa jina la GLASS MASK. Naomba jina lake kamilia maake najarbu kudownload siipati. Au mwenye link yenye HD kuanzia 720p
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
naomba kujua app zur kudownload series za koreaElezea kidogo ilivyokua,wataalamu watakuja kukupa jina la hio drama
naomba kujua app zur kudownload series za korea
Nzuri kwa maana ipi, resolution, kiwango cha Mb's per episode au yenye drama nyingi?naomba kujua app zur kudownload series za korea
Jamani ile series ilofahamika kwa jina la GLASS MASK. Naomba jina lake kamilia maake najarbu kudownload siipati. Au mwenye link yenye HD kuanzia 720p
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
nitajie zozote maan sehem nilipokun free wifiNzuri kwa maana ipi, resolution, kiwango cha Mb's per episode au yenye drama nyingi?
Bwana wee utajua mwenyewe mimi ndio nimeshasema...acheni maneno yenu ya shombo kama drama hujaipenda ikosoe drama habari za akina dada sijui watu fulani inahusu nini? Nimewasemea ndio kwani kuna ubaya? Nina kaka zangu kibao wanaoangalia kdrama na hawapo humu wakikosewa lazima niwasemee na sio wao tu hata sisi umetudharau kuwa tunaangalia ishu pet petAnhaa.! Kwahiyo wakati unaandika ile comment ulikuwa katika nafasi ya usemaji kwaajili ya wanaume wasioweza kujisemea? Maana wao hawakuona tatizo isipokuwa wewe.
Ni kweli nilisema sikuhizi wakorea wamekeza kwenye pet projects(kitu ambacho ni real), ni wapi nilidai kuwa wanaume wote hawapaswi kuziangalia hizo project? Kwanini mnakuwa na ugonjwa wa kujihisi namna hiyo?
Anyways tayari nilishasema nilichojisikia kusema muda huo na sitakanusha chochote kile, maana context haikuwa kumkejeli au kumdhihaki mtu.
Uwe na wakati mwema comrade Khantwe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sikutaka mambo mengi ila yakanifuata inabidi nikabiliane nayoWakati nausoma nilipaona pale
Nikasema khantwe hapiti bure hapa
Hahaha ukakomenti vingine nikasema okay
Kumbe uliliwekaa[emoji1787][emoji1787]
😂Bwana wee utajua mwenyewe mimi ndio nimeshasema...acheni maneno yenu ya shombo kama drama hujaipenda ikosoe drama habari za akina dada sijui watu fulani inahusu nini? Nimewasemea ndio kwani kuna ubaya? Nina kaka zangu kibao wanaoangalia kdrama na hawapo humu wakikosewa lazima niwasemee na sio wao tu hata sisi umetudharau kuwa tunaangalia ishu pet pet