Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!


Atakuja tu nguvu zetu haziend bure, Ameen

Ni balaa mi icho kitonga kimenisumbua kwa hasira nikaianza jamani. Tushee na mapishi ya vikorea maana ile fish finger uwiii

Namalizia our blooming youth, huyu park hyungshik ana kituu, his gaze[emoji4] awww

Sema FL naona kama hayupo serious[emoji16]ni mgeni pia machon mwangu.
 
Our blooming youth ndio kwanza nimeianza ila naona uvivu maana nina siku nyingi sijaangalia drama zenye episode 20
 
Kuna baadhi ya waigizaji tunawaona wageni unakuta ulishawahi waona kipindi upo mgeni ila sura haukuishika sasa hapa saiv mwenyeji kabisa unabaki kushangaa alikuwa wapi huyu

Wakorea wana mapishi mengi mno,wanafaidi misosi mbali mbali kasoro tu yale majani yao mabichi😂😂😂😂😂😂
 

Tena nlisema nitamcheki, usikute ni kama ulivyosema hapo
 
The empress ki ilitakiwa iwe kwenye Top 10
 
Shukrani. Sasa hiyo 30 ndio imekupa hiyo bundle au umejiunga kwa hela nyingine na hiyo 30 inabaki kulekule? Samahani umenichanganya happy kwenye security deposit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…