Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Wewe bwana si ukaangalie utuletee mrejesho?Unataka kunambia korea wanaweza kuwa na deep erotic kiasi hicho?
[emoji35] [emoji35]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe bwana si ukaangalie utuletee mrejesho?Unataka kunambia korea wanaweza kuwa na deep erotic kiasi hicho?
At my own risk,Noooope kuna waliosoma na wanapenda zilotafsiriwa Joh.
Mimi sijui bwana...at your own risk ila onyo nimeshakupa.
[emoji23] [emoji23] ulivo nikatisha haya bwana nitaletaWewe bwana si ukaangalie utuletee mrejesho?
[emoji35] [emoji35]
[emoji23] [emoji23] nadhani anaongelea wale ambao wanaweza kuangalia muvi wakaelewa..wa miaka miwili sasa anajua niniOriginal bibie shule nilienda kufanya nini?[emoji23] [emoji23] [emoji23] why nisiangalie na watoto? hata wa miaka 2? toto lenyewe nikikaa sebuleni na yy kashafika
Yes mydear hapo ambayo sijaangalia ni my lovable girl ngoja niitafute....asante.Hivi ulishaangalia My Young Wol The Spy?Naipenda sana.
Road # 1 je?
Halafu kuna Hotel King
My lovable girl
Kim Soo Ro
Hong Gil Dong
Kama kuna ambayo hujaangalia hapo icheki
cc johnsonmgaya Clkey Shark
List imeongezeka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimemuelewa tayari hata hvo nishapata intro yake YouTube[emoji23] [emoji23] nadhani anaongelea wale ambao wanaweza kuangalia muvi wakaelewa..wa miaka miwili sasa anajua nini
Hahahahahaaaaa una mchecheto kinoma,hadi umeenda kuicheki YouTube?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimemuelewa tayari hata hvo nishapata intro yake YouTube
Ni nzuri sana na ulivyo mwepesi kama mimi utalia tu.Yes mydear hapo ambayo sijaangalia ni my lovable girl ngoja niitafute....asante.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] siyo kwa warning ile uliyonipa,Hahahahahaaaaa una mchecheto kinoma,hadi umeenda kuicheki YouTube?
Hayaa,Kingdom of the wind
Empress ki
Gu family book
Legend
The princess man
The pirates
Tree with deep roots
War of the arrows
Six flying dragons
Hong gil dong
Iljimae zote...
Nyingine umeshatajiwa na Nifah...ukimaliza hizo tutakuongezea list.
Mi natumia application ya videoder kwa njia ya simu ni full eps kwa epsHalafuuuu,
Wapi nita download episodes zikiwa nzima nzima??
Maana naona Dramacool, DramaCrazy wanakata kata, eti wanaweka 1A, 1B, 1C na 1D una download weee mpaka unachoka
Hawa wakorea kawaroga nani maana si kupigana huku[emoji106] [emoji108] [emoji106] [emoji108] [emoji106] [emoji108] [emoji106] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
We unaelewa maana ya series??Wanaume mnaoshabikia Korean series mnanisikitisha.
Ezel.We unaelewa maana ya series??
Kwanza unashabikia nini??
Telenovela ama??
Hiyo ya TV1??Ezel.
Inafaa kwa PC hii apps??Mi natumia application ya videoder kwa njia ya simu ni full eps kwa eps