Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Damushin Nilikuwa Nimekosa Nafasi ya kuangalia REBEL THIEF WHO STOLE THE PEOPLE,Ila Now Nimeanza Kuangalia Baada Ya
kusikia Inahusiana Na 7DQ, Japo Ni Historical Story Ya Hil-Dong Lakini Pia Inamgusa Na King Yeonsan ambaye Inakuja Kuwa Muendelezo Kwenye 7DQ, Umo Kwenye 7DQ Uyo King Yeonsan ni Yung Brother wa Yeok....

Now Naanza kupata Picha Ya Hizi Korean Historical Drama...Daebak!!
niliianza episode 2 tu.
 
Rebel28-00042.jpg
 
Ni Nzuri Banah Tena Ni Nzuri Sana...Ni kati ya drama Ambazo Inakuchukua na Unaenda Nayo ( Apa sasa Sijuhi Inaweza kukufikisha wapi hii Inategemea na Mtazamaji) ila kwa Mimi imenifanya nisahau kidogo Vinavyonisumbua kwa wakati huu ila Nafikiria Nikishaimaliza Nitakuwa kwenye Kona Ipi..,
Ila Ina Ubora, Chemistry Ya Gil dong, Gil Hyeon na Ah Mo gae Ambaye ni Abeoji Wao Ni Cheche sana, Ukija na Ya Wale Brothers Zake Ni Wameua, Mi Yule Monk tuuh ambaye Mara Nyingi ye huwa anatoa Hewa chafu kuwatibua Wezake ni Vitu Ambavyo Kidogo Vinanifanya Nienjoy Hii Drama Lol!I
mjr95 Itafute
Kiukweli Series inakuchukua kimawazo hata chozi linaweza kukutoka
Unakumbuka baba yake GIL DONG mzee HONG AMOGAE alipokuwa anawekea watoto wake akiba dili likaja kugundulika na jamaa anaemiliki ikabidi akili2 zile pesa zote zilikua ni kwaajili ya slave master wake

Yaani kama umeangalia Series za kikorea utagumbua kuwa walikua na UTUMWA WAAJABU tena wakutisha huu uliokuja Africa ni kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli Series inakuchukua kimawazo hata chozi linaweza kukutoka
Unakumbuka baba yake GIL DONG mzee HONG AMOGAE alipokuwa anawekea watoto wake akiba dili likaja kugundulika na jamaa anaemiliki ikabidi akili2 zile pesa zote zilikua ni kwaajili ya slave master wake

Yaani kama umeangalia Series za kikorea utagumbua kuwa walikua na UTUMWA WAAJABU tena wakutisha huu uliokuja Africa ni kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Kiukweli ni kati ya drama Ambazo Machozi yananitoka Mpaka Najishangaa Kwa Nini Nalia Ivyo Sijuhi na Stress za Magu Nazo Zinachangia Maana Si kwa Kulia Ivyi..
Kwenye Hiyo Scene Nililia Na Ah Mo Gae Pale Alipopiga Magoti Anawaelezea Izo Mali Zilipo Alafu Kimoyo Anajisemeea Kuwa Ameangaika Kutafuta Izo Zote kwa Ajili ya Wanae Ili wasijekuwa kama Yeye, Dahh! Apa Machozi Yalinitoka Tena Ya Kimya Kimya..

Na Pale alipoenda Kumzika Mke Wake Uku Kambeba Mwenyewe Mgongoni na wale watoto Walivyokuwa Wanalia..Ainshhh!! Baada ya Kumzika Akarudi Tena Na Pombe ili Anywe Nae Na Kumuamsha Arudi Kamkumbuka,Dooohhh!!

Machozi Tuuhh Yamenitoka...
 
Nasikia kuna drama kali inaitwa master ruler naona kaiona wakuu ili niianze maana nishamaliza six flying dragon leo nahitaji nyingine kali zaidi.

Sent From Heaven
 
Back
Top Bottom