Gyeoul
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 3,758
- 5,365
HahahahahahahaNdo yy mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahahahaNdo yy mkuu
Aigooooo mbona wachekaHahahahahahaha
niliianza episode 2 tu.Damushin Nilikuwa Nimekosa Nafasi ya kuangalia REBEL THIEF WHO STOLE THE PEOPLE,Ila Now Nimeanza Kuangalia Baada Ya
kusikia Inahusiana Na 7DQ, Japo Ni Historical Story Ya Hil-Dong Lakini Pia Inamgusa Na King Yeonsan ambaye Inakuja Kuwa Muendelezo Kwenye 7DQ, Umo Kwenye 7DQ Uyo King Yeonsan ni Yung Brother wa Yeok....
Now Naanza kupata Picha Ya Hizi Korean Historical Drama...Daebak!!
Omo! Nikajua Ushaiona, Au Ndo Bado Umekomaa Kutoaangalia Kwa Kipindi Hiki...niliianza episode 2 tu.
Aigoooo!hahahahaaaa nilikuwa sina computer ya uhakika kwa sasa natumia ya kwangu mwenyewe.
Pia nina viporo vingi mnoooo sijui nianzie wapi
Kiukweli Series inakuchukua kimawazo hata chozi linaweza kukutokaNi Nzuri Banah Tena Ni Nzuri Sana...Ni kati ya drama Ambazo Inakuchukua na Unaenda Nayo ( Apa sasa Sijuhi Inaweza kukufikisha wapi hii Inategemea na Mtazamaji) ila kwa Mimi imenifanya nisahau kidogo Vinavyonisumbua kwa wakati huu ila Nafikiria Nikishaimaliza Nitakuwa kwenye Kona Ipi..,
Ila Ina Ubora, Chemistry Ya Gil dong, Gil Hyeon na Ah Mo gae Ambaye ni Abeoji Wao Ni Cheche sana, Ukija na Ya Wale Brothers Zake Ni Wameua, Mi Yule Monk tuuh ambaye Mara Nyingi ye huwa anatoa Hewa chafu kuwatibua Wezake ni Vitu Ambavyo Kidogo Vinanifanya Nienjoy Hii Drama Lol!I
mjr95 Itafute
[HASHTAG]#dramania[/HASHTAG]Jaman ni apps IPI nzuri ya Ku download hizi series na episode nzima nzima za kikoreaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Kiukweli ni kati ya drama Ambazo Machozi yananitoka Mpaka Najishangaa Kwa Nini Nalia Ivyo Sijuhi na Stress za Magu Nazo Zinachangia Maana Si kwa Kulia Ivyi..Kiukweli Series inakuchukua kimawazo hata chozi linaweza kukutoka
Unakumbuka baba yake GIL DONG mzee HONG AMOGAE alipokuwa anawekea watoto wake akiba dili likaja kugundulika na jamaa anaemiliki ikabidi akili2 zile pesa zote zilikua ni kwaajili ya slave master wake
Yaani kama umeangalia Series za kikorea utagumbua kuwa walikua na UTUMWA WAAJABU tena wakutisha huu uliokuja Africa ni kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app