DAEMUSHIN
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,428
- 120,464
Hahahahaaaaaaa hapa nilipo nimecheka mpaka majirani wametoka nje. hata mimi nilidhani atamsaidia kwenye kesi pale ambapo atakapo pona baada ya kujitupa.[emoji23] [emoji23] [emoji23]na kweli ukijifanya mtabiri aisee unaumbuka hivihivi umenikumbusha mimi pale niliwaza kwamba hapo hatadondoka atadakwa na katika hiyohiyo prosecution atamsaidia kushinda ile kesi mama weee kilichonipata siri yangu
tumeaibika