Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,097
- 17,929
Hahaaa Damushin Sunbae unavituko ww sasa hapo kuna ushawishi gani.? Yah, walipendana sana toka utotoni japo mwanzo walimnyanyapa sana kutokana na kuwa muoga na aliye kuwa anaonekana hajui kitu. Mpaka yule rafiki yake mwingine akawa nae bega kwa bega na kuhakikisha anajisikia amani na furaha kama wenzake. Kinacho nifurahisha ni yule rafiki yake aliyekuwa akimtenga baadae akaja kumuelewa na kushika urafiki imara sasa wakawa watu watatu Hahaa.hili andiko lako nimelirejea kulisoma mara nne ndipo angalau nikapata cha kukujibu, kiukweli hili andiko limenifanya muda huu niitafute episode ya 11 hadi ya 15,wakati asubuhi nilisema nataka niiweke kiporo sasa kwa huu ushawishi wa andiko lako kwa nini nisikuite sunbaenim?
kiukweli nimevutiwa zaidi na urafiki wa tokea utotoni kati ya ryu seung ryong, yi soon shin na won kyun. huyu ryu seung ryong baadae anakuja kuwa na nyadhifa mbali mbali kwenye utawala wa mfalme seonjo na kwenye vita ya imjin war alishika nyadhifa ya waziri wa ulinzi na ndie aliekuwa akimpa support kubwa sana yi soon shin. baada ya kuona mfalme seonjo amekuwa na hofu na yi soon shin aliamua kuacha shughuli za kisiasa, kama sikosei episode ya 3 ya drama hii anaamua kupeleka barua ya kuacha kazi kwa mfalme seonjo.
Bado najiuliza ile risasi iliyo mpata Admiral Yi Soon Shin kifuani je, ilimfanya akapoteza uhai ama ilikuwaje? Na je, ile series inaanza katika vita zile zilikuwa vita za mwishoni ama? Na inamaana baada ya kuanza kuona maisha yake inamaana mbeleni tutaenda alafu tufike pale tulipo komea kwenye tukio la Admiral Yi Soon Shin risasi inampata?