Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,097
- 17,929
Mkuu mi nipo mbona.
Aisee! upo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee! upo?
Mimi siku hizi nadownlodia kwenye Telegram.
Kwa takwimu gani zilizofanyika? Watu wanajua wengi ila ni wachache wenye moyo was kusaidia watu! Chief he's too quite goodHuyu ndo mtaalam jf nzima kama ulikua hujui
Mkuu hii mbona wengi wanajua ila mazoea tu ,ni kwamba kwenye Telegram kunakuwa na channels na magroup ya series,movies n.k. Kupitia hizo channels unaweza kudownload movie au series,ungekuwa nayo ningekutumia links za channels.Hebu shusha nondo kwa faida ya wengi.
http://kissasian.sh/Jamani msaada site ya kudownload series imekuwa tatitizo kwangu,nilikuwa natumia drama nice na drama cool,baadaye zikazingua nikawa natumia dramaforever lkn na yenyewe imezingua,good drama ina parts kama 4 kwenye episode 1,plc site nzuri nishushe series
Nilikua sijuiHuyu ndo mtaalam jf nzima kama ulikua hujui
Mkuu hii mbona wengi wanajua ila mazoea tu ,ni kwamba kwenye Telegram kunakuwa na channels na magroup ya series,movies n.k. Kupitia hizo channels unaweza kudownload movie au series,ungekuwa nayo ningekutumia links za channels.
View attachment 900551View attachment 900553View attachment 900554
Hapana sio zote tena mie nadownloadia kule kwa sababu ya mb chache na quality nzuri.Ningekuwa nayo.!!??? Ni vigezo vipi umetumia kutambua ya kuwa sina?? [emoji23][emoji23] Sema kule zinakuwa na ukubwa mno.
Naomba link ya channelHapana sio zote tena mie nadownloadia kule kwa sababu ya mb chache na quality nzuri.
Wakuu najaribu kudownload some episodes kupitia hii app ya dramania, lakini znacomplete fasta halaf znakuwa na 44kbs au 0 na haziplay
Zipo ambazo nmefanikiwa pia
Tatzo nini hapa au nofanye nini niweze kujipakulia
NAWASILISHA
ShukraniKama unatumia WI-FI isiyoeleweka huwa inafanya hivyo au mtandao tatizo
Ila kama mtandao upo vizuri huwa inadownload vizuri. Au ifute application kisha vuta upya
Pia unaweza jaribu dramanice,nayo ina korean drama nyingi igoogle yakija matokeo scroll chini mpaka upate website ya dramanice,kisha ingia humo search drama uipendayo ikiwepo itaonekana kama haipo haitaonekana.ila humo episode moja kamili ni kuanzia mb 200.
Studio za kina dJ Mark na Mawakala wao wanayo( The Great King Gwanggaeto) au kwa Studio za Mjukuu Mwana wa Mbambadu yeye kairudia Mwaka huu 2018 kwa jina la ( Land of War) au Master Dj ( King Gwanggaeto the Great)land of war ndio ipi hiyo muheshimiwa the great expander mbona sijawahi kuiona kwenye library yoyote ile?
msaada tafadhali
OK nimekuelewa.Studio za kina dJ Mark na Mawakala wao wanayo( The Great King Gwanggaeto) au kwa Studio za Mjukuu Mwana wa Mbambadu yeye kairudia Mwaka huu 2018 kwa jina la ( Land of War) au Master Dj ( King Gwanggaeto the Great)