Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Hizi k drama na movies ni wapi nitazipata zenye small size kama kwenye TV series, shows/Cartoon, Anime, Manga/Documentaries for mobiles in avi/3gp format - MobileTVshows
Hapo unapata series za Hollywood kwa small size kuangalizia kwenye tablets au simu

Wastani mb 100 - 200 kwa episode

Asanteni mkinipa muongozo
wengi wetu tunatumia tovuti zilizozoeleka kimatumizi ya kuangalia sanaa za Asia.
quality ya video, dakika na muda wa kuwekwa kwake ndio unadetermine ukubwa wa file (MB).

zipo baadhi ya project utazipata kwa MB100-200 kwa kila episode na zipo nyenginezo (nyingi) file linabeba MB 200 kwenda juu.
labda mtafute Numbisa nakumbuka aliwahi kushare application au tovuti inayosupport korean drama kwa MB chache
 
ndio, si walikuwa ni watoto wa royal family ndio wanaoruhusiwa kujiunga na hwarang.
ndio boys over flowers (mabishoo) wa nyakati hizo.
go joon pyo na demu wake geum jan di
Hahaha ni kweli ila
Lakini hapo nadhani ni noble families maana ukiongelea royal family walikuwa ni wale tu wawili na hata wakati wa kujiunga walikuwa hawajulikani kuwa ni member wa royal family
 
Kuna baadhi ya server za dramacool zina mb chache sema nazo mpaka uibahatishe.

Application ya dramania sijui ilifia wapi nishaisahau ilikua na virus
wengi wetu tunatumia tovuti zilizozoeleka kimatumizi ya kuangalia sanaa za Asia.
quality ya video, dakika na muda wa kuwekwa kwake ndio unadetermine ukubwa wa file (MB).

zipo baadhi ya project utazipata kwa MB100-200 kwa kila episode na zipo nyenginezo (nyingi) file linabeba MB 200 kwenda juu.
labda mtafute Numbisa nakumbuka aliwahi kushare application au tovuti inayosupport korean drama kwa MB chache
 
Jung Ryeo Won a.k.a Princess Jamyunggo. Huyu binti alinikosha kwenye lile dude la Princess jamyunggo, ingawa ni series nzuri sana ila inafurahisha, inastajabisha kwa yule mjinga aliyeuza nchi kisa mapenzi, lakini inahuzunisha sana.
Huyu ndie mkorea muiguzaji pekee niliyemfolo huko IG
20210915_211422.jpg
 
Now yuko nafasi ya 23
She is Good, Very Good Kwa Umri Alonao Sasa Na Nafasi Aliyofikia Yupo Vizuri,

Waingereza Si Unajua Hawanaga Dogo Vyakwao Wanajua Kuvithamini.

Ila Uzuri Ni Kwamba Bado Ni Mdogo Na Ananafasi Ya Kufikia Level Izo, Sijawai Kuwaona Wakina Serena Kwa Umri Kama Huu Kwaiyo Sitokua Na Majibu Straight.

Na Chengine Imekua Ni Kubwa Sana Ni Namna Alivyoweza Kufika Final Na Kuchukua Uchampion, Alicheza Qualifying Match Kama 3 Ili Kuingia Kwenye Main Draw Then Ameenda Kwa Straight Set Mpka Uchampion Na Yupo Ranking 150 Uko Yaani Yupo Nje Ya Zile Top 100.

Kufikia Kiwango Cha Kina Serena Nampa Iyo Nafasi Kwa Namna Ya AnavoServe Alivyo Mtulivu Na Mental Yupo Vizuri
Maana Tennis Kama Ubongo Uko Kulia Na Wewe Kushoto Unatolewa Mapema Tu.
 
I think so, ila ni ngumu sana. Tennis ni mchezo mgumu sana tofauti na vile unaona unavyo chezwa. Inabidi uwe vizuri ki mwili na kiakili, hapo ukipoteza kimoja tu kwisha habari yako. Emma bado ni mdogo sana aendelee tu kupambana In Shaa Allah anaweza kufika hatua hizo. Bahati mbaya ama nzuri michuano hii ya Gland Slam kwa wanawake imekuwa wakibadilishana tofauti na kwa wanaume ambapo kule kuna miamba watatu Djokovic, Nadal na Federer. Hao kwa miaka mingi wamekuwa wakipokezana wao tu utadhani mashindano ni yao pekee yao, ila kwa mwaka 2020 na 2021 wameambulia mikono mitupu.

Emma atafika mbali kama akituliza akili kwenye Tennis, maana hawa wenzetu kidogo tu utasikia ana msongo wa mawazo. Hiyo kitu imemfanya Naomi Osaka apotee kabisa wakati dogo alikuwa anakuja vizuri sana. Kitu kingine ni majeraha , majeraha ndio hatari kabisa. Del Potro huyo mwamba majeruhi yalimtoa kwenye ramani ya mchezo wa Tennis toka mwaka 2019 mpaka leo japo kuna taarifa anaweza kurudi mwaka kesho mwanzoni. Kuna m South Africa anaitwa Anderson Kevin huyo mwamba amewahi kuwa kwenye nafasi ya 6 kwa ubora duniani miaka ya 2018 mpak 19 akaja pata majeha now yuko 68 huko. Nadal na Federer majeha ndio yamewafanya wasishiriki katika mashindano ya mwaka huu, Andy Murray hakuna asiye mjua kwe mchezo wa Tennis ila majeruhi yalimpoteza ni hatari. Federer naye kaanza kupotezwa mdogo mdogo
Gyeoul kuja hapa Mara moja,
Huyu Emma Raducanu ana ubora gani?
tokea Jana nawaona wapenda kelele wa ulimwengu huu(waengereza) wamekuwa wakimsifia sana huyu binti, hivi ana potential ya kuwa na ubora kama waliokuwa nao malegendary wa kike mfano Serena Williams na Venus, Dada maria sharapova n.k

Kwako mtaalamu wa huu mchezo wa tennis
 
Back
Top Bottom