Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Ndio nilienda kumgugo nikashangaa, sikuwahi kujua
Mastaa wengi wa filamu Korea wanaimba vizuri ila hawajajikita sana kama Jo Hyun Jae kuna OST moja ya 49 days sikuamini kama kaimba yeye.

Ji Chang Wook,Seo In Guk,Lee Seung Gi,Jung Yong Hwa huyu yupo kote kwenye kpop pia kundi la CNBLUE,Rain,Song Ji Eun,Lee Yuri,n.k

In short wengi ni multi-talented
 
Mr sunshine ndani ya our blues mkorofi sana sio kwa kufukuza wateja kule. Naona drama za kikorea zimeingia kwenye mkumbo wa kuhamasisha mimba mashuleni. Tunakoelekea duh ni giza tupu

Kwa taaabuu nimeimaliza the devil judge,kwa burudani kidogo nikakoleza ka family drama ka smile you(ka zamani kidogo,ila kazuri)
 
Mr sunshine ndani ya our blues mkorofi sana sio kwa kufukuza wateja kule. Naona drama za kikorea zimeingia kwenye mkumbo wa kuhamasisha mimba mashuleni. Tunakoelekea duh ni giza tupu

Kwa taaabuu nimeimaliza the devil judge,kwa burudani kidogo nikakoleza ka family drama ka smile you(ka zamani kidogo,ila kazuri)
Kama walivyohamasisha Bullying sasa wajiandane watoto wao kupigana mimba sana na hali hata hawaanzagi mapenzi mapema
 
Wana bullying mbaya sana,anzia chekechea mpaka makazini. Ile bullying ya all of us are dead ilipitiliza mipaka daah sikuipenda

Viburi kwa watoto,vitoto havina heshima kabisa kwa wazazi wao. Kila drama mtoto ndo anamuendesha mzazi sio jambo zuri kabisa

Drama zao zipitie kwenye ukaguzi mkali.
Kama walivyohamasisha Bullying sasa wajiandane watoto wao kupigana mimba sana na hali hata hawaanzagi mapenzi mapema
 
Wana bullying mbaya sana,anzia chekechea mpaka makazini. Ile bullying ya all of us are dead ilipitiliza mipaka daah sikuipenda

Viburi kwa watoto,vitoto havina heshima kabisa kwa wazazi wao. Kila drama mtoto ndo anamuendesha mzazi sio jambo zuri kabisa

Drama zao zipitie kwenye ukaguzi mkali.
Shida ni kwao zinapitishwa tu na zikiwa nje ya mstari Netizens huwa wanawasha moto.

Bahati mbaya wanakazia vitu simple eti Joseon Exorcist ilikuwa na makosa gani jadi kufutwa.

But nishawazoea that's why nawapenda sana huku kwenye K-Pop ndio nipo sana fanboy wa nguvu
 
Mastaa wengi wa filamu Korea wanaimba vizuri ila hawajajikita sana kama Jo Hyun Jae kuna OST moja ya 49 days sikuamini kama kaimba yeye.

Ji Chang Wook,Seo In Guk,Lee Seung Gi,Jung Yong Hwa huyu yupo kote kwenye kpop pia kundi la CNBLUE,Rain,Song Ji Eun,Lee Yuri,n.k

In short wengi ni multi-talented
Mkuu unawajua mastaa wa kikorea kama wote
 
Naomba majina ya series Kali Kali zenye storyline nzuri za kikorea
Sijajua genre gani unapendelea binafsi mimi ni napenda medical drama, za ma psychopath, love story, na za historical n. K
Jaribu zifuatazo kwa upande wangu naona zna story kali..
1.Doctor stranger
2.Gu family
3.Moon embracing the sun
4.My love from another star
5.Faith
6.Tell me What you saw
7.Voice 4
8.Vagabond
9.The world of married couple
10.. young pal, za hivi karbun sijazangalia. wengne waongezee,,ila ungesema genre ipo unapendelea ili wakutajie drama husika
 
Sijajua genre gani unapendelea binafsi mimi ni napenda medical drama, za ma psychopath, love story, na za historical n. K
Jaribu zifuatazo kwa upande wangu naona zna story kali..
1.Doctor stranger
2.Gu family
3.Moon embracing the sun
4.My love from another star
5.Faith
6.Tell me What you saw
7.Voice 4
8.Vagabond
9.The world of married couple
10.. young pal, za hivi karbun sijazangalia. wengne waongezee,,ila ungesema genre ipo unapendelea ili wakutajie drama husika
Asante mkuu za medical drama sizipendi pamoja na za horroy na fantasy napenda za love story, Politics, thriller, suspense na actions
 
Back
Top Bottom