Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Wakorea wanabanwa sana kwenye copyrights,wao wakiiga wanasimamiwa kila kitu ila wakiigwa hawana haki ya kusimamia chochote wala kuweka aigoo zao mule.
Hawana misimamo kama wanavyoonyesha kwenye drama zao,atakayepewa mgao mkubwa ndie mwenye sauti na kuamua kila kitu. Kama ilivyo bongo na kwao ni vile vile kwenda ulaya dili kubwa sana
Izi western platform wanavohusika na ndugu zetu wakorea muelekeo wake sio mzuri huko baadae
 
Binafsi nimependa uhusika wa Park Hae Soo (Berlin). Kacheza vizuri sana kwenye hiyo nafasi.

Tuzingatie hayo maandishi kwenye subtitles.
20220626_033635.jpeg
 
Wakorea wanabanwa sana kwenye copyrights,wao wakiiga wanasimamiwa kila kitu ila wakiigwa hawana haki ya kusimamia chochote wala kuweka aigoo zao mule.

Hawana misimamo kama wanavyoonyesha kwenye drama zao,atakayepewa mgao mkubwa ndie mwenye sauti na kuamua kila kitu. Kama ilivyo bongo na kwao ni vile vile kwenda ulaya dili kubwa sana
Wasije wakaanza kuzihujumu tu na historical
 
Jioni nitawasilisha mbinu ya kupakua episode nyingi kwa mpigo kwa site pendwa ya kimoiTv kupitia idm+
Apa tunazungumzia kwa kwa site iliyoweka download link kwa sequence
Eg
The defendent
Episode 1
01_kissTVSeries.com.mp4
Episode 2

02_kissTVSeries.com.mp4

Tofauti katika download link ni namba za episode kwa link tajwa ni 01 , 02 zitaendelea 03 04 05 mpka episode ya mwisho
Kwahiyo ukishaona ivi alafu unataka kupakua episode zote au 10 (any)
Unaingia idm+ option ya Batch download
Screenshot_20220627-071955.png


Apo tutaingia download link,from, to, digits

Nianze na "digits" hii inaweza kua 1, 2 au 3. Utaweka moja kama episode kwenye download link zimeandikwa kwa single digit yan 1 2 3 4, utaweka 2 kama ni double digit yani 01 02 03 04
Na 3 kama ni 001 002 003 004

Kwa link yetu ya mfano nimehighlt kwa rangi nyekundu episode 1 ni 01 episode two ni 02 so digit yake ni 2

Twende "from" na "to"
Apa unaweka sasa unataka kupakua kutoka epiosode ya ngapi mpaka ngapi mfano nimeshacheki npaka epiosode ya 7 nataka kupakua ya 8 mpaka 13
From nitaweka 8 , to nitaweka 13
Mind you hata kama kwenye download link ni 08 09 10 11 12 13 au 008 009 010 011 013 hii nikwasababu tumeshaset "digit"

Tumalizie na download link
Apa utachagua download link yako utaangalia difference ipo vipi kwa link yetu ya mfano nimehighlight kwa red colour
Refer
The defendent
Episode 1
01_kissTVSeries.com.mp4
Episode 2

[/URL]02_kissTVSeries.com.mp4

Sasa hii sehem inayochange kwa sequence 01 02 ... utaireplace na * (nyota)
Unachukua link moja tu
*_kissTVSeries.com.mp4

Screenshot_20220627-074005.png

Apa sasa ushamaliza utaclick start download


Screenshot_20220627-074050.png

Ikimalisa kuload apo utaclose download link zitakua tayari zinarun
Screenshot_20220627-074337.png

In case unamashaka unaenda kimoi kuverify izoepisode kama zina mb zinazofanana na kwenye downloader

Maendeleo hayana chama
 
Binafsi nimependa uhusika wa Park Hae Soo (Berlin). Kacheza vizuri sana kwenye hiyo nafasi.

Tuzingatie hayo maandishi kwenye subtitles. View attachment 2273008
Jamaa Berlin walipomfungia walipopata tatizo ndio wakajua jamaa anafaa kuwa kiongozi wa. Heist mzee wa kuleta fear[emoji23][emoji23].... Waiting part 2
 
Hii sababu ikafanya nisiendelee na hii series [emoji23][emoji23]
Nimeishia episode ya 3 nikaona simuelewi mdada nimeipumzisha kwanza
Vipi umeimalizia? Nimeangalia episode mbili naona maruweruwe...1.hekaheka nyingi watu wanakimbia hovyo
2.kile ki bok joo kinaongea harakaharaka kinanipa wakati mgumu kusoma subtitles
3. Yule actor wa kiume sijampenda wala
Numbisa ameisifia ila naona itanishinda
 
😂😂😂😂Mie nimeipenda yote. Ila kama imekushinda nisikupe matumaini hewa. Mfano Mie hadi muda huu bado sielewi hivi jumong inanishindaje yaani sijawahi vuka episode ya tano kila nikifika hapo nafuta.
Vipi umeimalizia? Nimeangalia episode mbili naona maruweruwe...1.hekaheka nyingi watu wanakimbia hovyo
2.kile ki bok joo kinaongea harakaharaka kinanipa wakati mgumu kusoma subtitles
3. Yule actor wa kiume sijampenda wala
Numbisa ameisifia ila naona itanishinda
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie nimeipenda yote. Ila kama imekushinda nisikupe matumaini hewa. Mfano Mie hadi muda huu bado sielewi hivi jumong inanishindaje yaani sijawahi vuka episode ya tano kila nikifika hapo nafuta.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jumong mimi mwenyewe sijawahi kuimaliza, kwanza nilianzia katikati nikaishia hapohapo katikati
 
Back
Top Bottom