talnam
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,451
- 2,830
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kuna wale aah pweza wana miguu mingi daah wanadumbukizwa wazima wazima kwenye sufuria linalochemka,kwenye korean no 1 niliona kuna mwingine alikatwa katwa akiwa hai na jamaa wakatengewa wakala huku wanasifia utamu wakati mbichi kabisa
Yani hapo ndo nashanga
Yani katoka kutembea dk tano nyingi wanamla
Kuna wale wadudu kama ruba kwenye 21 25
Ukiikuta wanaivuta hiyo supu ya mguu wa kaa[emoji3]