Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Mvaa Kobazi maliza Hiyo my country, nikupe chuma kingine Cha Moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikimaliza nitakucheki so far mzigo upo vizuri dogo wa mishale ana balaaMvaa Kobazi maliza Hiyo my country, nikupe chuma kingine Cha Moto
Ni hatarii, sema nili mkubali mbeba panga.Nikimaliza nitakucheki so far mzigo upo vizuri dogo wa mishale ana balaa
We naee sasa unarecommend drama halafu unaspoil tena ...usukuma wa kiwango cha juu sanaNi hatarii, sema nili mkubali mbeba panga.
[emoji117]Nili hisi kaonewa hivi, mzee wake kafa, demu kamkosa[emoji3][emoji23]
Inaitwaje hii dramaLady Gil Chae 3 - Young Master Lee Jang Hyun 2
wanawake muache ukatili, hata tukiwanyima salamu mutuvumilie.
Daemushin kutoka Kizimkazi.
View attachment 2738360
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bora nirudi kuangalia za porini, hizi za town ni uchafu mtupu
Nimefika Tunnel ep 15 naona ni vituko vitupu
Mtu katekwa mara ya kwanza, kaokolewa ila muhalifu hajapatikana
Ajabu mtekwaji anarudi kwenye apartment ile ile aliyotekwa , hakuna hata ulinzi wa polisi , ilimradi atekwe tena
Mtekwaji kapiga simu ili mzigo uletwe korea kutoka UK, ajabu polisi wakapata taarifa ila wakashindwa kabisa kutafuta location ya sehemu simu ilipotoka
Detectives wanaenda kumsaka muhalifu wa mauaji ila hawana hata bastola, wanabaki kumkimbiza wee muhalifu simamaaa[emoji38][emoji38][emoji38]
Roho imeniuma mimi hawaLady Gil Chae 3 - Young Master Lee Jang Hyun 2
wanawake muache ukatili, hata tukiwanyima salamu mutuvumilie.
Daemushin kutoka Kizimkazi.
View attachment 2738360
Inaitwaje hiyo drama?Roho imeniuma mimi hawa
Sijajua huko mbele,ngoja tusubiri
Nimeingia adi website ya mbc kucheki next itatoka lini🤣
Kwa huko kwao nimeona hii ndo drama inatrend kwa sasa
My dearestInaitwaje hiyo drama?
Nimekuacha ukipata nijurishe na mm hasa romantic 😂Mwachiluwi niache, nipo hapa kuwasilisha maombi yangu Kwa Numbisa na wengineo
Kwani wasukuma Wana shida gani, au ndo kuvaa gauni kwenyewe-🤔We naee sasa unarecommend drama halafu unaspoil tena ...usukuma wa kiwango cha juu sana
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hawana shida yoyoteKwani wasukuma Wana shida gani, au ndo kuvaa gauni kwenyewe-[emoji848]
Kuishinda river when the moon rises??My Dearest ni historical drama kali sana hii inaweza kukupa slump[emoji16]