Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Duh mimi huwa natumia vya kuunga nikipata episodes hata 5 za mb 300 kwa siku life goes on

Aisee gharama mno

Mie hata nikibanwa kwa wiki hata boda atapeleka simu wanishushie alaf naipitia hivi hivi sitoboi


Leo nimeenda kumbe hiyo variety ndo kwanza inaanza
Ikabid nishushe ‘somebody’
 
Aisee gharama mno

Mie hata nikibanwa kwa wiki hata boda atapeleka simu wanishushie alaf naipitia hivi hivi sitoboi


Leo nimeenda kumbe hiyo variety ndo kwanza inaanza
Ikabid nishushe ‘somebody’
Somebody niliiweka kwenye list tangu July ila kitonga kilivyokufa kikaharibu kila kitu

Hata Exchange nimeimaliza last week

Sema kuna show ya vitoto vidogo vinajua kuimba hatari inaitwa Forsythia Academy nzuri sana
 
Nakupa recommendation
1. A fist within four walls(2016) hii ilikuwa drama yangu bora kwa mwaka 2016, hata hong kong was best drama of year.
2. Righteous fists(2022) ni moja ya drama kali kwa mwaka jana

Waliocheza hi hao hao, na story zinataka kufanana ILA ni tofauti. ZOTE NI ZA MOTO, STORY NZURI HALAFU DOZI KWA KWENDA MBELE. KUNA LIJITU LINAITWA IRON SHIELD HALIPIGIKI, WALA HALISIKI MAUMIVU.
UTAKUTANA PIGO LINAITWA BAJIQUAN( BAJI FIST), Muay Thai & Wing Chung
Kwa mchina kuna hii kazi isisahaulike ni chuma kwelikweli
images.jpeg
 
Bang won aliwaua wale watoto kambo wa babake wawili.

Ila kaka zake wa damu alikuwa anawapenda sana

Bang Ga
Bang gwa
Bang ui
na kaka yao mkubwa alisusa kuunga mkono joseon dynasty. Alibaki kuwa loyal Kaa goryeo dynasty.

Jamaa aliua mashemeji zake wote wake na WA mtoto wake Sejong the great kisa mashemeji Wana manipulate crown princes kwa faida zao.

Akikataza kabisa kushare madaraka na mkewe alimwambia madaraka yake yeye akihitajika ndio awepo otherwise ashone mavitambaa tu hekaluni[emoji1787]

Ukijidai unampinga tu atakutafutia sababu anakupoteza kihalali kabisa bila mikono yake kuchafuka.

Lee bang won KING TAEJONG .
Lee bang won mnyama🤣
 
Sijui kwanini wachina huwa hawana drama zinazoelezea historia ya nchi yao kama ilivyo korea. Huku kwenye drama za Korea tunaongeshwa kuwa China ilikuwa falme kubwa dhidi ya zile za Korea.
Waliangalie hili maana wengi tunajua kazi zao chache sana tofauti na korea
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Back
Top Bottom