Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Vp ushaangalia show yetu pendwa?

Inferno?

Exchange inasumbua ku download sijui shida nin, nimeshajarib mara tatu inakaa masaa haiish nastopisha, nadhan dramanice ndo shida sijui

Inferno nimeshusha kwa Nkiri
Cant wait kumuona Gwan hee akilia, sijui aliumizwa au vipi ila hayupo tayar kupendana
 
Inferno?

Exchange inasumbua ku download sijui shida nin, nimeshajarib mara tatu inakaa masaa haiish nastopisha, nadhan dramanice ndo shida sijui

Inferno nimeshusha kwa Nkiri
Cant wait kumuona Gwan hee akilia, sijui aliumizwa au vipi ila hayupo tayar kupendana
Mbona dramanice inakubali kupakua vyema japo ni kweli ilisumbua jana ilikuwa inaweza 0B haianzi kuhesabu ila leo imekaa sawa.


Kuhusu huyo Gwan-hee ni anaudhi kwa mtu wa miaka 36 kujikuta kama teenager,huyo alie tu ni red flag no wonder hadi umri huo yupo single
 
Mbona dramanice inakubali kupakua vyema japo ni kweli ilisumbua jana ilikuwa inaweza 0B haianzi kuhesabu ila leo imekaa sawa.


Kuhusu huyo Gwan-hee ni anaudhi kwa mtu wa miaka 36 kujikuta kama teenager,huyo alie tu ni red flag no wonder hadi umri huo yupo single

Nitajarib tena

Wakat wanasema ex wake amekaa nae 6years
Atakua na trauma labda from last relationship
 
Nitajarib tena

Wakat wanasema ex wake amekaa nae 6years
Atakua na trauma labda from last relationship
Tuone atakuwa na nani mwishoni but nawahurumia zaidi Min Woo na Si Eun inaonekana kama kuna kitu kilienda wrong naiona endgame ya Won-ik na Si Eun.

Jana kwenye game ta Basketball Hajeong,Habin,Jin Seok,Minyoung na Min Kyu walikuwepo kumsapoti mwamba Gwan-hee.

Kupitia ile picha nikapiga mahesabu yangu kuna end game couple 2
 
Tuone atakuwa na nani mwishoni but nawahurumia zaidi Min Woo na Si Eun inaonekana kama kuna kitu kilienda wrong naiona endgame ya Won-ik na Si Eun.

Jana kwenye game ta Basketball Hajeong,Habin,Jin Seok,Minyoung na Min Kyu walikuwepo kumsapoti mwamba Gwan-hee.

Kupitia ile picha nikapiga mahesabu yangu kuna end game couple 2

Kitu nafurah ni jin seok atakavyorudi kwa minyoung

Hiyo ndo coupl naeza ona iko sure
 
Yah na ile pisi sijakariri ni nani inaiulizwa na mwamba something like Gwan-hee kwamba inataka kulala ikajibu "Arasseo" ikapanda kitandani walale pamoja[emoji23]

Atakua Minji seems waliingia hot tub pamoja ndo maana alimkataza asiingie na hye seon

Ila hiyo scene hawakuonesha, pamoja hata walivyolala. Tukaamshwa wanarudi inferno

Kwanza kile kilio cha N[emoji2960] sio bure na ile mitego ya nguo.
 
Atakua Minji seems waliingia hot tub pamoja ndo maana alimkataza asiingie na hye seon

Ila hiyo scene hawakuonesha, pamoja hata walivyolala. Tukaamshwa wanarudi inferno

Kwanza kile kilio cha N[emoji2960] sio bure na ile mitego ya nguo.
Kuna ex couple moja kwa show yetu walidate miaka 13 aisee huyo mwanamke analia kila akiwa peke yake hataki kumsahau ex wake.

Hadi mashosti zake walikuwa wanamshangaa kwamba alipewa mini na ex wake kiasi kwamba hawezi kuishi bila yake.

Dah hata mimi imeniuma miaka 13 mingi sana alideserve ndoa kabisa
 
Kuna ex couple moja kwa show yetu walidate miaka 13 aisee huyo mwanamke analia kila akiwa peke yake hataki kumsahau ex wake.

Hadi mashosti zake walikuwa wanamshangaa kwamba alipewa mini na ex wake kiasi kwamba hawezi kuishi bila yake.

Dah hata mimi imeniuma miaka 13 mingi sana alideserve ndoa kabisa

Ndo naimalizia kutazama hapa
Nimeidownload kwa mbinde
Miaka 13 duh
 
Ndo naimalizia kutazama hapa
Nimeidownload kwa mbinde
Miaka 13 duh
Ndio hapo sasa,alijaribu kumove on ila kukutana na ex wake tena kumeutikisa moyo wake.

Miaka yake ni 30 so kwa haraka walikutana wakiwa wadogo ni first love wake ndio mpenzi wa maisha yake kumsahau ngumu sana labda ubongo uwe formated[emoji16]

Yule Hae Eun hapa kwa Dahye haingii ndani huyu Bibie analia aisee[emoji1316]
 
Ndio hapo sasa,alijaribu kumove on ila kukutana na ex wake tena kumeutikisa moyo wake.

Miaka yake ni 30 so kwa haraka walikutana wakiwa wadogo ni first love wake ndio mpenzi wa maisha yake kumsahau ngumu sana labda ubongo uwe formated[emoji16]

Yule Hae Eun hapa kwa Dahye haingii ndani huyu Bibie analia aisee[emoji1316]

Sema Nadhan huwa wana filter kama ku cheat kama chanzo cha break up
Hae eun alifumaniwaga, jinsi alivyolia alafu alivyokuja kumpenda yule dogo

Tumuone huyo Dahye

Season 1 yule alienda had mapumziko kwao kisa kumlilia ex ila alifall kwengine
 
[mention]Han Kyul [/mention] ukipata ktnga unikumbuke tujadili on time[emoji16] sasaa
 
Hi ni on going- iko episode ya 10, Kali mno🤒
Khantwe, Franky Samuel, Numbisa, Mvaa Kobazi, adriz
FB_IMG_17044873093422399.jpg
 
Sema Nadhan huwa wana filter kama ku cheat kama chanzo cha break up
Hae eun alifumaniwaga, jinsi alivyolia alafu alivyokuja kumpenda yule dogo

Tumuone huyo Dahye

Season 1 yule alienda had mapumziko kwao kisa kumlilia ex ila alifall kwengine
Kudate miaka mingi sana bila ndoa watu wanachokana pia yule Dahye ndio sababu ya relationship kufika hata hiyo miaka 13 maana sparks zilianza kupotea miaka ya mwisho ila Dahye alikuwa hataki kusikia kitu breakup alikuwa obsessive hasikii wala haoni.So alipambana kuishikilia relationship ila mwisho akaona bora tu amuachilie tu jamaa aende maana begging for love nayo ni utumwa.

Kama mambo yasipoenda vizuri kwa jamaa ajiweke karibu kwa Kwang Tae wanaonekana kuwa na chemistry nzuri ndani ya muda mchache.

But niwe mkweli tu tangu nianze kuangalia hii show mimi ni shabiki mkubwa wa reunion kuliko new love.

Safari bado ndefu episode 1 kila wiki bila shaka tutamaliza April mwishoni
 
Back
Top Bottom