Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kudate miaka mingi sana bila ndoa watu wanachokana pia yule Dahye ndio sababu ya relationship kufika hata hiyo miaka 13 maana sparks zilianza kupotea miaka ya mwisho ila Dahye alikuwa hataki kusikia kitu breakup alikuwa obsessive hasikii wala haoni.So alipambana kuishikilia relationship ila mwisho akaona bora tu amuachilie tu jamaa aende maana begging for love nayo ni utumwa.

Kama mambo yasipoenda vizuri kwa jamaa ajiweke karibu kwa Kwang Tae wanaonekana kuwa na chemistry nzuri ndani ya muda mchache.

But niwe mkweli tu tangu nianze kuangalia hii show mimi ni shabiki mkubwa wa reunion kuliko new love.

Safari bado ndefu episode 1 kila wiki bila shaka tutamaliza April mwishoni

Tatizo re union zinakuaga bitter unataman hata wangeanza upya

Ikifikaga ep 3 huwa moto alfu kuanzia 10 makasiriko

Sema once a week mbona mtihani

Huyo hi hyw sijui unadhan atarudiwa[emoji2]
 
Tatizo re union zinakuaga bitter unataman hata wangeanza upya

Ikifikaga ep 3 huwa moto alfu kuanzia 10 makasiriko

Sema once a week mbona mtihani

Huyo hi hyw sijui unadhan atarudiwa[emoji2]
Ila love story ya hao watu dah unaambiwa walikutana wakiwa trainees kwenye company flani inasemekana ni SM Entertainment,baada ya relationship yao kufichuka wakafukuzwa kama unavyojua idols kudate ni jinai kwa Korea,so girlfriend alienda sehemu nyingine akaja kudebut na BESTie 2013 ila boyfriend yeye ndoto zake zilikatika ila akawa supporter wa gf wake kuna time akawa kama acting manager wa group ili tu awe jirani na kipenzi chake.
Waliachana mara 2 2014 wakarudiana baada ya mwezi mmoja,2018 pia wakaachana wakarudiana baada ya miezi 3,na season 3 imekuwa filmed mwezi wa 10 na walikuwa wameachana June ina maana breakup yao ina miezi 4 kabla ya kuingia mjengoni.
Anyway ntakumaluzia uhondo.


Tukirudi kwa Hwi Hyun huyo ana taste kama za Jung Kwon wa season 1 alifall kwa noona akajikuta hajamove on ila katikati akaanza kumfukuzia Minyoung,na huyu kijana wetu ana hizo chembe tusubiri tuone watayajenga vipi na Hyewon.
 
Ila love story ya hao watu dah unaambiwa walikutana wakiwa trainees kwenye company flani inasemekana ni SM Entertainment,baada ya relationship yao kufichuka wakafukuzwa kama unavyojua idols kudate ni jinai kwa Korea,so girlfriend alienda sehemu nyingine akaja kudebut na BESTie 2013 ila boyfriend yeye ndoto zake zilikatika ila akawa supporter wa gf wake kuna time akawa kama acting manager wa group ili tu awe jirani na kipenzi chake.
Waliachana mara 2 2014 wakarudiana baada ya mwezi mmoja,2018 pia wakaachana wakarudiana baada ya miezi 3,na season 3 imekuwa filmed mwezi wa 10 na walikuwa wameachana June ina maana breakup yao ina miezi 4 kabla ya kuingia mjengoni.
Anyway ntakumaluzia uhondo.


Tukirudi kwa Hwi Hyun huyo ana taste kama za Jung Kwon wa season 1 alifall kwa noona akajikuta hajamove on ila katikati akaanza kumfukuzia Minyoung,na huyu kijana wetu ana hizo chembe tusubiri tuone watayajenga vipi na Hyewon.

Jinsi ulivyo ji invest kwenye hilo penz utamuona huyo Da hye anavyopenda tena

Unahis couple yake atakua nan, ulivyoelezea kama Dong jin sijui( yule mpole mpole) anaelekea kua zaid ya 30
 
Jinsi ulivyo ji invest kwenye hilo penz utamuona huyo Da hye anavyopenda tena

Unahis couple yake atakua nan, ulivyoelezea kama Dong jin sijui( yule mpole mpole) anaelekea kua zaid ya 30
Investment yangu yote naweka hapo nitaumia sana kama mambo yasipoenda vizuri nikimuangalia huyo Bibie situation yake roho inauma hadi mashairi ya wimbo wa One Ring wa Solji yanazunguka kichwani.

Unakumbuka zile couple zilizorudiana season 1 na 2

Minyoung alianza kumpenda Jung Kwon ila still kwake ilikuwa ngumu kumuacha Ju Hwi aende ndio maana alisema kwamba hawezi kwenda kwa Jung Kwon kama Ju Hwi anaexist mbele ya macho yake.

Nayeon alianza kumpenda Gyumin but akaanza kuona wivu pale ex wake mzee Baba Doo Hee yupo karibu na mwanamke mwingine wanavaa na matching bracelets.
Na mwisho wa siku akasema kwamba hawezi iache relationship yake na Doo Hee ipotee hivihivi.
Hawa watu relationship yao ni ya milima na mabonde wameachana hata mara 5 na kurudiana pride zinawavaa sana kiasi kwamba kila mmoja anajikuta komando ila wakiwa mbali hakuna anayeweza kuishi bila mwenzake.

Halafu kuna mwamba mmoja round hii yupo comfortable too much anatamba bila shaka ex wake bado hajafika[emoji23][emoji23]
 
Investment yangu yote naweka hapo nitaumia sana kama mambo yasipoenda vizuri nikimuangalia huyo Bibie situation yake roho inauma hadi mashairi ya wimbo wa One Ring wa Solji yanazunguka kichwani.

Unakumbuka zile couple zilizorudiana season 1 na 2

Minyoung alianza kumpenda Jung Kwon ila still kwake ilikuwa ngumu kumuacha Ju Hwi aende ndio maana alisema kwamba hawezi kwenda kwa Jung Kwon kama Ju Hwi anaexist mbele ya macho yake.

Nayeon alianza kumpenda Gyumin but akaanza kuona wivu pale ex wake mzee Baba Doo Hee yupo karibu na mwanamke mwingine wanavaa na matching bracelets.
Na mwisho wa siku akasema kwamba hawezi iache relationship yake na Doo Hee ipotee hivihivi.
Hawa watu relationship yao ni ya milima na mabonde wameachana hata mara 5 na kurudiana pride zinawavaa sana kiasi kwamba kila mmoja anajikuta komando ila wakiwa mbali hakuna anayeweza kuishi bila mwenzake.

Halafu kuna mwamba mmoja round hii yupo comfortable too much anatamba bila shaka ex wake bado hajafika[emoji23][emoji23]

We unapenda mahusiano ya hivo

Mi ndo maana zilinikera couple hizo

Kama Nayeon alikua na roho mbaya t[emoji23]
Sema unakumbuka majina we kiboko

Gyumin mpaka leo nimemfollow walimlazimisha tu kulia episode ya mwisho ila hakumtaka ha eun

Hivi kesho ndo inatoka?
 
We unapenda mahusiano ya hivo

Mi ndo maana zilinikera couple hizo

Kama Nayeon alikua na roho mbaya t[emoji23]
Sema unakumbuka majina we kiboko

Gyumin mpaka leo nimemfollow walimlazimisha tu kulia episode ya mwisho ila hakumtaka ha eun

Hivi kesho ndo inatoka?
Imetoka tangu jana ila dramanice wanachelewa kuleta hadi wapate subtitles

Mi nasubiri couples zijazo kuwa revealed tu
 
talnam mzigo umefika episode 2&3
Screenshot_20240108-074554.jpg
 
Back
Top Bottom