Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Nipo kiosk hapa mitaa ya mwari hakogi, nimekaa na mzee ameinamia gazeti nusu saa nzima.

Nilidhani anasubiria huduma, kumbe uwepo wake ni kwa dhumuni la kusoma riwaya za magazetini.

Kakusanya magazeti kama matano, anapitia riwaya moja moja.

Uzuri upo umeme wa kutosha tofauti na darisalama
Ndo uli kuwaga ugonjwa wangu, story Kama the queen of gorrila ya shigongo.
02, roses and guns,
 
Nakutumia external device yangu
Mimi nina chache halafu za zamani labda mcheki Mufti kuku The Infinity ana vyuma vya kutosha.
Screenshot_2024-02-20-17-50-29-851_com.google.android.apps.nbu.files-edit.jpg
 
Ndio hizo tu halafu changamoto nyingine sina device nyingine zaidi ya Simu katika harakati zangu ,hivyo series zinakuwa kauka nikuvae futa kuweka nyingine na sio kuhifadhi nyingi kwa wakati mmoja.
Hapo sawa, Nina PC Ina tb 1 miksa zime jaa z kikorea, kichina na kizungu.
👉 External ime jaa🤣😆
 
Picha ilianza kuoga kuanzia hapa ,yaani jamaa alijua kila kitu na kurudi kizazi zaidi. Kama Six flying dragon picha iliAnza amsha amsha baada ya Lee Bang Ji kumuua kiongozi huku Le banga Won alishuhudia kwa mbali.
18715408-8350-b__5536.jpg
 
Ukiona series yeyote ya Wazee wa mashuka na Aya action halafu hakuna kipande hata kimoja Kuna mwamba kaoigilia hivi basi jua hapo umepigwa hapo sawa sawa Tu na kucheki Moorin School
images (67).jpeg
 
Mimi Wakorea Tu wazungu naona kama nacheki Katuni Bora wachina.
Wachina Wana vyuma vikali, sword snow stride, joy of life (tuna subiri season 2 Mwaka huu).
03, Noble aspiration, blood youth,
04, journey to love, sword dragon sabre.
05, the sword of the white goat cave, Nirvana in fire.
 
Picha ilianza kuoga kuanzia hapa ,yaani jamaa alijua kila kitu na kurudi kizazi zaidi. Kama Six flying dragon picha iliAnza amsha amsha baada ya Lee Bang Ji kumuua kiongozi huku Le banga Won alishuhudia kwa mbali.View attachment 2911339
Lile picha (Six flying dragon) limesukwa vizuri sana.

Kuna ile salamu walikuwa wanasalimiana kama code kwenye kile kikundi cha kimafia, ukijipenyeza kisha usalimiwe na ushindwe kujibu ujue shingo sio yako.
 
wiki mbili nyuma kuna kijana fulani tunafahamiana tokea chuo alipita sehemu ninayotumwa na wenye mamlaka, akaniuzia laini fulani ya HALOTEL kwa ajili ya internet tu.

kwa maana huwezi kupiga simu, kuunga halo pesa wala kutuma message.
vifurushi vyao vya internet vipo vizuri kwa namna fulani.

elfu 5 wakupa GB 4 kwa wiki.
nafikiria kusitisha huduma ya postpaid kwa muda ili niwatumikie vizuri halotel.
kwetu halotel unaweza kustremika mchana bila ya khofu ukilinganisha na mtandao wa tigo.
Spidi ya halotel huko uliko ni ya kasi kulinganisha na tigo?
 
Wachina Wana vyuma vikali, sword snow stride, joy of life (tuna subiri season 2 Mwaka huu).
03, Noble aspiration, blood youth,
04, journey to love, sword dragon sabre.
05, the sword of the white goat cave, Nirvana in fire.
Mimi sipendi zile zao za mauchawi na marangirangi panga linavutwa na mkono nk

Kuna moja Wachina na Wajapan, wachina awanataka wakomboe nchi Yao kuna polisi mchina anafanya kazi katika Serikali ya Wajapan anaitwa Kung_Fei ndio star anafanya harakati kisirisiri kusaidia ukombozi hiyo Kali sana na naitafuta ila sijui jina lake coz nilicheki kwa mshikaji ikiwa imetafsiriwa.
 
Back
Top Bottom